International Forum

News and Stories from rest of the World
Kiongozi wa Jeshi, Jenerali Abdel Fattah al-Burhan amesema Jeshi litaacha kujishughulisha na Siasa baada ya Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika 2023 Kamati za Upinzani na Vyama vya Siasa...
0 Reactions
3 Replies
820 Views
Wanakijiji wenye hasira leo wameyachoma moto magari ya jeshi baada ya wanajeshi kuwauwa watu kadhaa waliodhaniwa kuwa wanamgambo katika jimbo la kaskazini mashariki mwa India. Kiongozi wa jimbo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi karibuni, shirika maarufu la uchunguzi wa maoni la Afrika la Afrobarometer limetoa ripoti ya uchunguzi wa maoni, ikionesha kuwa ushawishi wa China barani Afrika unashika nafasi ya kwanza...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Watu wenye silaha wamewateka nyara zaidi ya vijana 100 kutoka kijiji cha Naulala katika Mkoa wa Niassa kaskazini mwa Msumbiji, Shirika la Habari la Lusa limeripoti. Niassa inapakana na Cabo...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Wananchi wa Gambia leo wanapiga kura katika uchaguzi wa kihistoria, ambao kwa mara ya kwanza rais wa zamani Yahya Jammeh hayumo kwenye kinyang'anyiro hicho. Rais wa sasa Adama Barrow...
1 Reactions
3 Replies
850 Views
Katika kile kinachoonekana kama athari za ugonjwa wa kisukari ama matumizi ya teknolojia za AI katika matibabu ya bwana Kim hatimaye ameweza kupungua uzito zaidi ya kilo 40 toka mwanzoni mwa mwaka...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Taifa la Iran halitokubali chochote ghairi ya kuondolewa vikwazo vyote Dec 03, 2021 11:52 UTC [https://media] Khatibu wa Muda wa Sala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesisitiza kuwa, taifa la Iran...
0 Reactions
1 Replies
914 Views
(CNN)US Secretary of Defense Lloyd Austin addressed recent Chinese military advancements Saturday, including the test of a hypersonic weapon system and strengthening of nuclear capabilities...
1 Reactions
2 Replies
909 Views
Wizara ya Elimu ya Ethiopia imetangaza kufungwa kwa shule zote za sekondari kwa muda mfupi, ili kuwaruhusu wanafunzi kusaidia katika kuvuna chakula katika mashamba ya Waethiopia wanaopigana vita...
0 Reactions
2 Replies
910 Views
● Ujerumani itapiga marufuku watu ambao hawajachanjwa kupata huduma madukani na baa, isipokuwa kama wamepona hivi karibuni kutoka kwa Covid ● Kansela Angela Merkel anasema agizo la chanjo ya nchi...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Vyombo vya usalama vya kimataifa na dunia nzima macho yao yote yapo Mashariki ya kati. Baada ya dunia kushuhudia unyama na ujasusi wakutisha ktk mashariki ya kati sasa mimba imefika miezi tisa...
6 Reactions
36 Replies
5K Views
Viongozi wa kitaifa na wa kikanda wa Ujerumani wamekubali kuwazuia watu ambao hawajachanjwa kushiriki pakubwa katika maisha ya umma kwa nia ya kuzuia wimbi la nne la Covid-19. Kansela...
0 Reactions
0 Replies
693 Views
🇨🇩🏦Unlocking secrets from Africa’s biggest banking data leak, #BBCAfricaEye reveals how millions of dollars of public funds ended up in the private bank accounts of businesses based in Democratic...
1 Reactions
0 Replies
678 Views
Mkutano wa 8 wa Mawaziri wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) umefanyika hivi karibuni mjini Dakar, Senegal. Tangu kuanzishwa kwa jukwaa hilo, ushirikiano kati ya China na...
0 Reactions
2 Replies
625 Views
Korea Kusini imerekodi maambukizi 5,266 ya COVID-19 kwa Desemba 1, maambukizi ambayo ni makubwa, ikiwa ni wiki mbili baada ya kuripotiwa kwa kirusi cha Omicron. Wasafiri wote watatakiwa kukaa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
President Joe Biden on Tuesday ordered a record 50 million barrels of oil released from America's strategic reserve, aiming to bring down gasoline and other costs, in coordination with other major...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Afrika Kusini imerekodi ongezeko kubwa la maambukizi ya virusi vya corona ambayo yameongezeka maradufu kote nchini humo tangu Jumatatu. Maafisa wa afya wanasema aina mpya ya Omicron...
0 Reactions
0 Replies
851 Views
Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) limeonya kuwa aina mpya ya kirusi cha corona Omicron c ina hatari kubwa ya maambukizo kuongezeka kote ulimwenguni. Aina hiyo inaweza kusababisha athari mbaya...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Taarifa za kushtusha na kushangaza sana Wakenya 89 wanaoishi na kufanya kazi nchini Saudi Arabia wamepoteza maisha ndani ya kipindi cha miaka 2 Kwa mujibu wa taarifa iliyowasilishwa bungeni...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Zimbabwe imerejesha marufuku ya kutotoka nje na karantini za lazima kwa wasafiri wote huku kukiwa na ongezeko la visa vya Covid ili kuzuia kuenea kwa aina mpya ya kirusi cha Omicron. Nchi hiyo...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom