International Forum

News and Stories from rest of the World
Bilionea Elon Musk amewataka wanaoshughulika na Mradi wa Chakula Duniani (WFP) kuonesha namna dola Bilioni 6 itakavyoondoa tatizo la njaa duniani. Mkurugenzi wa WFP, David Beasley aliomba fedha...
4 Reactions
136 Replies
45K Views
Pichani Ni Raisi wa Ufaransa Emmnuel Macron akiwa na Mkewe kipenzi (First Lady), Brigitte Macron. Hawa wawili wanapishana kwa miaka 25. Mama amezaliwa 1953. Macron ndiye mdogo kabisa nyumbani...
16 Reactions
78 Replies
9K Views
Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi amewafuta kazi mawaziri wa ulinzi na mambo ya ndani, akihoji uwezo wao wa utendaji kazi wakati nchi hiyo ikipambana na uasi wa wanamgambo wa kiislamu kwa miaka minne...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Vyombo vya habari vya Palestina vimeripoti kuwa, Mahakama ya Kijeshi ya Ukanda wa Gaza imewahukumu kifo majajusi sita wa utawala wa Kizayuni wa Israel. Mahakama ya Kijeshi ya Ukanda wa Gaza...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Afisa wa afya katika Jimbo la Kwilu, takriban kilomita 680, mashariki mwa Mji Mkuu wa DRC, Kinshasa alimeviambia vyombo vya habari kuwa karibu watoto 7,000 waliambukizwa na kwa sasa wanatibiwa...
0 Reactions
0 Replies
549 Views
CONGO REFUGEES IN UGANDA... Just like we predict the start of the rainy season, the WAR season has started in the eastern part of DRC. Fighting has erupted in Eastern Congo leading to a heavy...
2 Reactions
6 Replies
860 Views
Tanzania we have PEACE. That is our brand! Nchi nyingi za Africa zinafanana. Nahisi ndio maana hata nje ya Africa wengine hudhani Bara lote ni nchi moja tu. Kwanini zinafanana? Ukiondoa zile...
7 Reactions
90 Replies
9K Views
Ikiwa imepita miezi 18 sasa tangu serikali ya muda ya Sudan iafiki kumkabidhi mtawala wa zamani wa nchi hiyo, Omar Hassan al Bashir, kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), Waziri wa Masuala ya...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Zion Clark is a wrestler and athlete who dreams of becoming a multi-time Olympic champion. He was born without legs as a result of a rare genetic disorder called Caudal Regression Syndrome...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Rais wa Malawi, Lazarus Chakwera amewaomba Wananchi kuwajibika linapokuja suala la Maendeleo ya Taifa, badala ya kupeleka madai hayo kwa Wanasiasa Amesema anapokea mamia ya SMS kwenye simu yake...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Watoto wapatao 25 wenye umri kati ya miaka mitano na sita wamefariki baada ya darasa lao kuungua moto Wengine kadhaa walijeruiwa wakati wa ajali hiyo ya moto ambayo ilitokea Jumatatu asubuhi...
0 Reactions
0 Replies
920 Views
Mkutano wa 26 wa Nchi Zilizosaini Makubaliano ya Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (COP26) ulifanyika mjini Glasgow, Uingereza, na ulijadili masuala ya hali ya hewa yanayofuatiliwa...
0 Reactions
0 Replies
564 Views
Na Fadhili Mpunji Mwaka huu China inaadhimisha miaka 20 tangu ijiunge na Shirika la Biashara Duniani WTO. Tangu mwaka Novemba 2001 China ilipojiunga na Shirika hilo mjini Doha, uchumi wa China...
2 Reactions
3 Replies
769 Views
Na Tom Wanjala Tofu inayotengenezwa kutokana na maharagwe ya soya inapendwa sana na wachina, ni chakula kinachopatikana kwa rahisi na chenye faida nyingi za kiafya mwilini, na upendo huo wa...
0 Reactions
2 Replies
817 Views
Makundi ya kutetea demokrasia ya Sudan yameanzisha mgomo na kutofuata sheria Jumapili ikiwa ni hatua ya kupinga mapinduzi ya kijeshi ya mwezi uliopita. Washiriki walionekana wachache kwa sababu...
1 Reactions
2 Replies
883 Views
Data mpya zilizotolewa Nchini Marekani zinasema Watu wanaokwenda hospitali kupata huduma za kawaida (sio za CoronaVirus) wanakuwa kwenye hatari ya kupata Maambukizi ya Virusi hivyo Data hizo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hizi habari niliziona mtandaoni nikahisi labda si kweli ila imethibitisha kimataifa, hii ni aibu mno kwa marekani hawa jamaa ni majambazi hivi kumbe Kikosi cha IRGC cha Iran chazima uharamia wa...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Boris Johnson ajiunga na Biden, watwanga usingizi katikati ya mkutano wa tabianchi, Glasgow Nov 03, 2021 10:48 UTC Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amejiunga na Rais wa Marekani Joe Biden...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Hivi karibuni baadhi ya vyombo vya habari za nchi za magharibi vimejaribu kuibeza China kwa kusema sasa itabaki peke yake kwenye iliyokuwa ngome ya nchi zinazotekeleza sera ya maambukizi sifuri ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Magavana wa chama cha Republican wanatarajiwa kuishitaki serikali kuu ya Marekani hii leo kukomesha utawala wa rais Joe Biden kutekeleza amri ya kutaka wafanyakazi wa serikali kupata chanjo dhidi...
2 Reactions
6 Replies
602 Views
Back
Top Bottom