Baada ya Visa duniani kuongezeka kwa kiwango kikubwa kwa takriban miezi 2, Shirika la Afya (WHO) limesema hivi sasa takwimu zinaonesha ongezeko la maambukizi lipo kwa kiasi kidogo.
Visa vipya...
Ndugu wasomaji, ni nini tunajifunza katika hali hii iliyoko Afghanistan?
Siku zote sijawahi kuwa na imani na unafiki wa watu wanaosema wanatetea dini lakini wakitoa watu kuwa sadaka kwa miungu...
• your excellency, the sixth president of the republic of zambia, mr. Edgar chagwa lungu and the former first lady, mrs. Esther lungu;
• your excellencies visiting heads of state and government...
Nimeweka kichwa cha habari kusema dini ya kiislamu ila sijalenga kwa ubaya ndio maana kuna nchi zengine zina dini zao zenye sheria kali tu.
Hapa tunaona maisha ya miaka 20 ambayo Afghan...
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wiki hii imezindua mfumo wa Makombora yenye kuhamishika (mobile) ya Ulinzi yaliyopewa jina Bavar-373. Makombora haya yanetengenezwa Tekinolojia ya ndani ya Taifa hilo...
Rais wa zamani wa Chad Hissene Habre, ambaye alikuwa akitumikia kifungo cha maisha nchini Senegal kwa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu, amefariki dunia.
Taarifa hiyo imetolewa leo...
Hakainde Hichilema ameapishwa kuwa Rais wa Taifa hilo katika sherehe ambayo imehudhuriwa ya maelfu ya watu Jijini Lusaka.
Anakuwa Rais wa 7 kuongoza Taifa hilo baada ya kumshinda Edgar Lungu...
Mashirika ya kimataifa ya kiutu yameonya kuwa mamilioni ya watu wa Syria na Iraq wapo katika kitisho cha kukosa upatikanaji wa maji, umeme na chakula katikakati mwa ongezeko la joto, kiwango...
Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte amekubali kuwa Mgombea Mwenza wa Chama Tawala cha Nchi hiyo katika Uchaguzi Mkuu wa 2022, hali inayoandaa mazingira kwa Kiongozi huyo kubaki madarakani hata baada...
Rais Kais Saied ameongeza muda kusimamishwa kwa Bunge. Mwezi Julai, alimfuta kazi Waziri Mkuu na kuchukua Mamlaka ya Utendaji, hatua ambayo wapinzani walisema ni Mapinduzi.
Ikiwa ni Mwezi mmoja...
Kutokana na kupungua maambukizi ya CoronaVirus Taifa hilo litaanza kulegeza Kanuni kuanzia kesho Agosti 24 ambapo maeneo ya kufanya manunuzi na nyumba za ibada katika baadhi ya Miji zitaruhusiwa...
Hili ni Azimio la October mwaka jana kupinga sera ya sasa ya covid. Essentially, linasema, wazee ndio wako at risk, kwa hiyo wasichanjwe wao peke yao.
Wauguzi wengi wanaipinga hii Sera ya sasa...
Mamlaka ya Afya Nchini humo leo imesema kwa mara ya kwanza tangu Julai, hakuna maambukizi ya ndani ya COVID-19 yaliyoripotiwa, hali inayoashiria huenda mlipuko wa hivi karibuni umedhibitiwa...
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani WFP limetoa tahadhari juu ya kutokea kwa janga la kibinadamu nchini Afghanistan.
Mkurugenzi wa shirika hilo nchini Afghanistan Mary-Ellen McGroarty, ametoa...
Jeshi la Indonesia limeondoa rasmi sharti lililodumu kwa miongo kadhaa la ‘ubikra’ kwa mabinti wanaotaka kujiunga na Jeshi.
Kwa miaka mingi ili binti ama mwanamke ajiunge na Jeshi la nchi hiyo...
Mgombea Urais anayeongoza nchini Zambia wa Chama cha UPNDP Hichilema, alishashindwa uchaguzi wa Urais mara 5 nchini humo lakini hakukata tamaa, hii anayoongoza sasa ni mara ya 6.
Ni Mwanasiasa...
Talibani Na Afghanistan.
Nini Hatima yake Machoni mwa Kiitwacho Jamii ya Kimataifa (Nchi za Magharibi na Marekani)?
Afghanistan Yenye Majimbo 34, Wilaya 421, Watu Milion 38.
Je, Katika Hii...
Marekani imeomba msaada wa mashirika 6 ya ndege ya kibiashara kusaidia kusafirisha watu kutoka Afghanistan, ikiwa ni jitihada ya kuongeza kasi kuwaondoa Wamarekani na Waafghani walio hatarini...
Umaarufu wa rais wa Marekani Joe Biden umepungua kwa asilimia saba na kufikia kiwango chake cha chini baada ya Taliban kuchukua udhibiti wa Afghanistan, kulingana na uchunguzi wa Shirika la Habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.