Polisi katika wilaya ya Moroto kaskazini mwa Uganda wameanza kuwakamata watu wanaonunua chapati tano au zaidi, wakishuku huenda wanawalisha wezi wa mifugo katika eneo hilo, Uganda Radio Network...
Rwanda will still be categorised as a least developed country by 2025 according to new projections by the United Nations Conference on Trade and Development (Unctad).
This assertion is at...
China imefanya marekebisho rasmi kwa sheria zake ili kuwaruhusu wanandoa kuwa na watoto hadi watatu, ili kuongeza kiwango cha kuzaliana.
Kanuni hiyo ilikuwa moja kati ya kadhaa zilizopitishwa...
Badala ya kupambana na waasi, majeshi ya serikali yalitumia muda mwingi na rasilmali kunyanyasa na kuua raia wasio na silaha, nyumba kwa nyumba. Ndivyo RPF walivyoweza ku-gain ground almost...
Kwanza nianze na kusema kwamba, katika Marais naowaheshimu na kutamani kuwaona wakifanikiwa, basi huyu ni mojawapo.
Niko Kigali kwa muda, mambo niliyoyaona kwa muda mchache niliokaa hapa...
Wapiganaji wenye uhusiano na Al-Qaeda na ISIL wameua watu 47 ambao 14 kati yao ni wanajeshi.
Mauaji hayo yametekelezwa baada ya wapiganaji kuvamia mji wa Arbinda.
Hata hivyo wapiganaji wa...
Aliyekuwa Rais wa Afghanistan aliyepinduliwa na kikundi chenye msimamo mkali Taliban, Ashraf Ghani yasemekana ametoroka na zaidi ya kitita cha dollars za Marekani milion 169.
Ubalozi wa Urusi...
Marekani 'ikiikimbia' Taliban zifahamu nchi hizi nne zinazoendeleza uhusiano na kundi hilo
CHANZO CHA PICHA,REUTERS
Huku Marekani na nchi nyingi za magharibi zikiharakisha kuwoandoa raia wake...
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imepanga kuiweka lugha ya ishara kuwa lugha ya tano rasmi nchini humo ukiongeza kwenye Kiswahili, kilingala, Kituba na Tshiluba.
Lugha hiyo ya ishara...
Rais wa Rwanda ,Paul Kagame ameonya kuhusu mahusiano ya kidiplomasia na Ufaransa kufuatia tangazo la wachunguzi wa Ufaransa kwamba watafungua upya uchunguzi kuhusu mauaji ya aliyekuwa rais wa...
Watu watatu wameuawa na dazeni ya wengine wamejeruhiwa baada ya wanamgambo wa Taliban kufyatua risasi ili kuwatanya watu waliokuwa wanaandamana kupinga utawala wa kundi hilo katika mji wa...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amesema kupata chanjo ya virusi vya corona ni kitendo cha upendo na amewataka watu kuchanjwa.
Katika ujumbe wake uliotolewa leo kwa njia ya...
Tokea kuchukua nchi afghanistan kundi la taliban,hali ya wasiwasi baadhi ya raia na walio kuwa wanamuunga mkono mtawala aliyepinduliwa.
Mambo naona kama tofauti sana?
Kwanza talibani imekuwa...
Wanafunzi wanne wa Chuo Kikuu cha Hong Kong wamekamatwa leo kwa madai ya kuunga mkono ugaidi. Polisi wa Hong Kong wamesema waliokamatwa ni wanafunzi wa kiume wenye umri wa kati ya miaka 18 na 20...
Wazungu wako bize kutuma madege kuhamisha "watu wao" kutoka Afghanistan baada ya Wataliban kuiangusha serikali yenye askari waliofunzwa vizuri kwa miaka 20 na kupewa silaha nyingi za kisasa na...
Siku zote kukiwa na Katiba ya Wananchi na Tume huru ya Uchaguzi kila kitu kitafanyika kama watavyotaka wenye nchi ambao ni wananchi wenyewe .
Hiki kilichofanyika Zambia ndio kimepelekea CHADEMA...
Kampuni inayotengeneza chanjo ya Covid ya Moderna inatarajia kuanza majaribio ya chanjo ya UKIMWI Jumatano ijayo.
Mordena wana matumaini makubwa kwamba kutokana na teknolojia mpya ya mRNA ambayo...
Elias Mpedi Magosi
Elias Mpedi Magosi ameidhinishwa kukalia kiti cha Katibu Mkuu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), akimrithi Dkt. Stergomena Lawrence Tax, Mtanzania...
Ni suala la muda tu, Kabul itakuwa chini ya udhibiti wa Taliban. Kinachoendelea ni mashambulizi makali kutoka kila upande wa mji. Kiongozi wa Taliban anasisitiza kuwa hataki umwagaji wa damu na...
The Anglican Church of Ghana has sacked one of its priests, Balthazar Obeng Larbi, who was captured kissing female students of the St Monica’s College of Education in Asante Mampong.
The...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.