Mapema baada ya kupata matokeo ya uchaguzi mkuu nchini Zambia nikasema ngoja nifuatilie nini kimesaidia chama hichi kuanguka baada ya wananchi wa nchini Zambia kuamua , nimefuatilia chanel...
Nawaza, hivi ingekua Taliban wamechukua nchi kipindi cha Trump sijui ingekuaje, hiyo bado image ambayo Trump angepewa haina mfano.
Lakini kwa kuwa alieko madarakani ni kibaraka wao, wanajitahidi...
Nashukuru kwa katibu mkuu wa UN kuitisha mkutano wa dharura na kukemea hili jambo japo wametumia lugha laini sana ni kama wametoa baraka kwa magaidi ya taliban kuingia ikulu kwa unyang'anyi...
Wazee wa kazi wakiwa na vilemba na kanzu lakini disco lake si la kitoto, begani ana rpg na mkononi ana ak47 lakini mkono wanaotembeza imebidi serikali isalimu amri, naomba nitume salamu kwa...
Rais wa Zambia Edga Lungu ameshtushwa na wanachama wa upinzani UPND wanaonunuliwa kujiunga chama tawala cha PF wanalipwa K20000 na wengine K5000 badala ya kiasi kilichotengwa cha K200,000 na...
Kandolo = viazi vitamu = manumbu
Hiyo ni kauli ilitolewa na waziri mmoja uko Zambia pale ambapo wananchi walilalamikia mkate kupanda bei.
Wananchi hawasahau, na nimeona wengi wameiweka status...
Wakuu habari za muda?
Naomba kufahamishwa, Taliban wametumia mbinu gani kuiteka nchi ya Afghanistan?
Siku sikia vita na majeshi ya serikali zikipigwa wala shari ya aina yoyote ile,nimeona tu...
Hivi karibuni dunia imeshangazwa baada ya kusikia Rais Ashraf Ghan wa Afghanistan amekimbia mji mkuu wa nchi hiyo Kabul, baada ya mji huo kuzingirwa na wapiganaji wa kundi la Taliban. Kukimbia...
Muda mfupi uliopita Waziri Mkuu wa Israel Benjamini Netanyau amehitimisha kikao muhimu na Wakuu wa vyombo vya Ulinzi & Usalama.
Kikao hicho kilifanya tathmini ya mashambulizi dhidi yaliyofanywa...
Sina maneno mengi ila marekani kwenye vita kabaki jia tu licha ya kuligharamia mno jeshi lake
list ni hii
1.RUSSIA
2.CHINA,
3UK (UK + Australia + Canada)
Duniani kote kuna vurugu patashika nguo chanika!! Kisa!! Watu wameishtukia chanjo ya corona!! Hali ni mbaya !! Watu wako tayari kufa kuliko kuchanjwa!! Vyombo vya habari vimezuiwa kutangaza hali...
Mamlaka katika Mji wa Beni zimetangaza utaratibu wa wakazi kubaki nyumbani katika muda utakaopangwa (curfew) baada ya mabomu mawili kulipuka Jumapili ya Juni 27, 2021.
Bomu la kwanza lililipuka...
Mwaka 1979 Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) liliuchukua mji wa Kampala na rais wake Dikteta Fashisti Nduli Idd Amin Dada akakimbia nchi na wanajeshi wote wa Uganda kwa unafiki wakaungana na JWTZ...
Wanasema ukisikia mwenzanko kanyolewa na wewe weka maji kichwa chako upate kunyolewa.
Hali si nzuri huko kuanzia boda yetu na Zambia.
Nasikia wachina washaanza kufunga virago wengine sijui...
WHO Urged To “Immediately Halt” Mass Vaccination Program
A virologist has urged the World Health Organisation (WHO) to immediately halt mass vaccination to reduce viral infectivity rates and to...
In 1932, the USPHS, working with the Tuskegee Institute, began a study to record the natural history of syphilis. It was originally called the “Tuskegee Study of Untreated Syphilis in the Negro...
Kumbe haya mambo ya wanasiasa kuguswa na tuhuma za ugaidi siyo kwa Freeman Mbowe pekee bali ni duniani kote.
Mwanasiasa mkuu wa upinzani aliyetuhumiwa kwa ugaidi ameachiwa huru nchini Venezuela...
Hali ya wasiwasi imeanza kutanda duniani kote baada ya waasi wa Afghanistan wenye MSIMAMO mkali wa kiislam kutwaa miji mikubwa ya nchi hiyo na sasa kungia kwenye baadhi ya viunga va mjimkuu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.