International Forum

News and Stories from rest of the World
Ni furaha ilioje? Hahahaha, wananchi wenye akili wamekamata magari ya kura fake wakachoma na kulinda NEC yao! Sasa Edgar Lungu anasema uchaguzi haukua haki wala huru. CCM ya Zambia inahaha...
13 Reactions
49 Replies
4K Views
ukipita barabara ya Tunduma Nakonde kuelekea Lusaka utakutana na wachina waliojazana Zambia wakiishi kama raia wa kawaida opposition walisema watashughulika na hawa watu walioletwa na serikali ya...
13 Reactions
45 Replies
4K Views
Mmoja wa makamanda wa juu kabisa wa kikundi cha ugaidi cha Boko Haram aitwae Amir Adamu Rugu Rugu amejisalimisha siku ya Alhamisi jioni kwa majeshi ya Nigeria. Rugu Rugu alijisalimisha akiwa na...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Ni wazi mgombea wa upinzani nchini Zambia atatangazwa mshindi. My concern is: Historia inatukumbusha kuwa Hichilema aliwekwa ndani na Lungu kwa kumpa kesi ya kumbambikia ya Uhaini. Mahakama...
10 Reactions
25 Replies
3K Views
Balozi wa Uingereza mjini Tehran ametoa maelezo kuhusu picha iliyosambazwa mitandaoni akiwa pamoja na balozi wa Russia na akaiomba radhi serikali na wananchi wa Iran. Simon Shercliff, balozi wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
15 August 2021 Johannesburg, Republic of South Africa Rais wa zamani Jacob Zuma amelazwa hospitalini katika maeneo ya KwaZulu Natal na kufanyiwa upasuaji wa mwanzo ambao katika siku chache zijazo...
0 Reactions
1 Replies
923 Views
Rais wa Iran Ebrahim Raisi ambaye ameapishwa hivi karibuni, amepata chanjo ya #COVID19 ya COVIran Barekat. COVIran ni moja ya chanjo inayotengenezwa Iran ambayo ipo katika mchakato wa...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Hamjambo wana jamvi? Hali ni tete kwa Rais wa Zambia Edgar Lungu. Lungu la wapiga kura limemshukia huku mpinzani wake mkuu Hakainde Hichilema akizidi kuchanja mbuga kumnyang'anya Ikulu. Sisi kama...
7 Reactions
35 Replies
4K Views
Wizara ya Afya ya Ivory Coast imethibitisha maambukizi ya Ebola kwa mtu mmoja ikiwa ni baada ya miaka 25 tangu walipoudhibiti ugonjwa huo Shirika la Afya Duniani(WHO) limeonesha hofu ya virusi...
0 Reactions
1 Replies
824 Views
Taifa hilo lililoathirika zaidi ya janga la Corona Mashariki ya Kati litaweka zuio la safari zote za barabara pamoja na Lockdown ya wiki moja Biashara na Ofisi zote ambazo sio za mahitaji muhimu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Matokeo ya Awali yaliyotangazwa na Tume inayosimamia Uchaguzi Nchini humo mapema leo yameonesha Mpinzani Hakainde Hichilema anaongoza kwa Kura Amepata Kura 171,604 huku Edgar Lungu anayetetea...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Maandamano makubwa yameibuka ambapo barabara ya Kitwe - Chingola imefungwa baada ya wananchi kupinga Shirika la misitu na mazao yake , ZAFFICO ( Zambia Forestry and Forest Industries Corporation )...
5 Reactions
99 Replies
14K Views
Kiongozi wa Kikundi cha Kigaini cha Islamic Jihad Kamanda Hussam Abu Arbeed ameuawa na majeshi ya Israel kwenye shambulizi la Anga Kamanda Hassam amekuwa akisakwa kwa muda mrefu na amehusika na...
10 Reactions
66 Replies
8K Views
Taifa hilo limeanzisha utaratibu wa utoaji chanjo dhidi ya COVID19 nyumba hadi nyumba kwa makundi maalum ya watu ikiwemo Wazee Mamlaka zimesema huduma hiyo imesogezwa nyumbani kutokana na uhitaji...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kikundi kipya kilichoundwa na Iran huko Iraq chaapa kuikomboa Milima ya Golan ya Syria inayokaliwa kimabavu na Israel Ama kweli mbombo ngafu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]iran na hamas mpya...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Saudi King Salman called to disarm Hezbollah on UN General Assembly. Every normal country must designate Hezbollah as a terrorist organization -- for the sake of peace and stability!
5 Reactions
32 Replies
3K Views
BREAKING: The people of Malawi have elected a new President in opposition candidate, Dr Lazarus Chakwera. Incumbent President Arthur Peter Mutharika lost miserably and this came as a result of...
13 Reactions
80 Replies
42K Views
Nasrallah: Hujuma dhidi ya Quds ina maana ya vita vya kieneo na kuangamia Israel. Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa hujuma dhidi ya...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Imekuwa ni kawaida sasa kwa nchi nyingi za kiafrika kuwanyima watu wake uwezo wa kupata habari kupitia mitandao ya kijamii kama vile Whatsapp, Facebook, TWITTER n.k hasa baada ya kipindi cha...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom