International Forum

News and Stories from rest of the World
Wakubwa salaam Kuna clip inasambaa kwa kasi kutoka Mozambique Mkoa wa cabo Delgado almaarufu kama Pemba wananchi wakichota kinachosemekana ni mafuta ukingoni mwa bahari Mi swali langu ni hii kitu...
4 Reactions
33 Replies
4K Views
Rais wa Zambia, Edgar Lungu amekubali matokeo ya uchaguzi mkuu ambao mpinzani wake, Hakainde Hichilema ameibuka mshindi wa nafasi hiyo. Lungu ameahidi kuunga mkono hatua hiyo na kuachia madaraka...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Maelfu ya waandamanaji wakiwa na magari na baiskeli walikusanyika leo kwenye mji mkuu wa Thailand, Bangkok kumtaka waziri mkuu Prayut Chan-O-Cha kujizulu kutokana na jinsi alivyolishughulikia jana...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Kiongozi wa Wademocrat katika Baraza la Seneti nchini Marekani Chuck Schumer leo ametoa wito kwa mamlaka za nchi hiyo kukomesha mauzo ya vitambulisho bandia vya chanjo ya Covid-19 vinavyouzwa...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwanini watawala wote wa Africa wanaposhindwa uchaguzi huwa hawakubali na hawaondoki mapema kwa amani hadi wajivute vute wabembelezwe na wapetiwe petiwe? Edgar Lungu wa Zambia alikwisha shindwa...
0 Reactions
8 Replies
685 Views
Mahesabu yanaonyesha anaendelea kushindwa na ameanza kulalamika........ ====== Zambian President Edgar Lungu has declared the August 12 presidential and parliamentary election “not free and...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Kundi la Taliban limesema halitaki kuhodhi madaraka lakini linasisitiza hakutakuwa na amani nchini Afghanistan hadi kuwepo na serikali mpya mjini Kabul na Rais Ashraf Ghani aondolewe. Hayo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Idadi ya waliofariki kutokana na tetemeko kubwa la ardhi lililoikumba Haiti imepindukia watu 1,200. Haya yanakuja wakati waokoaji wanaendelea na juhudi za kufukua vifusi vya majengo yaliyoanguka...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
The Israeli army has formed a new combat unit which will be used in any future war with Lebanese Shia paramilitary Hezbollah, Israeli media reported on Tuesday. The unit, which bears the number...
4 Reactions
98 Replies
5K Views
Mwaka 2017 Kiongozi wa upinzani nchini Zambia (UPND) Hakainde Hichilema na wafuasi wake watano waliwahi kushitakiwa kwa makosa ya ugaidi kufuatia madai kuwa msafara wao ulizuia msafara wa rais...
4 Reactions
11 Replies
892 Views
Ili chama kichukue dola lazima kikubalike kwa wananchi kuwa kina uwezo wa kutatua shida,kero na matatizo ya wananchi baada ya chama tawala kufeli. CHADEMA haijajenga imani kwa wananchi kuwa ni...
7 Reactions
40 Replies
3K Views
Zaidi ya majimbo 6.wapinzani waongoza na huenda wakachukua serikali. Jana vijana waligoma kuondoka vituo vya kupigia kura na walilinda kura zao kwa Umahiri wa hali ya juu.Baadhi ya watu waliopata...
11 Reactions
45 Replies
3K Views
Takriban watu 304 wamepoteza maisha kufuatia tetemeko la ardhi la ukubwa wa 7.2 huku wengine wapatao 1,800 wakijeruhiwa. Waziri Mkuu wa Nchi hiyo, Ariel Henry ametangaza Hali ya Dharura kwa mwezi...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nasrallah aionya Israel: "Acheni kucheza na moto Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel na kuutaka kutocheza na moto huku akisisitiza kuwa...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Naona tena tetemeko limeipiga Haiti na kuangusha majumba, Hii nchi kuna shida mahali make si kwa haya majanga yanayo iandama, Sijui hali ya maisha ikoje huko,
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Wanasema siku zote chama tawala kukubali kushindwa ni ngumu. Huko zambia mpinzani wa edgar lungu kuzidi kuwa kinara kwenye matokeo ya uchaguzi. Sasa chama tawala wanapinga
5 Reactions
50 Replies
4K Views
Huu hapa upo kisiasa na kidini zaidi USSR
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Mtandao wa Jeshi la Israel una report kuwa,kundi la wanamgambo la Hezbollah limejenga ghala/bohari la silaha karibu kabisa na shule ya watoto. Ni umbali wa mita 25 tu kutoka ilipo shule hiyo...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Hii ni baada ya Taarifa kuanza kuzagaa nchini humo kwamba Rais huyo anayemaliza muda wake kutoka chama cha Patriotic Front ameangukia pua . Edgar Lungu Rais aliyejipa utukufu wa kimungu kwa...
6 Reactions
21 Replies
3K Views
Kituo cha idara ya uchunguzi mjini Bangalore India Umati wa watu Alhamisi umeshambulia biashara na magari ya wafanyabiasha raia wa India katika mji mkuu wa Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom