Kampuni za Pfizer-BioNTech na Moderna ziliongeza bei zao za chanjo ya corona katika makubaliano ya hivi karibuni na Jumuiya ya Ulaya (EU).
Kulingana na Financial Times, bei ya dozi 1 ya chanjo ya...
Mwanaharakati na shujaa wa haki za binadamu nchini Marekani John Lewis ambaye aliandamana na Martin Luther King Jr, na kukaribia kuuwawa kwa kupigwa na polisi, kabla ya kuhudumu kama mbunge kwa...
Mahakama Kuu ya Uchaguzi Nchini humo (TSE) imefikia uamuzi wa kumchunguza Rais Jair Bolsonaro kutokana na kauli zake zinazodai kutakuwepo udanganyifu katika Uchaguzi Mkuu wa 2022.
Bolsonaro...
A prominent Hong Kong singer and pro-democracy activist has been arrested by the city’s anti-corruption watchdog over accusations he broke the law by singing at a political rally three years ago...
Maafisa wa ngazi za juu wa Jeshi na Polisi wamekamatwa Nchini humo wakihusishwa na jaribio la kumuua Rais Andry Rajoelina ambalo lilishindikana. Hadi sasa watu 21 wanachunguzwa
Jaribio dhidi ya...
Katibu mkuu wa TEC ya Marekani ama baraza la maaskofu katoliki wa Marekani amejiuzuru wadhifa wake baada ya kugundilika kua ni shoga.
Askofu huyo amegundulika kua ni shoga baada ya taarifa...
Waziri wa Afya wa Iran, Saeed Namaki amesema Wimbi la Tano la Virusi vya Corona ambalo kwa kiasi kikubwa limetawaliwa na Kirusi aina ya Delta linaweza kuwa baya zaidi endapo hatua hazitachukuliwa...
Tuacheni kudanganya watu hii imetoka kwenye takwimu
---
Less than 1% of fully vaccinated people experienced a breakthrough infection, according to a Kaiser Family Foundation analysis of official...
Biden kutoa dola 100 kwa kila atakapigwa chanjo ya COVID-19
100x2399= 239,900
hii ni kweli?
====
Rais wa Marekani Joe Biden amesema kila mwananchi atakaekubali kupigwa chanjo dhidi ya ugonjwa...
Kampuni ya Zoom imekubali kulipa Dola za Marekani Milioni 86 kumaliza Mashtaka ya Faragha yaliyofunguliwa mwezi Machi mwaka 2020 huko California.
Zoom ilidaiwa kuingilia Faragha ya mamilioni ya...
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) Tedros Adhanom Ghebreyesus, alisema kuwa kesi za maambukizi ya virusi vya corona (Kovid-19) zinaongezeka tena ulimwenguni na ongezeko hili...
Raia wa Ufaransa maelfu kwa maelfu wameingia barabarani kupinga serikali ya nchi hiyo kuanzisha passport maalumu itakayotumika kuwatambulisha watu waliokubali kuchanjwa chanjo ya Corona, ikiwa ni...
Ugojwa huu ulianzia huko HAVANA nchini Cuba, ukiwapata wanadiplomasia wa Marekani na Canada na baadae kusambaa katika balozi nyingine za Marekani na kuwapata mashushushu wa Marekani (CIA)! Cha...
RAIS MALAWI AFUATA HUDUMA YA INTERNET ULAYA.
Raisi wa Malawi Lazarus Chakwera inasemekana amesafiri kwenda Uingereza kuhudhuria mkutano kwa njia ya mtandao Raisi huyo amelalamikia ubovu wa...
Raia wa Nigeria, Ramon Abbas, maarufu kwa jina la Hashpuppi amekiri makosa ya utakatishaji fedha katika mahakama nchini Marekani.
Hashpuppi, aliyejipatia umaarufu kwa maisha yake ya anasa...
waziri wa afya nchini humo, Dkt Thaddée Ndikumana amewaambia waandishi wa habari kuwa chanjo hizo zimependekezwa na Benki ya Dunia na wakachukua uamuzi wa ''kuzikaribisha''.
Aliongeza, hatahivyo...
ASKARI Polisi saba wamefariki dunia huku 50 wakijeruhiwa nchini India, katika mashambuliano ya risasi ya wenyewe kwa wenyewe , yaliyoibuka Jumatatu, tarehe 26 Julai 2021, kwenye Mji wa Vairengte...
Jana, Desemba 7 Bitcoin ilipungua thamani kwa zaidi ya asilimia 12 ikishuka chini ya USD 3,400 kwa Bitcoin 1 ikiwa ndio thamani yake ndogo zaidi kwa zaidi ya mwaka mmoja
Sarafu hiyo ya digitali...
Hapa nimejifunza kuwa majanga ya asili hayana mwenyewe,uwe makini kwenye miundombinu au uwe mzembe lazima likukute tu.
Nchi makini kimpango na kimiundombinu inapigwa na mafuriko je sisi ni...
Mamlaka ya udhibiti na kuzuia magonjwa Marekani CDC imetangaza amri mpya kuwa watu wote walio choma chanjo ya kuzuia Corona waanze tena kuvaa barakoa katika mikusanyiko ya ndani.
Amri hii inakuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.