Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte anaonya kuwa Wafilipino ambao wanakataa kupata chanjo dhidi ya coronavirus hawataruhusiwa kuondoka nyumbani kwao kama kinga dhidi ya aina ya kirusi cha delta...
Jobs in healthcare and information technology dominate the list.
Top 10 Most In-Demand Jobs in the United States
1. Home Health Aide
A home health aide helps people with chronic illness...
Tarehe 20 Julai, 2021, takribani roketi tatu zilitua karibu na ikulu ya rais wa Afghanistan huko Kabul wakati Rais Ashraf Ghani alipokuwa akisali sala ya Eid al-Adha.
Ingawa hakukuwa na majeruhi...
Mamlaka ya udhibiti na kuzuia magonjwa Marekani CDC imetangaza amri mpya kuwa watu wote walio choma chanjo ya kuzuia Corona waanze tena kuvaa barakoa katika mikusanyiko ya ndani.
Amri hii inakuja...
Umoja wa nchi huru Africa umeipatia kiti cha kudumu Taifa la Israel kama Mjumbe wake sawa sawa na Nchi za Umoja wa Africa katika baraza lake kuu japo haipigi kura... ikumbukwe Israel alishawahi...
Janga la COVID-19 linaweza kumalizika katika kipindi cha miezi michache ijayo nchini Uingereza, chanjo ikiwa imepunguza sana hatari ya kusababisha kifo au kudhoofika kupita kiasi kutoka na virusi...
Wanamgambo wa Boko Haram wamewaua wanajeshi watano wa Cameroon na raia mmoja kwenye shambulizi kaskazini mwa nchi, wizara ya ulinzi ya Cameroon imesema Jumanne.
Shambulizi hilo lilifanyika...
Kampuni ya Tencent ambayo ni wamiliki wa app ya WeChat ambayo inatumiwa zaidi na wachina, wamesitisha usajili wa watumiaji wapya wa mtandao huo.
Wamefikia hatua hiyo ili waweze kuboresha mifumo...
Ningependa kufahamu taifa la Israel lina sera gani kuhusu mtu mweusi?
Je, mliowahi kufika huko, level ya ubaguzi wa rangi ikoje?
Je, unapatikanaji wa huduma katika public areas ukoje kwa mtu...
Serikali ya Uingereza imetangaza kuanzia leo kuondoa masharti yote ya kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya virusi vya corona. Hata hivyo, hatua hiyo imepingwa na wanasayansi na vyama vya upinzani...
Kampeni ya utoaji wa chanjo ya Corona katika mji wa Vatican iliyoanza siku ya Jumatano inaendelea na miongoni mwa waliopatiwa chanjo hiyo ni Papa Francis na Papa Emeritus Benedict XVI ambapo...
Ripoti ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa leo Jumatatu inasema wanawake na watoto zaidi waliuawa na kujeruhiwa nchini Afghanistan katika nusu ya kwanza ya mwaka 2021.
Hii ni idadi kubwa kuliko miezi...
Mganga wa jadi kutoka nchini Ghana anayefahamika kwa jina la Nana Kwaku Bonsam amedai yeye ndiye anayehusika na kifo cha Nabii maarufu T. B Joshua baada ya mganga huyo kumtuhumu T. B. Joshua...
Tunisian president Kais Saied has suspended parliament and dismissed prime minister Hichem Mechichi after a day of protests against the ruling party brought the country’s political crisis to a...
Wabunge katika taifa hilo la Afrika Magharibi walipiga kura kwa kauli moja siku ya Ijumaa kupiga marufuku adhabu ya kifo na kuibadilisha na kifungo cha maisha au kifungo cha chini cha miaka 30 kwa...
Rais wa Tunisia Kais Saied ameweka amri ya kutotoka nje majira ya usiku kwa kipindi cha mwezi ujao, siku moja baada ya kulisimamisha bunge.
Pia amewafuta kazi mawaziri zaidi wa serikali baada ya...
The 21-year-old, who idolises Cristiano Ronaldo, has already written her name into the record books at Tokyo 2020
Barbra Banda has played two matches at an Olympic Games – and she is already in...
THE CORONAVIRUS CRISIS
The Delta Variant Will Drive A Steep Rise In U.S. COVID Deaths, A New Model Shows
July 22, 20216:24 PM ET
g in consultation with the Centers for Disease Control and...
Hatimaye China imeingia mkataba wa kusupply chanjo ya corona kwa mpango wa covax.
Kampuni za utengenezaji chanjo za china hatimaye zimeula!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
======
Chinese...
Huko New Jersey Marekani, watu 50 ambao wamepata chanjo yote ya Covid 19, yaani wamepata chanjo zote 2 wamefariki kwa Covid 19.
Hivyo kupata chanjo haina maana kua hautaugua covid 19 na haina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.