International Forum

News and Stories from rest of the World
Ndege ya abilia ya ufaransa Air france ilitekwa nyara na magaidi wa kipalestina wakiongozwa na mjeruman Wilfried "Boni" Bose. na mwanamke Brigitte Kuhlmann, Ndege hiyo ilitua Benghazi na...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Derek Chauvin, askari aliyemuua George Floyd kwa goti amehukumiwa kwenda jela miaka 22.5 Kifo cha George Floyd kilisababisha maandamano makubwa ya #BlackLivesMatter nchini Marekani ambapo...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Free Beacon: Marekani inatengua uamuzi wake wa kuitambua rasmi Miinuko ya Golan kuwa ni ardhi ya Israel Jun 25, 2021 11:51 UTC [https://media] Tovuti moja ya Marekani imeripoti kuwa, serikali...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Uchumi umetengeneza ajira zaidi ndani ya miezi minne ya kwanza ya Utawala wa Biden kuliko utawala mwingine wowote katika historia - zaidi ya ajira 500,000 kwa mwezi kwa wastani. Hiyo sio kwa...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Ayatullah Khamenei apewa dozi ya kwanza kabisa ya chanjo ya corona ya COVIran Barekat iliyotengenezwa hapa nchini Ayatullah Khamenei apewa dozi ya kwanza kabisa ya chanjo ya corona ya COVIran...
1 Reactions
5 Replies
933 Views
Hukumu ya kesi ya mauaji ya George Floyd inatarajiwa kutolea leo mchana jijini Minneapolis. Derek Chauvin ambae alikuwa askari polisi tayari amepatikana na hatia ya mauaji ya George. Mwezi April...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ayatullah Khamenei apewa dozi ya kwanza kabisa ya chanjo ya corona ya COVIran Barekat iliyotengenezwa hapa nchini Jun 25, 2021 10:22 UTC [https://media] Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya...
0 Reactions
0 Replies
527 Views
Serikali ya Russia yatoa onyo kali kwa Marekani na NATO Wizara ya Ulinzi ya Russia imetoa onyo kali kwa Marekani na Jeshi la Nchi za Magharibi NATO ikiwaonya wasifanye chokochoko katika Bahari...
5 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wakuu, Huko nchini Indonesia katika mji wa Cipanas wamebuni mbinu ya kuwashawishi wazee (watu wenye umri mkubwa) wabishi wasiotaka kupokea chanjo ya COVID 19 kwa kuwazawadia kuku mmoja...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Watu tisini na tisa bado hawajulikani walipo baada ya jengo la gorofa kupromoka nchini Marekani Tukio hilo limesababuiisha kifo cha mtu mmoja. Mwandishi wa BBC anasema wahdumu wa uokozi wamekuwa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) uliofanyika siku ya Jumatano umeazimia kupeleka wanajeshi nchini Msumbiji kukabiliana na kitisho cha usalama katika jimbo la...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Hii ni kufuatia wananchi kuonesha shaka kuhusu afya ya Rais wao aliyepo madarakani kuonesha ana changamoto kubwa ya kumbukumbu. Na sasa pia daktari bingwa Ronny Jackson aliyewahi kuwa daktari...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Awali lilikuwa ni jambo la kubezwa na kudharauliwa. Wale walioripoti kuona vitu vya ajabu angani hawakuaminika, lakini sana jeshi la Marekani limethibitisha uwepo wa viumbe hivyo. Je, vina madhara...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limetoa ripoti inayoangazia madhara ya mapigano katika eneo la Kaskazini mwa Nigeria, likikadiria kuwa athari za mgogoro huo ni kubwa mara 10 zaidi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Global Times: Marekani ndiyo mashine ya mauaji ya umati duniani Gazeti la lugha ya Kiingereza la Global Times limetoa takwimu zinazohusiana na historia ya mauaji yanayofanywa na wanajeshi wa...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Miami building collapse leaves 99 people unaccounted for Published1 hour ago media captionWatch: Helicopter and eyewitness footage show the scene after the collapse At least one person has died...
0 Reactions
2 Replies
734 Views
John McAfee amekuwa akiwa amefariki katika chumba kimoja cha Gereza katika Jiji la #Barcelona, Uhispania Umauti umemkuta saa chache baada ya Mahakama Nchini humo kuamua kumsafirisha hadi Marekani...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Inasemekana kuwa, hata paka mpole anaweza kupambana kwa nguvu anaposukumwa kwenye kona. Hilo pia ni sahihi kwa binadamu, kwani hata wale wanaoonekana kuwa ni waoga, wanaweza kushambulia katika...
1 Reactions
0 Replies
583 Views
Iran ni nchi ya kwanza duniani kwa kusambaza gesi maeneo mengi nchini Jun 24, 2021 13:15 UTC [https://media] Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran ni ya kwanza duniani kwa...
0 Reactions
0 Replies
636 Views
Ukame unaolikumba eneo la Kusini mwa Madagascar ni mbaya kuwahi kushuhudiwa katika kipindi cha miaka 40 Shirika la mpango wa chakula duniani linaonya kuwa unaolikumba eneo la kusini mwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom