International Forum

News and Stories from rest of the World
Mamlaka za Afya Nchini Zambia zimeeleza wasiwasi wake juu ya ongezeko la vifo vitokanavyo na Virusi vya Corona wakati huu ambapo Taifa hilo linapambana na wimbi la Tatu la Maambukizi Waziri wa...
0 Reactions
1 Replies
941 Views
Jeshi la Yemen latungua ndege ya Marekani Jeshi la Yemen limetangaza kuwa limefanikiwa kutungua ndege ya kijasusi ya Jeshi la Marekani katika anga ya mkoa wa Ma'rib. Msemaji wa Jeshi la Yemen...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ethiopia inafanya Uchaguzi Mkuu hii leo baada ya kuahirishwa mara mbili kutokana na mlipuko wa virusi vya corona na kutoa nafasi ya kukamilisha maandalizi. Huu ni uchaguzi wa kwanza unaompa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Jeshi la Polisi nchini Ureno wamemkamata mwanamume mmoja kwenye uwanja wa ndege huko Lisbon, ambaye alikuwa amebeba kilo moja ya Cocaine kwenye makalio bandia. Vyombo vya habari nchini humo...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Naam, siyo wengine bali ni walewale watoto wa Ayatollah ndiyo wanaoongoza kutupiga tafu kwenye mikopo Siyo China, wala Marekani wanaoongoza kutukopesha ili tufanye mambo ya maendeleo, bali ni...
14 Reactions
204 Replies
14K Views
Idadi ya waliopoteza maisha kutokana na mlipuko wa Corona Nchini Brazil imefikia 500,000 huku Wataalamu wakionya janga hilo linaweza kuwa baya zaidi kutokana na kasi ndogo ya utoaji Chanjo Maelfu...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Idadi ya vifo vinavyotokana na Ugonjwa huo imezidi 400,000. Nchi hiyo ni ya pili duniani kurekodi vifo vingi zaidi huku ikiendelea kupambana na mpango wake wa utoaji Chanjo. Ndani ya saa 24...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Uturuki imepokea Dozi Milioni 5 za Chanjo ya Sinovac inayotengezwa China huku Rais wa Taifa hilo, Tayyip Erdogan, akielezea matumaini ya kuinuka tena kwa Sekta ya Utalii Sekta hiyo imekumbwa na...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais na Mabaraza ya Miji na Vijiji nchni Iran yanaonyesha kuwa Seyyed Ebrahim Raeisi amepata ushindi wa kishindo katika kinyang'anyiro cha kuwania kiti cha Rais wa...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Hong Kong(CNN)A rocket carrying three veteran astronauts bound for China's orbiting space station module will launch from the Gobi Desert in the country's north in just over 24 hours, China's...
9 Reactions
60 Replies
4K Views
MFAHAMU HAYATI KENNETH KAUNDA(KK). Na Elius Ndabila 0768239284 Taarifa iliyoripitiwa hivi leo na vyombo vya ndani vya Zambia ni kuwa Rais wa Rais wa Kwanza wa Zambia Mzee Kenneth KAUNDA ambaye...
6 Reactions
27 Replies
5K Views
Jiwe kubwa la almasi ambalo ni la tatu kwa ukubwa duniani limepatikana nchini Botswana, katika machimbo ya dhahabu ya Jwaneng yanayotajwa kuwa yenye utajiri mkubwa zaidi wa almasi duniani. Jiwe...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
1. Nchi zote Malawi na Zambia zilipata uhuru mwaka 1964 na zote hutumia pesa aina ya Kwacha. Marais waasisi wa Mataifa haya yaani Dk. Hastings Kamuzu Banda (Malawi) na Dk. Kenneth Kaunda (Zambia)...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Mzee Kennedy Kaunda amefariki mchana wa leo wakati akipatiwa matibabu kwenye hospital ya Maina ===== MAISHA YA AWALI Kaunda ni mtoto wa mwisho katika familia ya watoto wanane. Alizaliwa katika...
16 Reactions
136 Replies
12K Views
Why Wall Street is in such a rush to get workers back to the office By Matt Egan, CNN Business Updated 9:18 AM ET, Fri June 18, 2021 Wall Street wants employees back in the office...
1 Reactions
3 Replies
609 Views
Waziri Mkuu wa Israel Naftali Bennett leo Juni 15, 2021 amefanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Idara Kuu ya Ujasusi nchini Israel Security Agency (ISA) Nadav Argaman. Waziri Mkuu ameamua kuwa...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
'Jeshi la nchi kavu la Iran ni la tano kwa uwezo mkubwa duniani' Feb 01, 2020 12:22 UTC Kamanda wa Jeshi la Nchi Kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria uwezo wa kujihami wa Iran na...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Serikali inawapeleka Wataalamu wa Afya kutoka Jeshini kwenye Jimbo la Gauteng ambalo ni idadi kubwa ya watu na ni kitovu cha Biashara, ili kusaidia mapambano dhidi ya Corona Virus. Afrika Kusini...
0 Reactions
0 Replies
887 Views
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limesema idadi ya watu waliolazimika kukimbia makazi yao duniani kwasababu ya mapigano na ukiukwaji wa Haki Za Binadamu imeongezeka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom