Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo itadhibiti mikusanyiko ya Umma kufikia watu 20 na kufunga klabu za usiku wakati Taifa hilo linakabiliwa na wimbi la tatu la maambukizi ya Virusi vya Corona.
Kwa...
The foreign ministers of BRICS (Brazil, Russia, India, China and South Africa) held a meeting on Tuesday and stressed the need to promote initiatives aimed at ensuring timely, affordable, and...
Nimekaa nikawaza sana ila sijapata jibu mpka sasa. Israel inatambulika kimataifa,kwanini Palestina haitambuliki kimataifa?
Mpaka sasa bado sijaona faida ya UN mpaka sasa,hakuna mgogoro UN imeweza...
Sunday, June 13, 2021
Zambia President Edgar Lungu collapsed in the capital, Lusaka, during a national defence day event on Sunday, local media reported.
Shortly after, Secretary to the...
Kituo Cha Marekani cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC) kimetangaza marufuku ya mwaka mmoja ya kuagiza mbwa kutoka nchi 113 kwa kuhofia ugonjwa wa kichaa cha mbwa.
Marufuku hiyo inahusisha mbwa...
Dominic Raab defends G7 barbecue after photos show world leaders not social distancing
The world leaders were shown socialising in close proximity without face masks. (Twitter)
Dominic Raab has...
Nchini Uganda, wanaharakati 18 kutoka chama cha Bobi Wine, wakiwemo watatu wa karibu sana na mpinzani huyo, waliachiliwa kwa dhamana Jumatatu, Juni 14, baada ya karibu miezi sita gerezani...
Huyu Iran ni balaa nyingine aisee, hawa viumbe ni sugu sijapata kuona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe lengo la Iran kuwasaidia hao Wanamgambo wa Yemen ni kutengeneza hezbollah...
ISRAEL SIO TAIFA TEULE
Natumaini mu wazima wote.
Leo tena natumia haki yangu ya kikatiba kutoa maoni yangu kwenye mambo mbalimbali. Leo nyundo yangu itagonga kwenye hii kauli kwamba Israel ni...
Maafisa usalama 3 wa Palestina wauawa shahidi na jeshi la Israel na mwanajeshi mmoja wa Israel aangamizwa.
Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limevamia mji wa Jenin ulioko kaskazini...
Mwenendo wa mlipuko wa COVID19 Nchini humo unaendelea kubadilika na sasa India imerekodi maambukizi mapya 70,421 ndani ya saa 24 zilizopita, ikiwa ni idadi ndogo zaidi kuripotiwa tangu Machi 31...
Rais Felix Tshisekedi amesema Hospitali za Mji Mkuu wa Kinshasa zimelemewa kufuatia ongezeko la maambukizi ya Corona. Taifa hilo limerekodi visa takriban 35,000 na vifo 830
Kampeni ya Chanjo...
Afrika Kusini imewafukuza wanadiplomasia kadhaa wa Malawi baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na biashara haramu ya kuuza pombe bila kulipa tozo. Taifa hilo pia limefukuza Wanadiplomasia...
Rais Muhammadu Buhari amekiri kushindwa kumaliza hali tete ya usalama Nchini humo, ahadi ambayo alitoa alipochaguliwa mwaka 2015.
Kauli yake imekuja wakati baadhi ya Wananchi wakiandamana kuhusu...
Baada ya USA kujitoa ktk mpango wa nuclear ya Iran Sasa tunaona hali ya usalama ktk hili eneo ikiwa mbaya zaidi. Waziri Mkuu Netanyahu tayari yupo Russia. Zaidi ya rockets 20 zimefyatuliwa usiku...
Jana nimeona kwenye BBC ugaidi unaofanywa na Palestine kurusha makombora kwa raia na kwenye nyumba za ibada, matisho kwa raia Wa kiyahudi yakuwa chungu mzima, serikali ya Israel sasa hamkwepi...
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limeidhinisha azimio la kisiasa, la kuyamaliza maradhi ya UKIMWI ifikapo mwaka 2030. Kulingana na azimio hilo wanachama wa baraza hilo kuu wameahidi kupunguza...
Hospitali nchini Madagascar zimekuwa zikikabiliana na ongezeko la maambukizi ya Covid-19 , huku rais akiendelea kunadi dawa ya mitishamba anayodai ina uwezo wa kutibu ugonjwa wa Covid 19.
Visa...
RwandaAirCopyright: RwandaAir
Shirika la ndege la Rwanda, RwandAir imetangaza kuwa imesitisha kwa muda safari zake za ndege za kwenda na kutoka kwenye uwanja wa kimataifa wa ndege wa Uganda wa...
Wanamgambo wa Kikurdi wanaofanya kazi ya kulinda amani kaskazini mwa Syria wanasema kuwa wamemkamata mtu mmoja mzaliwa wa Syria mwenye uraia wa taifa la Ujerumani ambaye anashukiwa kuwasaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.