Bw. Trump alifungiwa na Twitter na Facebook mwezi JanuariImage caption: Bw. Trump alifungiwa na Twitter na Facebook mwezi Januari.
Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amepingeza hatu ya...
Mwanasheria Mkuu wa Nigeria, Jenerali Abubakar Malami ameagiza kufunguliwa mashtaka mara moja kwa watu wote watakaokaidi agizo la serikali la kufungia mtandao wa kijamii wa Twitter.
Mapema jana...
Osei-kwame, also known as Despite, is a level-headed businessman with a very good background in music production and knows the broadcasting industry like the back of his palm.
Osei-Kwame is the...
Afisa wa Juu wa Shirika la Afya Duniani amesema WHO haina mamlaka ya kuilazimisha China kutoa taarifa zaidi kuhusu asili ya mlipuko wa Virusi vya Corona
Hivi karibuni Nadharia ya kuvuja kutokea...
Hivi sasa wanafunzi wengi wapo katika kipindi muhimu sana hususan wale wanaomaliza masomo yao ya sekondari ya juu na ambao wanajiandaa kujiunga na taasisi za elimu ya juu au vyuo vikuu ili kuanza...
Bunge la Israeli limesema Kura juu ya Serikali mpya ambayo inaweza kumaliza Utawala wa miaka 12 wa Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu, itapigwa Juni 13, 2021.
Kiongozi huyo aliyehudumu kwa muda...
Miji mikubwa Nchini humo ikiwemo Mumbai na New Delhi imeanza kufunguliwa baada ya wimbi la pili ya Virusi vya Corona ambalo limetajwa kuwa baya zaidi kupelekea vifo vya maelfu ya watu.
Idadi ya...
Multiple outages hit social media, government and news websites across the globe on Tuesday morning, with some reports pointing to a glitch at U.S.-based cloud computing services provider Fastly...
Kiongozi wa kundi la wanamgambo wa Boko Haram nchini Nigeria Abubakar Shekau, amejiua mwenyewe , wanamgambo wa kundi hasimu wamesema katika sauti iliyorekodiwa.
Katika rekodi ya sauti...
Licha ya kitendo chake cha kufanya Mapinduzi ya Kijeshi mara mbili ndani ya miezi tisa kukosolewa, Kanali Assimi Goita amekula kiapo kuwa Rais wa Mpito wa #Mali akiahidi Uchaguzi Mkuu utafanyika...
The Sakharov Prize for Freedom of Thought, named after Soviet scientist and dissident Andrei Sakharov, was established in December 1988 by the European Parliament as a means to honour individuals...
Baada ya vyombo vingi vya habari vya magharibi kuonesha uraibu wao wa kusambaza uvumi kuhusu China, namna wanavyotengeneza habari hizi feki imekuwa wazi, kiasi cha kuwezekana kupata “mwongozo...
Hivi karibuni, China ililegeza zaidi sera yake ya uzazi wa mpango, na kutangaza kuunga mkono wanandoa wanaopenda kupata mtoto wa tatu. China ni nchi inayoongoza duniani kwa idadi kubwa ya watu...
Mwanzoni mwa mwezi huu mjumbe wa kudumu wa kamati ya kisiasa ya chama cha Kikomunisti cha China, na katibu wa kamati ya nidhamu ya Chama cha Kikomunisti cha China Bw. Zhao Leji, alitoa mwito tena...
Foreign Secretary Dominic Raab to determine fate of £1.4bn of gold deposited in the Bank of England (msn.com)
In a case that is set to determine the fate of almost £1.4bn of Venezuelan gold...
Hivi karibuni, waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken alitoa kauli inayokwenda kinyume na ukweli, akizilaumu kampuni za China kupeleka wafanyakazi wake wengi barani Afrika na kunyima...
Mkutano wa Dunia kuhusu Vyama vya Siasa vinavyofuata itikadi ya Umaksi umefanyika hivi karibuni lwa njia ya mtandao, na mkuano huo haukupata umaarufu sana kwenye habari za kimataida, kwa sasa...
Tehran(CNN)A huge blaze broke out at an Iranian oil refinery south of Tehran on Wednesday, a spokesman for Iran's emergency department said, according to state media. At least 11 people have been...
Kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Mjumbe wa Taifa wa China na Waziri wa Mambo ya Nje Wang Yi amesema China inaona uwezo wa Afrika wa kusimamia COVID-19 ni muhimu katika kusaidia dunia...
Serikali ya Nigeria imefungia kwa muda usiojulikana huduma za Mtandao wa Kijamii wa Twitter kwa madai ya Mtandao huo kutumika kuhatarisha uthabiti wa taifa hilo.
Tangazo rasmi la kufungiwa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.