Jumanne ya tarehe 29/06/2021 Polisi wa Mji mkuu wa New Delhi walieleza kuwa wamefungua kesi dhidi ya Mtandao wa Twitter kwa madai ya kupatikana maudhui ya unyanyasaji wa kingono kwa watoto katika...
Wanasiasa wa Upinzani Nchini humo wameikosoa kitendo cha Serikali kuingia makubaliano na Ujerumani kuhusu mauaji ya kimbari wakati wa Ukoloni, ambapo Taifa hilo liliomba msamaha na kuahidi Dola za...
Urusi inakabiliwa na wimbi jipya la Corona Virus ambapo vifo 611 vimerekodiwa ndani ya saa 24 zilizopita na kupelekea idadi ya waliofariki dunia kufikia 133,893.
Aidha, visa vipya 21,650...
Serikali ya Ethiopia Jumatatu imetangaza sitisho la mapigano katika jimbo la Tigray, miezi minane baada ya mzozo mbaya uliosababisha mafaa mengi, wakati ma elfu ya wakazi wakikabiliwa na baa la...
Ongezeko la maambukizi #Tokyo limesababisha hofu ya uwezekano wa kutokea Wimbi la Tano la Virusi vya Corona, ikiwa ni takriban mwezi mmoja kabla ya michezo ya Olimpiki.
Ishara kuwa visa...
Marekani imeanzisha mashambulio ya angani dhidi ya wanamgambo wanaoungwa mkono na Iran huko Iraq na Syria, Pentagon imetangaza.
Mashambulizi hayo yalilenga "Eneo la kuhifadhi silaha", kwa kujibu...
Pasi maalumu ya Umoja wa Ulaya, itakayoanza kutumika tarehe 1 mwezi Julai kurahisisha safari kwenda Ulaya kwa wale waliopata chanjo itaanza kufanya kazi lakini ikiwa na sharti moja muhimu.
Mtu...
Wapiganaji wa Al-Shabaab walivamia kambi ya jeshi ya Galmudug mjini Wisil katikati ya Somalia ambapo walifanikiwa kuwaua watu 30
Shambulio hilo limetokea Juni 27, ambapo wa[piganaji walivamia na...
Wapiganaji 18 wa Al-Shabaab ambao walihukumiwa kifo, wameuawa Juni 27 katika Galkayo Jimbo la Puntland nchini Somalia.
Wapiganaji hao walihusika na mauaji ya watu muhimu wa nchi hiyo yakiwemo...
Wakati shamrashamra za mkutano wa Kundi la Nchi 7 (G7) uliofanyika Carbis Bay, Uingereza zikimalizika, wataalam wanatathmini ahadi na mawasiliano ya jumla yaliyotolewa kwenye mkutano huo wa nchi 7...
Makanisa zaidi yachomwa moto Canada baada ya kugunduliwa makaburi ya wanafunzi wa shule ya wamishonari
Polisi ya Canada imetangaza kuwa kuna uwezekano wa kuwepo mfungamano baina ya kugunduliwa...
Afrika Kusini imetangaza masharti mapya yanayolenga kudhibiti ongezeko la maambukizi ya Virusi vya Corona ambapo mikusanyiko yote ya ndani na nje itapigwa marufuku kwa siku 14
Aidha, Rais Cyril...
Jenerali Gerasimov: Russia inalinda haki yake ya kutumia silaha za nyuklia kujibu mapigo
Jenerali Valery Gerasimov
Jenerali Valery Gerasimov
Kamanda wa Majeshi ya Russia amesema kuwa Moscow...
Iran yazima jaribio la kushambuliwa shirika lake la nishati ya atomiki na hakuna chochote kilichotokea
Jun 24, 2021 03:06 UTC
[https://media]
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetibua njama za...
Kila mara najiuliza hivi ni kweli ndege iliyowaua akina Habyarimana na rais wa burundi wakati ule ilitunguliwa kweli na RPF au ni uzushi tu. Na kama RPF waliitungua ndege hiyo je wamechukuliwa...
Waziri wa Afya wa Uingereza Bi. Nadine Dorries amepatikana na maambukizi ya virusi vya Corona.
Bi Dorries ambaye ni mbunge wa kwanza kupima na kukutwa na virusi hivyo, amesema amechukua tahadhari...
Jee taifa la mungu,kizazi teule,watoto barikiwa wa mungu wamekuaje tena??[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]
Waziri wa kwanza anayeshiriki wazi mapenzi ya jinsia moja...
Ahmadinejad Claims Israel Infiltrated Iranian Intelligence
Former President Mahmoud Ahmadinejad says the highest-ranking Iranian intelligence official in charge of countering Israeli spies in...
A sabotage operation against one of the buildings of Iran’s Atomic Energy Organization (IAEO) caused major damage – despite Iranian denials, The Jerusalem Post learned on Wednesday night...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.