Mashambulizi ya Anga yametokea tena katika eneo la mpakani kati ya Syria na Iraq, Mashambulizi hayo ya usiku wa kuamkia Jumanne yasemekana yameharibu maghara ya Silaha na inasemekana Wanajeshi...
Uungwana ni kitendo au vitendo, kumuona rais wa nchi akijishusha ni nadra sana hapa duniani.
Joe Bidden apiga goti kwa mtoto wa George Floyd aliyeuawa mwaka jana
Rais wa Marekani, Joe Biden...
Bwawa la Grand Renaissance Dam ambalo limekuwa likijengwa nchini Ethiopia kwa zaidi ya miaka 10 sasa linatajwa kuwa ndio litakuwa kubwa kabisa Afrika kwa sasa.
Bwawa hili limefikia hatua ya...
Mkuu wa shughuli za kibinadamu katika Umoja wa Mataifa Mark Lowcock amesema ukatili wa kijinsia na ubakaji unatumiwa kama silaha za vita katika jimbo la kaskazini mwa Ethiopia la Tigray, ambapo...
Pamoja na kwamba maambukizi ya maradhi ya corona nchini Brazil kutajwa kuwa makubwa na kwamba siku ya Ijumaa pekee watu zaidi ya 4000 walikufa kutokana na athari za maradhi hayo.
Pamoja na hivyo...
Ili kurejesha Serikali ya Kidemokrasia kufuatia Mapinduzi ya Kijeshi ya mwaka jana, Mali itafanya Uchaguzi wa Wabunge na Urais Februari 2022.
Shinikizo na vikwazo kutoka kwa Viongozi wa Afrika...
Former President John Agyekum Kufour has disclosed that he had a fear of being overthrown through coup d’état when he ascended the Presidency, a reason why he appointed his brother, Addo Kufour as...
Zimbabwean troops are girding for war after President Emmerson Mnangagwa and other regional leaders agreed an "immediate technical deployment" to help Mozambique fight Islamic insurgents who have...
Watoto 20 wamefariki dunia katika ajali ya moto iliyotokea Shule moja katika Mji Mkuu wa Niger, Niamey. Imeelezwa, moto ulianza wakati watoto wakiwa kwenye vipindi na wengi wao walikuwa madarasa...
Marekani imeogopa kupeleka meli mbili za kivita black sea baada ya baada ya Russia kutoa onyo kua Marekani ikae mbali na Black Sea wakati huohuo Russia imepeleka meli 15 Black Sea na Joe Biden...
Nchi hiyo inawatuhumu baadhi ya washirika wake kwa nje kwa wake kudhoofisha Uhuru wake baada ya Serikali kutishiwa na vikwazo kufuatia uamuzi wa kuongeza mamlaka ya Rais kwa miaka miwili...
Kiwanda cha nyuklia nchini Iran kilipigwa na "hujuma " siku moja baada ya kufichua kifaa kipya cha urutubishaji wa madini ya urani, amesema afisa wa ngazi ya juu wa masuala ya nyuklia nchini Iran...
India imerekodi visa 200,739 ndani ya saa 24 zilizopita huku Hospitali nyingi zenye wagonjwa wa Virusi vya Corona zikiripoti uhaba wa vitanda na Oxygen
Taifa hilo linakabiliwa na wimbi jipya la...
Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binaadamu Michelle Bachelet ameonya kuhusu uwezekano wa uhalifu dhidi ya ubinaadamu Myanmar na kusema nchi hiyo inaonekana kuelekea katika mzozo mkubwa...
Thirty years ago, Dubai was nothing but a desert but it has rapidly developed to become one of the main commercial hubs and tourist destinations in the the world
But like every other nation...
Rais wa Somalia, Mohamed Abdullahi Mohamed amesaini Sheria Tata inayoongeza mamlaka yake kwa miaka miwili, huku hatua hiyo ikipingwa vikali na Wafadhili.
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la...
Viongozi wa upinzani nchini Somalia na majimbo ya mkoa wa Jubbaland na Puntland, pamoja na baraza la seneti la nchi hiyo, wamepinga uamuzi wa bunge la nchi hiyo kuongeza muda wa urais kwa miaka...
Mkuu wa polisi huko Minneapolis, amesema polisi aliyemuua kwa kumpiga risasi Mmarekani mweusi mjini humo hakunuia kumuua kwa kuwa alitoa bastola yake kwa bahati mbaya wakati mtu huyo alipokuwa...
Maandamano yameibuka katika Mji wa Minneapolis baada ya Polisi kumpiga risasi Daunte Wright (20) Raia mwenye asili ya Mmarekani Mweusi kwenye gari lake eneo la Brooklyn Center
Mamia ya watu...
Nimefanya utafiti wa takwimu za rangi na matabaka ya kijamii na ambavyo wanaathirika na mfumo wa utoaji haki na kuzuia uhalifu nchini Marekani
1. Wamarekani Weusi wako hatarini zaidi kuuawa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.