International Forum

News and Stories from rest of the World
WASHINGTON— US President Biden called on members of Congress on Wednesday (April 7) to approve his $2 trillion infrastructure plan. Biden said that China and other countries ran ahead of the...
0 Reactions
2 Replies
862 Views
Hellow, Wakuu naomba kujuzwa kuhusu habari hii tajwa hapo juu ama kama kuna threads ilishawai kuzungumzia Palestina pamoja army power yake tafadhali. Kuna mahala nilisikia kwamba Palestina...
1 Reactions
83 Replies
9K Views
Je, siri ya China kupunguza umaskini ni nini? -------usawa wa kijinsia katika elimu ni muhimu kufanya umaskini ‘kutorithiwa’. na Hassan Zhou Ofisi ya habari ya Baraza la Serikali la China hivi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jina lake halisi ni (Sultan Haji Hassanal Bolkiah Mu'izzaddin Waddaulah ibni Al-Marhum Sultan Haji Omar Ali Saifuddien Sa'adul Khairi Waddien Sultan and Yang di-Pertuan) wa Brunei taifa lilopo...
8 Reactions
50 Replies
11K Views
Je, siri ya China kupunguza umaskini ni nini? ------Ni kwa jinsi gani ‘kijiji cha kwanza cha China katika kupambana na umaskini’ kilivyofanikiwa? Na Hassan Zhou Ofisi ya habari ya Baraza la...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
On Tuesday, joint negotiations between the P5+1 group were kicked off in Vienna with a goal to determine a path to a possible full restoration of the Joint Comprehensive Plan of Action (JCPOA)...
0 Reactions
2 Replies
617 Views
Hakika hakuna kinachoshindikana chini ya mbingu. Mwanasheria nchini Kosovo amekuwa Rais wa kwanza wa kike na mwenye umri mdogo zaidi. Hongera kwake The 120-seat parliament gave 71 votes to...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mamlaka za nchini Saudi Arabia zimesema watu waliopata chanjo ya corona peke yake ndio wataruhusiwa kufanya ibada ya Hija mwaka huu huko Mecca. Wizara ya Hija na Umrah imetoa taarifa kuwa watu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mzozo uliokosa suluhisho katika Jimbo linalotaka mamlaka ya ndani (Tigray) nchini Ethiopia ambao kiufupi uliwaka Moto Usiku wa tarehe 3-4 mwezi November mwaka 2020 wakati majeshi ya Tigray katika...
2 Reactions
3 Replies
696 Views
Inaelezwa kuwa walifungwa na nyaya za umeme, kushambuliwa na kuibiwa vito vyao vya thamanijiji Paris. Bernard Tapie, mwenye miaka 78 aliyewahi kuwa waziri kwa muda mfupi anadaiwa kuwa ni mtu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Barack Obama aliingia madarakani akibeba matumaini makubwa sana ya watu weusi wa Marekani na waafrika wengi kwa ujumla. Watu walifurahi sana na nyimbo nyingi zikaimbwa kusherehekea ujio wa nabii...
11 Reactions
83 Replies
8K Views
Waziri Mkuu wa Australia, Scott Morrison amesema Wanasiasa pamoja na Majaji Nchini humo hawatokuwa na kinga dhidi ya kanuni za unyanyasaji wa kijinsia katika maeneo ya kazi. Kauli ya Waziri Mkuu...
0 Reactions
0 Replies
595 Views
Chama Tawala cha Korea Kusini, Democratic Party kimepata pigo kubwa baada ya kushindwa Uchaguzi wa Meya katika Miji miwili mikubwa zaidi Nchini humo, Seoul na Busan. Wagombea wa Upinzani...
1 Reactions
2 Replies
947 Views
Seven deaths in UK among AstraZeneca jab recipients after blood clots SATURDAY APRIL 03 2021 This picture shows vials of the AstraZeneca Covid-19 vaccine in Paris on March 11, 2021.AFP PHOTO By...
2 Reactions
44 Replies
4K Views
Rais wa Nigeria Muhammad Buhari alienda Uingereza kupata matibabu lakini Wanaharakati wakiongozwa na Reno Omokri ambae anaishi Marekani wakafunga Safari mpaka London wakajumuika na Wananchi...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
There is a lot of talk katika mji wa Mirerani kuhusu uchimbaji na biashara ya madini ya Tanzanite sasa kudhibitiwa na Rwanda, na ukikaa kwenye sehemu za starehe utasikia kila kitu, hata usiyopenda...
4 Reactions
78 Replies
11K Views
Polisi wanalaumu shambulio hilo lilifanywa na kundi linalotaka kujitenga la wenyeji wa Biafra, ambalo lilipigwa marufuku Mamlaka ya kitaifa ya magereza nchini Nigeria imethibitisha kwamba zaidi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimesikia kesho mtakuwa na kikao cha wakuu wa nchi za jumuia ya SADC .wito wangu unganisheni nguvu za kijeshi kuwashambulia hao wanamgambo kaskazini mwa msumbiji. Mkishindwa mseme niwasaidie!
0 Reactions
4 Replies
763 Views
Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa yamesema theluthi ya wakazi wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanakabiliwa na njaa kali na wametoa wito wa kuongezewa fedha za dharura ili kukabiliana na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Korea Kusini imesema itasitisha kwa muda utoaji chanjo ya AstraZeneca kwa watu chini ya miaka 60, huku ikiidhinisha Chanjo ya Johnson & Johnson. Sintofahamu kuhusu ubora na madhara ya baadhi ya...
0 Reactions
2 Replies
881 Views
Back
Top Bottom