This is amazing. The country is nearly fully open.
Today there are 96% fewer cases compared to the peak in mid-January. This is thanks to the vaccination rollout in Israel.
Chama cha upinzani cha kisoshalisti nchini Algeria FFS kimetangaza kitasusia uchaguzi wa bunge wa mapema uliopangwa kufanyika mnamo Juni 12 kikisema mazingira ya kufanyika uchaguzi huo...
Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Afya, India imerekodi maambukizi mapya 103,558. Idadi hiyo imetajwa kuwa kubwa zaidi kurekodiwa katika siku moja
Visa vya Virusi vya Corona Nchini humo...
Flores Mashariki mwa Indonesia ni miiongoni mwa maeneo yaliyoathiriwa zaidi na mafuriko hayo
Watu wapatao 50 wamefariki kufuatia mafuriko na maporomoko ya udongo kukumba Indonesia na Timor Leste...
Polisi 22 wameuawa na wengine 30 wakijeruhiwa katika jimbo lenye utajiri wa dhahabu la Chhattisgarh, India baada ya kuvamiwa na wafuasi wa Chama cha Kikomunisti cha India (Maoist).
Kulikuwa na...
Kesi ya ufisadi dhidi ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, inatarajiwa kuendelea ambapo Mahakama iliyopo Jerusalem itasikiliza ushahidi kwa mara ya kwanza.
Netanyahu (71) anakabiliwa na...
Kundi la kutetea haki za binaadamu nchini Myanmar limesema idadi ya watu waliofariki kutokana na kamata kamata inayofanywa na jeshi imefikia 550 wakiwemo watoto 46 tangu kulikofanyika mapinduzi ya...
Wanafikra Wazayuni: Israel ni dhaifu na tete katika kukabiliana na vita vya pande zote
Kituo cha tafiti za usalama wa ndani cha utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kimesema, hatari kuu...
Serikali ya Ujerumani imesema kuwa inasitisha matumizi ya chanjo ya corona ya Oxford-AstraZeneca kwa watu wenye umri ulio chini ya miaka 60, kwasababu wanahofia watu kuganda damu baada ya kupata...
Kampuni maarufu kwa viatu vya michezo ya Nike imeshinda keshi dhidi ya kampuni ya MSCHF juu ya ‘Viatu vya shetani’ vilivyosababisha utata ambavyo zinasemekana kuwa na tone la damu ya binadamu...
Salehi: Mkwamo katika mapatano ya JCPOA umeanza kuondoka
Apr 03, 2021 07:28 UTC
[https://media]
Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran amesema kuwa, mkwamo katika mapatano ya kimataifa...
Mahakama ya mji mkuu wa Moscow nchini Urusi, imeitoza Twitter faini ya fedha ruble milioni 3.2 kwa ukiukaji wa kiutawala.
Kesi iliyowasilishwa na Idara ya Teknolojia ya Habari ya Serikali ya...
There are sure things in life that ought to be done with some restraint as opposed to in overabundance since they can hurt our bodies whenever done in abundance. Drinking cocktails isn't unlawful...
Sanders: Dhulma isiyoelezeka Marekani, watu 50 wana utajiri kuliko wa nusu ya Wamarekani
Mar 27, 2021 02:33 UTC
Bernie Sanders, seneta wa chama cha tawala cha Democratic cha Marekani...
Waasi wameamua kumaliza kabisa sasa washaingia wilaya ya Palma ambapo ndo kitovu cha mafuta na Gas toka Juzi mpka sasa washachoma kila kitu cha serikali kambi ya jeshi ipo mikononi mwao kituo cha...
New Delhi [India], March 23 (ANI):
India and Pakistan on Tuesday here began the annual meeting of the Permanent Indus Commission (PIC).
The meeting is being held after a gap of more than...
Yemen yashambulia vituo 'nyeti' vya kijeshi vya Saudia jijini Riyadh
Msemaji wa vikosi vya jeshi la Yemen ametangaza habari ya kushambuliwa vituo nyeti na hasasi vya Saudi Arabia katika mji mkuu...
Salehi: Mkwamo katika mapatano ya JCPOA umeanza kuondoka
Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran amesema kuwa, mkwamo katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA umeanza kuondoka na...
There's been a security incident outside the capitol, one policeman is receiving treatment, while one officer succumbed to injuries. The suspect too, was neutralized on sight after he lunged at...
Mabibi na mabwana pana habari za kutia moyo sana tokea kwa wale magwiji wa tiba ambako mh. Kabudi aliwahi kufuata dawa ya kutibu Corona kwa niaba yetu.
Hatimaye Madagascar rasmi wamejisajili leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.