International Forum

News and Stories from rest of the World
Jeshi la Myanmar limeamuru hii leo kufungwa kwa huduma za intaneti wakati waandamanaji wanaopinga mapinduzi ya kijeshi wakiendelea kupuuza kitisho cha matumizi ya silaha yaliyotolewa na jeshi...
0 Reactions
1 Replies
864 Views
Madagascar imeamua kubadili mtazamo wake juu ya kukabiliana na virusi vya corona na kujumuika na jitihada za kimataifa kupata chanjo ya corona. "Kuna hatua kadhaa ambazo inabidi kupitia kabla ya...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Japan nchi za Umoja wa Ulaya na Marekani zimesema wanasayansi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) walichelewa kufuatilia asili ya Virusi vya Corona. Aidha wamesema hawakupewa ushirikiano wa kutosha...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Shirika la Kimataifa la kutetea haki za Binadamu la Human Rights Watch, limeishtumu Rwanda kwa kuendelea kubana, kuwatishia na kuwakamata wanaotumia mitandao ya Youtube na Blogu mbalimbali...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Serikali ya Ujerumani imesema kuwa inasitisha matumizi ya chanjo ya corona ya Oxford-AstraZeneca kwa watu wenye umri ulio chini ya miaka 60, kwasababu wanahofia watu kuganda damu baada ya kupata...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya ndani ya nchi, iliripotiwa kuwa milio ya risasi ilisikika ikizunguka ikulu ya rais katika mji mkuu wa Niamey nchini Niger na kudumu kwa karibu nusu saa, na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Serikali ya Ujerumani Yazuia Matumizi ya Chanjo Ya Corona Kwa Walio Na Umri Chini Ya Miaka 60 Kutokana Na Changamoto Ya Kuganda kwa Damu! Germany restricts use of AstraZeneca vaccine to over 60s...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Ujerumani imewashauri raia wake kuondoka nchini Myanmar haraka iwezekanavo kufuatia ongezeko la machafuko katika taifa hilo la kusini mashariki mwa Asia. Ofisi ya mambo ya nje ya Ujerumani...
0 Reactions
1 Replies
731 Views
Rais wa Honduras Juan Orlando Hernandez atoa ujumbe baada ya kaka yake Juan Antonio "Tony" Hernandez kupatikana na hatia ya ulanguzi wa madawa ya kulevya nchini Marekania, huko Tegucigalpa...
1 Reactions
5 Replies
900 Views
Rais Juan Orlando Hernandez wa Honduras amejitangaza kuwa mshindi wa uchaguzi wa rais baada ya kupata karibu asilimia 44 ya kura. Kwa mjibu wa matokeo ya awali yaliyokwisha patikana mtangazaji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Watafiti nchini Mexico wanadai kuwa wamebuni mtindo mpya wa Barakoa (mask) ambao utamuwezesha mtumiaji kuweza kula, kunywa na hata kuzungumza huku akiwa bado amejilinda dhidi ya Virusi vya Corona...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa China Tehran; kupandishwa uhusiano kati ya Tehran na Beijing hadi kiwango cha ushirikiano wa kistratejia Mar 27, 2021 11:29 UTC Iran na China, zikiwa nchi...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Laurent Gbagbo akiwasalimu wafuasi wake wake Februari 6, 2020 huko Hague Kesi ya rais wa zamani wa Cote d'Ivoire na waziri wake wa zamani Charles Blé Goudé ilianza mwezi Januari 2016. Wote...
0 Reactions
1 Replies
685 Views
Kupitia katika ujumbe wa video kwa Mkutano wa tano unaofanyika Brussels, Ubelgiji, kuunga mkono Syria na ukanda huo, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito kwa wafadhili...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani Anthony Blinken ameufungua mkutano na washirika wa jumuiya ya kujihami ya NATO kwa kuwaomba wanachama wenzake kushirikiana nayo dhidi ya kitisho cha China...
5 Reactions
45 Replies
5K Views
Habari ndio hiyo ... hutaki unaacha! ============================ Riyadh (AFP) - Saudi Arabia's crown prince hosted a delegation of American Christian evangelicals on Tuesday, state media said...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Katika hali ya kawaida ni vigumu sana kusikia mtu mwenye umri wa miaka 91 bado yupo kazini na wala hana mpango wa kustaafu, na kitu gani kinakuja haraka haraka kichwani mwako unaposikia kuwa yupo...
6 Reactions
22 Replies
4K Views
Imagine Africa ingekuwa nchi, imagine wazo la mzee wetu Kwame Nkrumah lingefanikiwa, leo hii uchumi wa dunia tungekuwa tumeushikilia sisi, tungekuwa tishio kuliko China ilivyo kwa USA. Uwezo wetu...
8 Reactions
17 Replies
2K Views
Moja ya sababu zilizofanya mitandao ya kijamii kuaminiwa zaidi na watumiaji ni kutokana na hakikisho la usalama wa mawasiliano kwa kutumia mfumo wa msimbo fiche wa mwisho hadi mwisho (end-to-end...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Mapigano yashtadi kati ya majeshi ya Uturuki na Syria, askari kadhaa wa pande mbili wauawa Feb 04, 2020 07:40 UTC [https://media] Askari kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano kati ya...
2 Reactions
158 Replies
16K Views
Back
Top Bottom