Beijing to invest $400 billion in Iran in exchange for oil, report says; agreement will strengthen military ties and may undermine US leverage in Middle East
TEHRAN — Iran and China on Saturday...
Rais wa Bolivia, Evo Morales amekumbwa na fedheha kubwa baada ya simu yake kutoa sauti zinazoaminika ni za watu wanaofanya ngono wakati akiwa ndani ya mahakama
Mkasa huo umetokea wakati Rais...
Wanajeshi 25 wa vikosi vya usalama Msumbiji wameuawa huku wengine 15 wakijeruhiwa baada ya kushambuliwa na wanamgambo wa Kiislamu katika kijiji cha Matambalale eneo la Muidumbe.
Kundi la maafisa...
Muungano wa Wafanyakazi nchini Uingereza umeonya kile ilichokiita 'mwanya mkubwa' katika sheria za ajira na matumizi ya teknolojia ya ufahamu bandia (AI) katika mchakato wa ajira.
Kutokana na...
Matokeo ya uchaguzi wa Bunge nchini Israel yanaonyesha taifa hilo lililogawanyika huenda likaingia kwenye suru nyingine ya uchaguzi baadae mwaka huu, kufuatia dalili za kutopatikana mshindi...
Jaji wa mahakama hiyo amesema utaratibu wa namna ya kuvaa kwa shule binafsi uachwe mikononi mwa shule hizo kwenye vitu vitakavyo ruhusiwa na visivyoruhusiwa.
Hii inaweza kumaanisha kwamba mabinti...
Afisa wa ngazi ya juu katika baraza la haki za binadamu la Ulaya ametahadharisha kuhusu ongezeko la visa vya ubaguzi nchini Ureno. Kamishna wa baraza la haki za binadamu la Ulaya, Dunya Mijatovic...
Ujumbe wa maneva ya kijeshi ya Iran na Russia: Kuimarishwa amani, urafiki na usalama katika eneo
Maneva ya usalama wa baharini kati ya Iran na Russia katika mwaka huu wa 2021 ilianza jana Jumanne...
Mwanahistoria na Mwanaharakati nchini Morocco Maati Monjib aliyekuwa jela na kugoma kula kwa siku 19 ameachiliwa huru baada ya kushikiliwa kwa kipindi cha miezi mitatu.
Msomi huyo mwenye umri wa...
Lithuania, Latvia na Estonia ambazo ni Wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) zimeitaka Urusi kuruhusu kutolewa kwa huduma za Afya kwa mkosoaji wa Rais Vladimir Putin, Alexey Navalny.
Mawaziri wa Mambo...
Wapinzani Nchini Belarus wameitisha maandamano mapya dhidi ya Rais wa muda mrefu, Alexender Lukashenko ili kushinikiza aachie madaraka
Lukashenko ambaye amekuwa Rais kwa takriban miaka 27...
Bunge la New Zealand limepitisha Sheria inayowapa Wanawake pamoja na wenza wao haki ya kupewa mapumziko yenye malipo pale ujauzito unapotoka au Mama anapopoteza Mtoto kabla au wakati wa...
Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Afya, Visa vipya 53,476 vya COVID-19 vimerekodiwa Nchini humo, ikiwa ni idadi kubwa zaidi ya maambukizi ya siku tangu Oktoba 23, 2020.
Kwa takwimu za Shirika la...
The Duke of Sussex is to become chief impact officer at the US coaching and mental health firm, BetterUp.
Prince Harry said in a statement that he was "really excited" about taking on the new...
Mtu mmoja aliyejihami kwa bunduki amewaua watu 10, pamoja na afisa wa polisi, kufuatia makabiliano ya saa kadhaa katika soko la mboga huko Colorado, polisi wa Marekani wanasema.
Shambulio hilo...
Idadi ya vifo vinavyorekodiwa kwa siku Nchini humo vimepita 3,000 kwa mara ya kwanza, ikielezwa mlipuko wa Virusi vya Corona unaendelea kusambaa, huku Hospitali zikikaribia kulemewa
Brazil...
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ametahadharisha juu ya Uturuki kuingilia kati katika uchaguzi wa rais nchini Ufaransa mwaka ujao.
Ameituhumu serikali ya mjini Ankara kwamba inaeneza uwongo...
Denis Sassou Nguesso amechaguliwa kuongoza Jamhuri ya Congo kwa awamu nyingine akipata 88.57% ya Kura kwa mujibu wa matokeo ya awali.
Mpinzani mkuu wa Nguesso, Guy Brice Parfait Kolelas...
Shirika linaloshughulikia haki za watoto duniani, Save the Children, linasema kuwa robo ya raia waliouawa ndani ya kipindi cha miaka mitatu nchini Yemen ni watoto, huku misaada ya kibinaadamu...
President Donald J. Trump gives a fist bump to the press. (Official White House Photo by Tia Dufour)
Former President Donald Trump is planning to launch his own social media platform within the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.