Shirikisho la Soka Duniani, FIFA, limeifungia Chad kushiriki michuano ama michezo yoyote ya kandanda ulimwenguni la baada ya serikali ya nchi hiyo kuingilia kati namna ambavyo shirikisho la soka...
Chuo Kikuu cha Oxford kimesitisha majaribio iliyokuwa ikifanya kwa Watoto na Chanjo ya Virusi vya Corona iliyotengeneza kwa ushirikiano ya AstraZeneca, ikisema inasubiri taarifa zaidi kuhusu...
Aisee, nmeona walibya wanavyouawa na kuzikwa kwa pamoja inauma sana jamani.
Yani pale Libya sasa hivi hata sungusungu tu wanatawala na kufanya wanalotaka kwa raia.
Hakika sasa Demokrasia na...
Tulipopiga kelele kuhusu hili suala tulionekana ni mazuzu, viongozi wa Bakwata walikuwa busy kumsifu na kumtukuza mfalme huku wakisema hili jambo ni story za kitaa. Muda ni mwalimu mzuri, haya...
Kwa mara ya kwanza tangu kuanza mlipuko wa Virusi vya Corona, Brazil imerekodi zaidi ya vifo 4,000 katika siku moja. Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Afya, watu 4,195 wamefariki dunia Jumanne...
Mchambuzi wa masuala ya kivita Bing West, ambaye ni mstaafu wa Pentagon na chuo cha kijeshi ametoa sababu kwanini Marekani imeshindwa vibaya kwenye vita vyake vitatu katika kipindi cha miaka 50...
Ureno itapeleka wanajeshi nchini Msumbiji katika kipindi cha nusu ya mwanzo ya mwezi Aprili kufuatia shambulizi la wanamgambo wa itikadi kali lililofanywa dhidi ya mji wa Palma.
Wanajeshi hao wa...
Kuna mambo yanatakiwa kufichwa as "the less we know, the safe we are" but kuna issues zinatusaidia kiusalama pia na tunapaswa kujuzana!
Leo nimesikiliza BBC dira ya Dunia na VOA swahili, haya...
Korea Kaskazini yafyatua makombora ya masafa marefu katika bahari ya Japan
CHANZO CHA PICHA, REUTERS. Maelezo ya picha: Kiongozi huyo wa Korea Kaskazini amerudia kufanyia majaribio makombora ya...
Wakuu,
Habari za asubuhi,
Hayati Magufuli alikuwa anaona mbali sana kuhusu hili gonjwa la corona, japo baadhi ya watu wa ndani ya nchi, mataifa jirani na nchi za magharibu walikuwa wakibeza sana...
Korea Kaskazini imetangaza kuwa haitoshiriki michezo ya Olimpiki ya Tokyo kwa mwaka huu ikisema uamuzi huo umefikiwa ili kuwalinda Wachezaji dhidi ya mlipuko wa Virusi vya Corona
Inakuwa Nchi...
1. Industrial and Commercial Bank of China
Benki hii ni kubwa na yenye uwezo zaidi duniani ikijulikana kwa kifupi ICBC na ikiwa na raslimali za zaidi ya Dola tril. 3 na thamani ya masoko ya Dola...
Mshindi wa shindano la urembo nchini Sri Lanka amevuliwa taji hilo jukwaani muda mfupi tu baada ya kuvikwa kwa madai hakustahili ushindi kwani alishaachana rasmi na Mumewe
Aliyemvua taji hilo kwa...
Umoja wa Ulaya umetoa wito wa kuondoka kwa wanajeshi wa kigeni na wapiganaji mamluki nchini Libya ukisema hilo ni sharti muhimu kuelekea kurejea kwa uthabiti wa taifa hilo liloharibiwa kwa vita...
Nadhani Aliko Alhaj Dangote hakuwafahamu vizuri kabila la Oromo ambalo wa Ethiopia wengine wanawaita barbaric kwa kuenda kujenga kiwanda chake cha Sementi kwenye ardhi yao ya Oromia.
Yeye...
Urusi imerudishwa mpango wake wa kuuungia mtandao wa twitter, kwa sasa wameuongezea muda hadi Mei 15 ili waweze kuendana na sheria za Urusi.
Mamlaka za Urusi Twitter zimekuwa zikiruhusu maudhui...
Jeshi la Msumbiji linasema kuwa limeukomboa mji wa pwani wa Palma, ikiwa ni wiki moja toka ulipotekwa na wanamgambo wa Kiislamu.
Idadi 'kubwa' ya wanamgambo wameuawa katika shambulio la kuukomboa...
Wanajeshi vamizi wa Marekani wanapora ngano ya Syria
Mar 28, 2021 11:03 UTC
Wanajeshi vamizi wa Marekani wamepora malori 38 ya ngano ya Syria iliyokuwa katika maghala huko Tal Alou katika mkoa...
Sudan’s government has declared a state of emergency in West Darfur state after at least 40 people were killed and 58 injured in three days of tribal clashes in capital El Geneina, according to...
Rais wa Misri, Abdel Fattah al-Sisi amepitisha sheria inayozuia wanajeshi & waliokuwa wanajeshi kugombea Urais, Ubunge au kujiunga vyama vya siasa bila kuomba ridhaa kutoka Baraza la Juu la Jeshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.