Rais Evariste Ndayishimiye apokea ujumbe wa UNHCR uliofika kumuona
Mwakilishi wa UNHCR Abdul Karim Ghoul ktk mazungumzo yake na Mh Rais Evariste Ndayishimiye amebainisha kuwa kutokana na...
Rais Cyril Ramaphosa ametangaza kulegeza baadhi ya masharti yaliyowekwa kudhibiti maambukizi. Fukwe zitafunguliwa, marufuku ya mauzo ya pombe imeondolewa na mikusanyiko midogo ya kidini nayo...
Mtandao wa kijamii wa Twitter umezifungia kwa muda akaunti za baadhi ya watu waliojihusisha na maandamano ya kutaka mabadiliko katika sekta ya kilimo, ikiwamo akaunti ya gazeti maarufu la Caravan...
Rais wa Marekani, Joe Biden ametishia kuirejeshea Myanmar vikwazo baada ya Jeshi la Nchi hiyo kuchukua madaraka, huku likikataa kukubali matokeo ya Uchaguzi uliofanyika Novemba 2020.
Biden...
Nafahamu kwamba makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu kwa sasa anaishi Ubelgiji.
Kupitia taarifa ya habari ya Al jazeera wameonekana wananchi wa Ubelgiji wazungu na wale wenye asili ya...
Wanamgambo wa Al-Shabaab nchini Somalia wamehusika katika makabiliano ya polisi na vikosi vya usalama katika hoteli moja iliyopo mji mkuu wa Mogadishu.
Kundi la Al-Shabab limekiri kutekeleza...
Mhubiri aliyejulikana kama Nabii Pierre Barakikana wa kanisa la kievanjelisti la Emmanuel alikamatwa na kufungwa gerezani tarehe 8 mwezi wa sita mwaka 2019. Kama mkazi wa wilaya ya Bubanza, kijiji...
Sudan Kusini imepanga kubadili muda kuanzia Februari 1 ambapo itakuwa saa moja nyuma ya saa za Afrika Mashariki
Wanarudi kwenye ukanda wa muda wa UTC +2 ambapo kwa sasa wapo UTC +3. Katibu wa...
Maoni
Mtoto wa Mkulima
02/02/2021
Katika kuperuzi peruzi mtandaoni, nikakutana na habari ya kushtusha japo sio ya kushangaza, kupitia ukurasa wa facebook wa Jamiiforum juu ya nchi ya Rwanda...
Friday, January 29, 2021
I WENT TO WASHINGTON, DC. TO ATTEND BIDEN’S INAGURATION CEREMONY AND IT JUST BROKE MY HEART
BY MOHAMED MATOPE
Yesterday, my wife and I went to Washington DC to witness...
Jeshi la Myanmar limethibitisha kulidhibiti taifa hilo baada ya kumuweka kizuizini kiongozi wa taifa hilo Aung San Suu Kyi pamoja na wanasiasa wengine mapema hii leo.
Baada ya kumkamata kiongozi...
Nigeria imesema iko tayari kushirikisha ujuzi wake wa mapambano dhidi ya wanamgambo wa Kiislamu
Nigeria imejitolea kuisaidia Msumbiji katika mapambano dhidi ya wanamgambo wa Kiislamu katika jimbo...
China imetumia lugha kali zaidi katika kuamiliana na Taiwan kwa kuonya kuwa, kisiwa hicho kujitangazia uhuru ni sawa na kutangaza vita na kwamba vikosi vya jeshi la nchi hiyo vimesha jiweka tayari...
Amnesty International tawi la Nigeria inaripoti kuwa wakulima 43 wa Kijiji cha Maiduguri kilichopo Jimbo la Borno.
Wakulima 43 wa Jimbo la Borno, Nigeria wamechinjwa katika mashamba ya mpunga...
Chanjo ya Iran ya COVID-19 inaweza kukabiliana na 'kirusi cha Uingereza'
Jan 30, 2021 12:16 UTC
Chanjo ya Iran ya COVID-19 au corona ambayo majaribio yake yanakaribia kumalizika ina uwezo wa...
Chama kikuu cha upinzani katika Jamhuri ya Congo kimesema kitasusia uchaguzi uliopangwa kufanyika Machi 21. Kwenye uchaguzi huo Rais Denis Sassou Nguesso aliyepo madarakani kwa miongo kadhaa...
Rwanda na Burundi zimeunganishwa na Tanzania, Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Afrika Kusini ambazo pia zimewekewa marufuku hiyo na Uingereza.
Hatua hiyo inalenga kudhibiti kuenea kwa aina...
Wizara ya Afya ya Zimbabwe imetangaza kuongeza Lockdown ambapo baa, migahawa, sehemu za mazoezi na biashara zisizo na umuhimu zitafungwa
Baadhi ya watu ameonekana kutofuata masharti ya Afya hivyo...
Pope Francis to have COVID-19 vaccine, says it is the ethical choice for all
By Reuters Staff
VATICAN CITY (Reuters) - Pope Francis said on Saturday he planned to be vaccinated against COVID-19...
Baba Mtakatifu Francisko tarehe 26 Januari 2021 amehudhuria Ibada ya Misa Takatifu kwa ajili ya kumwombea Prof. Fabrizio Soccorsi aliyekuwa daktari wake binafsi kuanzia mwaka 2015-2021.
Na Padre...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.