Wanasheria wa Donald Trump wamesema wafuasi wa Rais huyo wa zamani walivamia jengo la Bunge lililopo Washington DC mapema mwezi uliopita kwa maamuzi yao wenyewe.
Wameeleza kuwa, taarifa za FBI...
Katika miaka hii ya karibuni inaonekana taifa dhalimu la Israel limezidi kiburi chake, linapiga linapotaka bila kumuogopa yeyote na hakuna anayeilaumu kwa matendo yake haya isipokuwa wale...
Viongozi wa upinzani Nchini humo wametangaza kutomtambua tena Rais Mohamed Abdullahi Mohamed baada ya muhula wake kuisha bila muafaka wa kisiasa juu ya mpango wa kufanyika Uchaguzi.
Uchaguzi usio...
The world is eagerly awaiting the release of several COVID-19 vaccines, but Brazilian President Jair Bolsonaro is not.
“I’m not going to take it. It’s my right,” he said in a Nov. 26 social media...
Kuna wakati Tanzania enzi za Rais Julius Nyerere tulikuwa tunachukuliwa kama kinara wa misimamo mikali ya dunia ya tatu dhidi ya wakubwa walioendelea. Halafu tukazorota, mpaka tukapelekeshwa mputa...
Marekani imetangaza mipango ya kurejea katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, ambamo rais wa zamani Donald Trump aliitoa karibu miaka mitatu iliyopita.
Akitangaza hatua hiyo...
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza mlipuko mpya wa ugonjwa wa Ebola katika jimbo la Kivu Kaskazini hapo siku ya Jumapili baada ya mwanamke mmoja kufariki kwa ugonjwa huo, ikiwa ni miezi...
Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi ametoa msamaha kwa raia wa nchi hiyo waliojiunga na wanamgambo wa kiislamu katika jimbo lenye utajiri wa mafuta lililopo kusini mwa nchi hiyo la Cabo Delgado.
Rais...
Christophe Mboso N'Kodia Pwanga mwenye umri wa miaka 78 ndiye Spika mpya wa Bunge, nchini DRC.
Wadhifa huo ameupata baada ya kupata wingi wa kura kutoka kwa wabunge katika uchaguzi uliofanyika...
SYDNEY - Clinical trials of a COVID-19 vaccine being developed by Australia’s University of Queensland in partnership with biotech company CSL have been abandoned after participants returned false...
(E-Commerce Research Center) 1. IBM PC 5150
computer hardware
in 1981
IBM company
the first personal computer
IBM PC 5150 is the originator of modern PC, marking that personal computer has...
Waziri Mkuu wa Sudan, Abdalla Hamdok amevunja Baraza la Mawaziri na anatarajiwa kutangaza jipya leo. Taarifa ya Ofisi yake imesema Mawaziri watasalia Ofisini hadi wapya watakapochukua madaraka na...
Things are getting worse and worse while the authorities are still reluctant to even warn the people at least to know that the enemy is in their livelihoods,
And now the "mosquito" has landed on...
Afrika Kusini imesitisha kwa muda kampeni yake ya chanjo dhidi ya COVID-19 Jumapili baada ya utafiti mpya kubaini kuwa chanjo ya AstraZeneca haifanyi kazi vizuri dhidi ya aina mpya ya virusi...
Despite the Covid-19 death count in the United States rapidly accelerating, a startlingly high percentage of health care professionals and frontline workers throughout the country—who have been...
Wanadiplomasia kutoka Ujerumani, Sweden na Poland wamefukuzwa Urusi baada ya kuungana katika maandamano yaliyofanyika kumuunga mkono Mpinzani Alexei Navalny aliyefungwa mapema wiki hii
Wizara ya...
Baada ya kukaa kizuizini kwa zaidi ya miaka minne, mwandishi wa habari wa Al Jazeera, Mahmoud Hussein ameachiwa siku ya Ijumaa.
Hussein, raia wa Misri, alikamatwa mwezi Disemba mwaka 2016 kwa...
The impenetrable jungle of Rwanda conceals many secrets. Here the Swedish scientists discovered the so-called cemetery of the aliens. First, the archaeologists found their discovery of the ruins...
Ni dhahiri kabisa Rais Biden afya yake ya akili imezorota sana.
Akiwa anatoa hotuba kasema kuna dozi za ziada bilioni 100 (badala ya kusema milioni 100) na zitakuwa kwajili ya wamarekani 300...
Raia wa Urusi Yuri Dushechkin amefariki akiwa Live YouTube kwenye challenge ya kunywa pombe.
Alikunywa lita 1.5 ya Vodka kwa mara moja na ghafla akaanguka huku Watu zaidi ya 150 wakimfatilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.