International Forum

News and Stories from rest of the World
Serikali ya Zimbabwe inazidi kugonga vichwa vya Habari kufuatia ukiukaji wa haki za binadamu. Ni kulingana na ripoti ya HRW Wanaharakati Zimbabwe wanaishutumu serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa...
1 Reactions
0 Replies
960 Views
Habari! Mwanasayansi wa nyuklia wa Iran aliyeuawa karibu na mji mkuu Tehran mwezi Novemba mwaka 2020, aliuawa kwa bunduki ya otomatiki iliyoingizwa nchini humo na shirika la ujasusi la Israel...
7 Reactions
30 Replies
4K Views
Katika muhula huu, Rais Biden ameweka rekodi yake mpya ya aina yake isiyo na mpinzani kwa kuifanya channel ya youtube ya Ikulu ya Marekani kupata dislikes nyingi kutoka kwa wananchi pale kila...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
Jipya limeibuka wamarekan kulalamika account zao za instagram kufollow account ya Biden bila ruhusa yao. Kwa tafiti zilizofanywa ni kwamba ilikuwa ni aibu kwa Biden kuwa na followers chini ya...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Maziar Motamedi 7 Feb 2021 Tehran, Iran – Iran’s representative to the United Nations has protested recent Israeli military action threats against the country, calling on the intergovernmental...
2 Reactions
80 Replies
7K Views
Tamasha la Sikukuu ya Mwaka mpya wa jadi wa China ni tafrija kubwa kwa wachina nyumbani na nje ya nchi. Ni alama muhimu kabisa ya kujumuika kwa familia na marafiki. Tamasha hili huleta kumbukumbu...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa upande wa Tanzania raisi wa nchi hiyo Makufuli alipokuwa akizindua shamba la miti kwao Chato alisema tuendelee kuchukua tahadhari ya ugonjwa lakini hakuna haja ya kujawa na hofu na kwamba watu...
7 Reactions
21 Replies
2K Views
Hii ni habari mpya kabisa kutokea nchini Marekani wakati Dunia ikipambana na kusambaa kwa Virusi vya Corona Wanasayansi wa nchi hiyo sasa wanasema uvaaji wa Barakoa moja hautoshi kuzuia...
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Zikiwa zimepita siku chache tangu Rais wa Tanzania aonye na kuomba Watanzania kutotumia chanjo za Corona hadi tuwe na uhakika na ubora wake, Afrika kusini wamesitisha utoaji wa chanjo za...
16 Reactions
135 Replies
10K Views
Mzee Biden amekuwa maarufu kwa hii tabia yake mpya ya kuchomoka nduki akimaliza hotuba, Hataki kuulizwa maswali kabisa. Akimaliza kusoma hotuba yake kwenye telepromter, huwa anaondoka bila...
2 Reactions
48 Replies
5K Views
Ukisikia uoga wa Israel linapokuja suala la kuishambulia ndani ya Iran ndo hapa Wanaelewa uwezo wa Iran wa kuifanya Israel ibaki magofu na chakavu kama walivyoweza kuzichakaza kambi za marekani...
6 Reactions
34 Replies
4K Views
Bunge litafungwa kwa wiki tatu kutokana na ongezeko la visa vya CoronaVirus miongoni mwa Wabunge na Watumishi. Imeelezwa kuwa, Watumishi wapatao 151 na Wabunge 17 wamepata maambukizi Spika Alban...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeendelea kupendekeza matumizi ya Chanjo ya AstraZeneca hata katika Nchi ambazo zikabaliana na aina mpya ya Kirusi cha Corona. WHO imesema Chanjo hiyo inaweza...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
February 9, 2021 Bujumbura, Burundi The Ethiopian Head of State in an official two-days visit in Burundi The Federal Democratic Republic of Ethiopia Head of State made an official two-days visit...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mahakama Kuu Nchini humo imeamuru Mamlaka kuzifungua akaunti za benki za watu 20 waliohusishwa na maandamano makubwa ya kupinga ukatili unaofanywa na Polisi Awali Benki Kuu ilisema akaunti hizo...
0 Reactions
0 Replies
910 Views
Baraza la Seneti lilipiga kura 56 kwa 44 za kuendelea na kesi dhidi ya Trump, likizipinga hoja za mawakili wake kwamba Rais hawezi kushtakiwa pindi anapomaliza muda wake. Maseneta ambao...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Iran ndiyo taifa kubwa na lenye nguvu middle East ukiondoa ISRAEL. Hivi karibuni kumekuwa na tetesi ya kushambuliana Kwanza israel [emoji1134] imekua ikihisiwa kutaka kuishambulia Iran Sababu...
11 Reactions
88 Replies
42K Views
Mkuu wa Ujumbe wa Shirika la Afya (WHO) uliokwenda Wuhan Nchini China kuchunguza asili ya janga la Virusi vya Corona amesema hakuna uwezekano kuwa vilitokea Maabara. Peter Ben Embarek kazi zaidi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Polisi katika Mji Mkuu wa Nay Pyi Taw wametumia maji ya kuwasha kwa watumishi ambao wanaendesha mgomo nchi nzima kuoinga mapinduzi ya kijeshi. Maelfu ya watu wakiwemo Walimu, Wanasheria, Maafisa...
0 Reactions
3 Replies
897 Views
Back
Top Bottom