Rais wa Rwanda Paul Kagame ametangaza kwamba nchi yake iliamua kutuma askari katika Jamuhuri ya Afrika ya kati ili kulinda askari wa nchi hiyo waliomo katika kikosi cha umoja wa mataifa ambao...
Tarehe 7 June 1981 Israel ilifanya mashambulizi katika vinu vya nuclear huko Iraq,hii ilikuwa ni shambulizi la ghafla katika mradi huo chini ya Sadam Hussein, hii ilijulikana kama operation opera...
TUZUNGUMZIE UBAGUZI WA RANGI, UBAGUZI WA KIPATO, NA VURUGU NCHINI MAREKANI
Leo 10:50hrs 22/11/2020
Mwaka 2016 Dr Ben Carson alialikwa na Rev Shapton kwenye mkutano wa watu weusi kule New York...
Maandamano ya wakulima yanayoendelea nchini India hasa hasa jimbo la Punjab yamepelekea minara ya simu ipatayo 1500 kuharibiwa. Uharibifu huo ni kwa kuiba majenereta yanayoendesha mitambo hiyo na...
Afrika Kusini imerejesha hatua kali za kuzuia maambukizi ya virusi vya corona kwa kupiga marufuku mikusanyiko, marufuku ya kutotoka nje usiku na uuzaji wa pombe wakati maambukizi yakipindukia...
Saudi Arabia imechapisha upya vitabu vyote vya shule za nchi hiyo na kuondoa vipengele vilivyokuwa vikiwataja kwa ubaya Wayahudi pamoja na Wakristo. Baadhi ya vipengele hivyo ni kama vile...
Stealth Cage Match: F-22 Raptor vs. Russia's Su-57 Stealth Fighter (The Winner Is...F-22 Raptor )
by Kyle Mizokami
Stealth was a foundational feature of the F-22, and the plane’s stealthy...
Mwanaharakati Loujain al-Hathloul (31) amehukumiwa kifungo cha miaka mitano na miezi nane gerezani. Mahakama imemkuta na Hatia ya makosa mbalimbali ikiwemo kufanya jaribio la kuhatarisha Usalama...
Kama vipi D. Trump atangaze hali ya hatari vyovyote vile lakini asiruhusu marionette Biden awe Rais wa USA, kufanya hivyo ni kuhalalisha wizi wa kura na huo ndiyo mwanzo wa mwisho wa Republican...
On Nov. 3rd, the World had a choice between an autocrat who believes the World is ruled by a destructive force under the NWO and a wrongly assumed experienced statesman who recognizes that the...
Afrika Kusini inakuwa nchi ya kwanza barani Afrika kurekodi visa zaidi ya Milioni moja. Waziri wa Afya, Zweli Mkhize amesema maambukizi yamefikia 1,004,413
Rekodi hiyo inakuja siku chache baada...
Rais wa Marekani Donald Trump ameusaini muswada wa sheria wa dola bilioni 900, unaokusudia kutoa misaada kwa watu walioathiriwa na janga la virusi vya corona.
Kwa siku kadhaa rais Trump alikataa...
Beit Bridge ni mpaka unaotenganisha South Africa na Zimbabwe. Kutokana na janga la Corona walianzisha utaratibu wa kuwapima madereva mpakani. Foleni ilikuwa inachukua hadi siku 9 kwa madereva...
As of early 2018, the Su-57 possessed “inadequate and incomplete sensors, incomplete fire-control systems and self-protection suites, no operational integrated avionics and ... unreliable...
Watoto robo milioni wasiokuwa na makazi nchini Msumbiji katika jimbo la Cabo Delgado ambalo limekumbwa na ghasia wako katika hatari ya kukumbwa na magonjwa ambayo yataharisha maisha yao, huku...
Miji kadhaa nchini Iraq inakabiliwa na kitisho cha kushuhudia upungufu mkubwa wa nishati ya umeme baada ya Iran kupunguza kiwango cha gesi inayosafirishwa kwenda nchini humo.
Wizara ya nishati...
Ama kweli maajabu hayatakoma duniani!
Na kama ulidhani huko kwa wenzetu hakuna mambo ya kiswahili basi ni vema ukabadili mawazo yako na kusoma kisa kifuatacho hapa chini kilichotokea hivi...
Mzuka Wanajamvi!
Ayatollah pressure inazidi na anazidi kupata wakati mgumu
Wapanda milima (climbers) 10 wamekufa katika milima ya kaskazini mwa Tehran baada ya dhoruba kubwa ya theluji kuanguka...
Kumbe Saddam aligawa mlungula kwa Chirac ili amtete asipate kichapo kutoka kwa Bush na Blair. Hawa Maraisi wa Ufaransa wana njaa sana,ndio yale yale ya Sakorsy alivyokula hela za Ghadaff then...
Rais wa zaman wa Burundi Piere Buyoya amefariki Dunia huko Ufaransa. Taarifa zaidi zitakujia hapa hapa.
Chanzo cha kifo chake ni Athari za Ugonjwa wa covid19,Familia Yathibitisha hivyo.
Piere...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.