Hatuna uwezo lakini tufanye kitu hata kidogo kama gesture tu kuwa tupo pamoja
Si ndiyo sisi husema kutoa ni moyo!?
Wenzetu majanga yamekuwa makubwa sana, tusikae tu kama watu useless. Kila siku...
Aina nyingine mpya ya kirusi cha corona imejitokeza nchini Nigeria.
Afisa mkuu wa afya katika taasisi ya kukabiliana na maradhi ya kuambukiza barani Afrika John Nkengasong amesema hayo leo...
Habari za sikukuu ya krismas wanajamvi,
Naomba Kama Kuna mtu Ana taarifa ya kilichotokea Nashville,nimeona Kuna picha ya magari yameteketea kwa Moto.Mwenye taarifa kamili atujuze.Asante povu...
Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye Alhamisi aliwasahemehe wanahabari wanne wa jarida la mtandaoni Iwacu, ambao walikua wanazuiliwa jela tangu Oktoba mwaka wa 2019.
Wanahabari hao Agnes...
Askari watatu wa kulinda amani kutoka Burundi wauawa Jamhuri ya Afrika ya Kati
Askari watatu wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa ambao ni raia wa Burundi wameuawa katika Jamhuri ya Afrika ya...
Kwa mujibu wa Vyombo vya Habari nchini humo, takriban watu 11 wamepoteza maisha katika Kijiji cha Pemi kilichopo Kaskazini Magharibi mwa Nigeria baada ya Wanamgambo wa Boko Haram kufanya...
Pakistan yaiambia UAE: Katu hatutaitambua Israel
Dec 22, 2020 07:23 UTC
Kwa mara nyingine tena, serikali ya Pakistan imesisitiza kuwa, kamwe haitoutambua utawala wa Kizayuni wa Israel licha ya...
Kiongozi wa upinzani nchini Mali Soumaila Cisse, aliyekuwa ametekwa nyara na makundi ya wapiganaji kwa muda wa miezi sita, amefariki dunia.
Kulingana na familia yake, Cisse amefariki akiwa nchini...
Qatar yaagiza Manowari 7 za kivita kutoka Italia, akijihami na mgogoro wa Ghuba. Manowari hizo zinagharimu kiasi cha Euro Bilioni 5.9.
Qatar imeingia katika mgogoro wa kidiplomasia na mataifa...
Tangu juma tatu mpaka hivi sasa navyo ongea naval vessels(yani moja ya meli za kivita ) ya marekani iko kwenye maji yetu yani EAC Afrika masharikii ikiwachukua wanajeshi wake walioko somalia...
Desemba 20 hadi Desemba 27 hakutakuwa na ndege, meli au gari linalotoka kwenye maeneo yenye aina mpya ya #COVID19 litakaloingia Saudi Arabia.
Safari zote za ndege zimefutwa na mipaka imefungwa...
Israel na Morocco zimekubaliana kuweka mahusiano ya kidiplomasia.
Mataifa hayo yamekubaliana kuanzisha mahusiano ya kidiplomasia chini ya mkataba uliofadhiliwa na Marekani. Morocco inakuwa taifa...
Serikali ya Malawi imefunga mipaka yake, hakuna kuingia wala kutoka hii ni kufuatia COVID 19.
Chanzo: ZODIAC TV kupitia king'amuzi cha AZAM. 23 December 2020.
=====
Lilongwe — Malawi will close...
Two cases of 'highly concerning' South Africa virus variant detected in UK
Sarah Newey, Tom Collins, Will Brown 2 hrs ago
Credit: Two cases of 'highly concerning' South Africa virus variant...
Wanajeshi wa Ethiopia wamewauwa watu 42 wenye silaha wanaoshukiwa kufanya mauaji ya watu 100 kwenye jimbo la Magharibi la Benishangul-Gumuz.
Kituo cha kimoja cha televisheni chenye mafungamano na...
Tume ya Haki za Binadamu nchini humo imesema watu zaidi ya 100 wameuawa na washambuliaji wasiojulikana katika Kijiji cha Bekoji kilichopo Magharibi mwa Ethiopia
Zaidi ya watu 30 waliojeruhiwa...
Habari!
Marekani imetangaza rasmi [Jumatatu] kuiwekea vikwazo Uturuki baada ya Ankara kutekeleza mpango wake wa ununuzi wa mfumo wa kijeshi wa ulinzi wa anga ujulikanao kama S-400 kutoka nchini...
Urusi imetuma askari wa ziada 300 wa mafunzo katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati (CAR) kukabiliana na kile Wizara ya mashauri ya kigeni ya nchi hiyo imesema "kushuka kwa kiwango cha usalama kwa hali...
Rais mteule wa Marekani Joe Biden jana Jumatatu amepokea chanjo dhidi ya virusi vya corona wakati akitazamwa moja kwa moja kwenye televisheni ili kushawishi wamarekani kuwa zoezi hilo ni salama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.