International Forum

News and Stories from rest of the World
Habari! Unaweza kushangaa ama usishangae ila kaa ukijua kuwa Rais wa Shirikisho la Urusi Ndugu, Vladimir Putin bado anatumia mfumo wa Windows XP katika kompyuta zake licha ya hatari nyingi za...
6 Reactions
100 Replies
12K Views
Rwanda na Urusi zimetuma wanajeshi pamoja na vifaa huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ili kusaidia kupambana na vurugu zinazotokana ongezeko la makundi ya waasi, kabla ya taifa hilo kufanya uchaguzi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Watu 698 wamekufa kutokana na ugonjwa wa COVID-19 kwa muda wa saa 24 zilizopita nchini Ujerumani, hii ikiwa ni kulingana na taasisi ya Robert Koch inayoshughulikia magonjwa ya kuambukiza nchini...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Wabunge nchini Marekani wamekubaliana kuhusu pesa za kusaidia biashara na watu wasiokuwa na ajira, kiasi cha dola bilioni 900, baada ya malumbano ya miezi kadhaa. Pesa hizo zinatarajiwa kuwa...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Mamia ya wavulana waliotekwa wiki iliyopita kutoka shule ya bweni kaskazini -magharibi mwa Nigeria wameachiliwa huru, mamlaka katika eneo hilo zimeambia BBC. Msemaji wa gavana wa jimbo la Katsina...
4 Reactions
35 Replies
3K Views
Watu wa Tigray Ethiopia ni 6 % ya Waethiopia wote zaidi ya milioni 80, Lakini ndiyo wanaoIOngoza Ethiopia kwenye kila sekta, Uchumi wote wa Ethiopia uko chini ya Watu wa Jamii ya Tigray , hii...
5 Reactions
52 Replies
6K Views
South African court finds three Tanzanians and one Rwandan "guilty of attempted murder" on Friday, after acquitting two others, including the alleged mastermind and Mr. Nyamwasa's former driver...
2 Reactions
168 Replies
15K Views
Shrika la Afya Duniani WHO limetahadharisha dhidi ya wasiwasi wa kupindukia kuhusu aina mpya ya virusi vya corona vinavyosamba kwa kasi kubwa, baada ya kugunduliwa nchini Uingereza na baadae...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa siku kadhaa magaidi ya boko Haram waliishi, kufanya kazi na kula pamoja na wakulima hawa wa mchele kwasababu nao walijifanya waajiriwa. Ilipofika alasiri jumamosi iliyopita ghafla wakatoa...
7 Reactions
71 Replies
7K Views
Mamlaka nchini Thailand zinafanya vipimo kwa maelfu ya wananchi baada ya mamia ya maambukizi kuhusishwa na soko kubwa zaidi ya vyakula vya baharini Wafanyakazi wa soko hilo wameagizwa kubaki...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
''Kila mtu anazungumzia na wengine humuuliza kuuliza jinsi waarabu watakavyofanya biashara na Waisrael au jinsi gani watafanyaje? Yeye amesema hapana sina mpango wa kufanya Biashara na Israel...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Viongozi kutoka mataifa ya Afrika Mashariki ya Shirikisho la Maendeleo la Pembe ya Afrika IGAD, wamekutana Jumapili Djibouti kwa mkutano wa kilele, kujadili mzozo wa Tigray pamoja na mvutano kati...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Muungano wa upinzani kwenye Jamhuri ya Afrika ya Kati Jumapili umeomba uchaguzi uliopangwa kufanyika Decemba 27 usitishwe kutokana na ghasia kutoka kwa makundi ya wapiganaji zinazoendelea nje ya...
0 Reactions
1 Replies
949 Views
Waziri Mkuu wa Uholanzi Mark Rutte ametangaza wiki tano za kubaki ndani kuanzia Desemba 15 hadi Januari 19, 2021 Kwa kipindi chote hiko shule, maduka yasiyo muhimu, makumbusho na viwanja vya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
- Ni Ambrose Dlamini ambaye aligundulika kuwa na ugonjwa huo wiki 4 zilizopita - Amefia nchini Afrika Kusini alikokuwa amelazwa kwa matibabu - Alikuwa na umri wa miaka 52 tu; amekuwa Waziri Mkuu...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Rais Kagame alisema kwamba mpinzani wake mkuu Paul Rusesabagina alidanganywa akajileta mwenyewe nchini Rwanda. Waziri wa Sheria nchini Rwanda amemjibu mjumbe wa bunge la Marekani ambaye alikuwa...
2 Reactions
43 Replies
6K Views
Donald Trump ametangaza mapema Jumatatu jioni, Novemba 24, kwamba ameridhia ufunguzi wa mchakato wa kumkabidhi madaraka mrithi wake Joe Biden kutoka chama cha Democratic, zaidi ya wiki mbili baada...
6 Reactions
17 Replies
3K Views
Marekani inapanga kuzifunga ofisi mbili za ubalozi mdogo nchini Urusi kwa sababu ya masuala ya usalama na ulinzi. Wizara ya mambo ya nchi za nje ya Marekani imesema ubalozi mdogo kwenye mji wa...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Maafisa wa usalama nchini Msumbiji, wamewauwa waasi karibu 50 katika siku za hivi karibuni katika eneo la Cabo Delgado Kaskazini mwa nchi hiyo, eneo ambalo limeendelea kukumbwa na machafuko kwa...
5 Reactions
134 Replies
15K Views
Vikosi vya Yemen vyashambulia tena Aramco ya Saudia Feb 22, 2020 02:46 UTC [https://media] Kwa mara nyingine tena vikosi vya jeshi la Yemen vimefanya mashamblizi kwa kutumia makombora dhidi ya...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom