Mmiliki wa kampuni ya Tesla ya uzalishaji wa magari ya umeme Elon Musk, amempiku mwanzilishi wa Microsoft Bill Gates na kuingia nafasi ya pili kwenye orodha ya matajiri wakubwa zaidi ulimwenguni...
Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) imesema Hospitali na Vituo vya Afya katika Mji Mkuu wa Tigray, Mekelle zinakabiliwa na changamoto ya kutibu waliojeruhiwa katika mapambano
Imeelezwa...
Niaje niaje,
Nilikuwa napitia moja ya habari kutoka mtandaoni kwenye website ya CNN
Nimekutana na habari ya kushtua kidogo kiongozi na Mkuu wa shirika la Nuclear wa Irani jina lake gumu kidogo...
Na kichapo cha Jana kimeharibu maghara mengi ya silaha ambazo ndizo Irani ilijitapia nazo kuwa itazitumia kujibu mashambulizi ya hit and run ya Israel... Nadhani ni wakati wa Iran kufuata ule...
Kiongozi wa Hong Kong, Carrie Lam amefungiwa akaunti yake ya benki baada ya Marekani kumuwekea vikwazo vya kiuchumi, ikimuadhibu kwa kutangaza sheria mpya ya usalama wa kitaifa iliyoamrishwa na...
Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed amesema majeshi ya nchi hiyo yamechukua udhibiti wa mji mkuu wa jimbo la Tigray, Mekelle.
Abiy ametangaza kuwa serikali ya shirikisho sasa imechukua udhibiti...
Wiki chache zilizopita Nigeria ilikumbwa na maandamano ya kupinga ukatili wa jeshi la polisi maarufu kama #EndSARS ambapo Jeshi la Nigeria lilituhumiwa kuua watu.
Bunge la UK Liliazimia kuwawekea...
The United States on Friday announced economic sanctions on Chinese and Russian companies that Washington said had supported the development of Iran’s missile programme.
The four firms, accused...
Baadhi ya wananchi wa Rwanda wa maeneo hatarishi wahamishwa na kupatiwa nyumba za kisasa +SAUTI
Nov 26, 2020 17:08 UTC
PAKUA
Hatimaye serikali ya Rwanda imeafikiana na kundi la wananchi...
Angalia jinsi maghorofa mazuri na marefu nchini Dubai yalivyoporomoshwa kitaalamu hapo jana katika kipindi cha sekunde 10 tu.
Majengo hayo ni mkusanyiko wa Mina Plaza ambayo yapo eneo la bandari...
Mtoto wa Kike wa miaka 17 aliyefanya vizuri zaidi kwenye Mitihani ya Elimu ya Secondary Nchini Nigeria kwa kupata alama A1 katika masomo yote kutoka Shule yake ya West African Seniour School...
Amadi ambaye aliandika vitabu maarufu kama vile The Concubine,Isiburu,Sunset in Biafra,Peppersoup na The Road to Ibadan alifariki siku ya Jumatano mwendo wa saa tisa,wiki moja moja baada ya...
Maandamano yanafanyika nchini Ufaransa katika maeneo kadhaa hii leo.
Hayo ni baada ya serikali kutangaza sheria mpya ambayo itazuia watu kutumiana picha za maafisa wa polisi wanapowakamata watu...
Naibu katibu mkuu, Ofisi ya Rais, Utafiti na Mahusiano ya Umma nchini Namibia Ben Nangombe amesema, Namibia imeidhinisha malipo ya kwanza ya dola za Namibia milioni 26.4 ikiwa ni sawa na dola...
Tangu mwaka 1991, Serikali ya Ethiopia imetokana na makundi ya kikabila, huku makundi makubwa yakiwakilishwa na viongozi wa Vyama kutoka Majimboni
Hii ilifanya Vyama kuwa na nguvu kwa watu kuliko...
Ni baada ya Balozi wa UN kudumu wa Israel Gilad Erdan kuliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa Jeshi la Iran na wafuasi wake waondoke haraka sana nchini Syria kwani itawaangamiza wote...
Mimi ni Mfaransa na nchini yangu Askari Polisi walipiga mtu mweusi na walimsema "Sale nègre" (Mtu mweusi chafu).
Video imetazamwa zaidi ya mara 10 Milioni kwenye Twitter
Marejeo :
Brazilian President Jair Bolsonaro said on Thursday evening that he will not take a coronavirus vaccine, the latest in a series of statements he has made expressing skepticism toward coronavirus...
Tume hiyo imesema kuwa imepokea baadhi ya malalamiko kutoka kwa wagombea wa urais na pia kuona taarifa zavyombo vya habari kwamba polisi inazuia na kuvuruga kampeni zao .
Wakati huo huo katika...
Netanyahu na Pompeo wafanya ziara ya siri kwa wakati mmoja huko Saudia
Nov 23, 2020 12:44 UTC
Duru za Kizayuni zimeripoti kuwa, Waziri Mkuu wa utawala huo Benjamini Netanyahu na baadhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.