International Forum

News and Stories from rest of the World
Kambi ya Duma imeunga mkono Muswada ambao unawapa Marais wa nchi hiyo na Familia zao kinga dhidi ya mashtaka ya jinai baada ya kuondoka madarakani. Chini ya Muswada huo, Rais wa zamani na...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kwa majigambo makubwa juzi raisi Donald Trump wa Marekani alitangaza kutoka ikulu ya Marekani juu ya kurudishwa kwa uhusiano baina ya Israel na taifa la Sudan. Hata hivyo tangazo hilo limepingwa...
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Zaidi ya Wafanyakazi 200 wa Facebook wamedai Kampuni hiyo inawalazimisha wasimamia maudhui kurudi ofisini licha ya hatari ya kupata maambukizi ya CoronaVirus. Wafanyakazi hao wanadai Kampuni hiyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza mwisho wa mlipuko wa 11 wa Ugonjwa wa Ebola nchini humo, ikiwa ni takriban miezi 6 tangu visa vya kwanza kuripotiwa. Mlipuko huo uliotokea Magharibi mwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Speaking while addressing war veterans in Washington, Trump warned other like minded dictators who want to die in power, that their time is up and its just a matter of time before they face...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Wazayuni wavamia sehemu alipozaliwa Nabii Issa (Yesu) wawapiga mabomu Wakristo (+ Picha, Video)  Bila ya kujali utukufu wa eneo alipozaliwa Nabii Isa AS, kwa mara nyingine jeshi la utawala wa...
1 Reactions
107 Replies
12K Views
Maradhi ambayo yamesumbua nchi nyingi duniani kwa takriban mwaka mmoja sasa iko karibu kutangazwa si tishio tena kwani mataifa mbali mbali yametangaza kuwa na chanjo zilizofanyiwa majaribio na...
1 Reactions
2 Replies
676 Views
Kitengo cha Uchunguzi wa Makosa ya Jinai, Uchumi, Rushwa na makosa mengine (Hawks) kimemkamata ‘Nabii’ Shepherd Bushiri na mkewe Mary kwa tuhuma za kutakatisha Rand Milioni 102 sawa na takriban...
3 Reactions
33 Replies
7K Views
Kampuni ya Dawa ya Pfizer imesema chanjo yake dhidi ya COVID19 inafanya kazi kwa 95% na haina madhara makubwa kwa watumiaji Taarifa za majaribio yao zimeonyesha Chanjo inafanya kazi kwa asilimia...
0 Reactions
2 Replies
875 Views
Fugitive Malawian preacher turns himself in to police Malawian preacher Shepherd Bushiri and his wife Mary have handed themselves over to police in their home country after skipping bail...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Hii ni operesheni iliyofanya na ndege vita za iran dhidi ya kambi hatari kuliko zote za majeshi ya Iraq iyo kambi ililindwa na mifumo mikali kutoka urusi na baadh yake kutoka Marekani lakin kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mchungaji maarufu barani Afrika, Bushiri ametoroka nchini Afrika kusini baada ya kuachiwa kwa dhamana mapema mwezi huu kwa kushtakiwa kwa utapeli na utakatishaji fedha. Mchungaji Bushiri, ambaye...
2 Reactions
45 Replies
5K Views
Virusi vya Corona vilikuwa vikizunguka nchini Italia mapema mwezi Septemba 2019, kulingana na utafiti uliofanywa na kituo cha kitaifa dhidi ya Saratani (INT) huko Milan, kikibaini kwamba virusi...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika mkutano wa Kitaifa uliomalizika hivi karibuni, Wajumbe wamependekeza Mabunge yote mawili nchini humo kuwa na mamlaka ya kuwashtaki Rais na Makamu wake Vilevile wameshauri ukomo wa mihula...
0 Reactions
0 Replies
989 Views
Rais Trump amesema "amemfuta kazi " mkuu wa usalama wa mtandao na shirika la usalama wa miundo mbinu ya uchaguzi (Cisa) Chris Krebs kwa taarifa zake "zisizo sahihi kwa kiwango cha juu " kuhusu...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Madaktari nchini humo wameungama kumuomba Rais Donald Trump kutoa taarifa muhimu kwa Rais Mteule, Joe Biden ili kuokoa maisha ya wananchi na kuzuia sekta ya afya kuelemewa. Taasisi kubwa tatu za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwendesha Mashtaka Maalum wa kupambana na ufisadi nchini humo, Martin Amidu ametangaza kujiuzulu akisema mamlaka na jitihada zake zinakwamishwa. Katika taarifa yake ameeleza kukosa uhuru katika...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Rais wa Uganda Yoweri Museveni atasimamia mazungumzo ya kuleta amani nchini Ethiopia kati ya serikali na maafisa wa eneo la Tigray. Kulingana shirika la habari la AFP, maafisa wa serikali ya...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
SHIRIKA la kutetea haki za binadamu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (ACAJ), linataka maofisa wa usalama nchini humo kumwachilia huru mwanamziki maarufu Tshala Muana ambaye alikamatwa...
5 Reactions
15 Replies
3K Views
Mwanaume mmoja raia wa Misri amejichoma moto, kisha kuokolewa na polisi na wapita njia katika uwanja wa Tahrir, jijini Cairo, mtu huyo alifanya hivyo kupinga "rushwa na hali mbaya ya maisha". Mtu...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom