International Forum

News and Stories from rest of the World
Marekebisho ya katiba yamepitishwa kwa asilimia 66.8 ya kura zilizopigwa na robo ya wananchi waliojiandikisha kushiriki kwenye zoezi la upigaji kura nchini Algeria. Akizungumza na waandishi wa...
1 Reactions
4 Replies
995 Views
Katika uchaguzi wa rais uliofanyika Cote d'Ivoire siku ya Jumamosi, tume ya uchaguzi ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi imemtangaza Rais Alassane Ouattara kuwa mshindi kwa asilimia 94.27 ya kura...
2 Reactions
61 Replies
4K Views
Taarifa kutoka Msumbiji zinasema kuwa wanamgambo wa Kiislamu wamevamia vijiji kaskazini mwa eneo la Muidumbe mkoa wa Cabo Delgado Jumamosi na Jumapili. Vyombo vya habari vya eneo vimesema kuwa...
3 Reactions
29 Replies
4K Views
.....YNWA..... Moderator FUTA HUU UZI. Please delete
2 Reactions
4 Replies
941 Views
Mtoto wa kike aokolewa akiwa hai nchini uturuki. Waokoaji walimuokoa Ayda Gezgin akiwa hai kutoka katika kifusi cha majengo yaliyoporomoka kwa tetemeko kubwa la ardhi. Mtoto huyo aliokolewa siku...
6 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari! Awali ya yote, natumai mu wazima wa afya. Nimemsikia Joe Biden akisema kuwa ana wasiwasi kwamba rais Donald Trump "atajaribu kufanya wizi" katika uchaguzi ujao wa rais wa mwezi Novemba...
9 Reactions
54 Replies
5K Views
  • Closed
Watu kadhaa wameuawa akiwemo afisa wa Polisi, Viena, #Austria na washambuliaji tofauti katika sinagogi Wizara imesema mmoja wa watuhumiwa wa shambulio hilo amekamatwa, mwingine amefariki kwa...
2 Reactions
40 Replies
3K Views
Mgombea urais kwa kupitia chama cha Democratic nchini Marekani, Joe Biden, anaongoza kwa point 10 dhidi ya rais wa sasa wa nchi hiyo, Donald Trump. Hojaji iliyofanywa na Shirika la Habari la NBC...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Mke wa Rais wa Zimbabwe, Auxilia Mnangagwa amekana tuhuma za kuhusika na biashara ya kutorosha dhahabu na amewataka polisi wapeleke ushahidi usio na shaka juu ya tuhuma hizo Auxilia alihusishwa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Kimbunga kilichofahamika kwa jina la Goni kilichosababishwa na mvua kali kimesababisha vifo vya watu 10 huku wengine watatu wakiwa hawajulikani walipo Kimbunga hicho kimeathiri familia 372,653...
1 Reactions
2 Replies
897 Views
Popote pale China ilipo inaweka mazingira mazuri kwa ajili ya watu wake. Hivyo hujitahidi sana kukamata Serikali iliyopo Madarakani kwa kui support kwa hali na mali ili Serikali hiyo iendelee...
10 Reactions
34 Replies
3K Views
Mwanasheria Mkuu nchini Nigeria amesema kwamba watu waliowapiga risasi na kuua waandamanaji nchini humo hawajulikani na kwamba huenda watu waliofunika nyuso zao na kuvalia sare za kijeshi ndio...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Opposition protesters see Ouattara's bid for a third term as unconstitutional Ivory Coast voted in a presidential election on Saturday with opposition leaders rejecting the ballot after a boycott...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni nani humu JF anafahamu kwanini Islam State wameivamia Msumbji atujuze. Je, Ni Islam State kweli wanaopigana au ni wananchi wa Msumbiji wenye madai yao kwa serikali yao lakini wakabandikwa jina...
7 Reactions
106 Replies
12K Views
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani, WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema kuwa amejiweka karantini baada ya mtu mmoja aliyepatikana na virusi vya corona kumtaja kama mmoja wa watu wa...
1 Reactions
2 Replies
777 Views
Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara anaongoza katika hesabu ya kura katika Uchaguzi uliofanyika Jumamosi. Ouattara mwenye umri wa miaka 78, anagombea muhula wa tatu madarakani licha ya...
0 Reactions
4 Replies
998 Views
Donald Trump awaonya Ethiopia bwawa la nchi hiyo litalipuliwa na Misri, akizungumza na Waziri Mkuu wa Sudan , Trump amekaririwa akisema Misri italipuwa bwawa hilo kutokana na Ethiopia kukataa...
3 Reactions
62 Replies
7K Views
Prime Minister Boris Johnson has announced a second national lockdown for England to prevent a "medical and moral disaster" for the NHS. He said Christmas may be "very different" but he hoped...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa Mamlaka, raia wapatao 21 wanakadiriwa kuuawa katika shambulio kwenye Kijiji kilichopo Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ambapo kundi la ADF linashukiwa kuhusika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Waislamu hasa kwenye nchi zenye fedha wameamua kususia bidhaa za Ufaransa ikiwa ni kuonesha hasira zao kutokana na mwendelezo wa kejeli za raisi wa nchi hiyo Emmanuel Macron kwa dini ya uislamu...
6 Reactions
169 Replies
12K Views
Back
Top Bottom