Hellow JF
Hali ikoje katika baadhi ya majimbo Marekani?
Marekani ikiwa na majimbo 50, wagombea wakiwa wawili na mamilioni ya wapiga kura.
Mpaka sasa majimbo 39 yamehesabiwa na Biden ana kura...
Mamlaka nchini Indonesia zimewahamisha mamia ya watu waliokuwa wakiishi karibu na mlima wenye hatari ya kulipuka kwa volcano baada ya dalili za mlipuko kuongezeka mapema wiki hii.
Zaidi ya watu...
Rais wa Burkina Faso Roch Marc Chrstian Kabore, amezindua kampeni yake ya kugombea mhula mwingine madarakani, akiahidi kuimarisha usalama na amani nchini humo.
Burkina Faso imekuwa ikikumbwa na...
Sudan imeamua kufunga mpaka wake na Ethiopia baada ya mvutano kati ya serikali ya shirikisho na utawala wa mkoa wa Tigray.
Kulingana na shirika rasmi la habari la Sudan, Fethurrahman al-Emin...
Matokeo ya uchaguzi Marekani 2020:Uchaguzi ‘umechafuliwa’ na madai ya wizi wa kura
Uchaguzi ‘umechafuliwa’ na madai ya wizi wa kura
EPACopyright: EPA
Ujumbe wa kimataifa umesema uchaguzi wa...
Trump, rais wa 45 wa Marekani anajivunia rikodi ya kuimarisha uchumi na kupunguza kwa kiwango kikubwa ukosefu wa ajira lakini anakosolewa kwa jinsi alivyoshughulikia janga la virusi vya corona...
Rais Donald Trump Jumamosi alitangaza uteuzi wake wa Jaji Amy Coney Barrett wa shirikisho katika Mahakama ya Juu kujaza kiti cha marehemu Jaji Ruth Bader Ginsburg.
Hoja ya kumchagua Barrett...
Mabibi na mabwana, elimu haina mwisho. Je, tuna cha kujifunza kutoka kwao waliotutangualia? Au ni yale yale ya ukichwa ngumu kama mawe kuwa tunajua kila kitu?
Mema waliyonayo wamarekani leo...
Uchaguzi Mkuu Marekani Mshauri wa Kiroho wa Rais Donald Trump, Bi Paula White akiongoza maombi ya ushindi kwa Trump. Amesema chama pinzani cha Democrats ni kusanyiko la mashetani, na ameona...
Inaonekana kama kunaweza kutokea vurugu katika Uchaguzi wa Marekani kwa kuwa baadhi ya vyombo vya habari vya kimataifa vimekuwa vikiripoti ghasia kutokana na meneo ambayo matokeo yake bado...
Wanaharakati nchini Marekani wamefanya maandamano ya amani katika baadhi ya miji kudai kuhesabiwa kwa kila kura kufuatia kauli ya Trump kuwa kuna uwezekano wa kuwepo kwa wizi wa kura katika zoezi...
Unaweza kushinda kwa kura nyingi dhidi ya mpinzani wako lakini bado usiwe Raisi.Hivi ndivyo sheria ya chuo za wanazuoni wa Marekani inavyofanya kazi.
Katika mjadala huu neno Electoral college...
Hivi karibuni, filamu moja inayoonyesha maisha ya wahamiaji imefuatiliwa sana katika mtandao wa Netflix. Filamu hiyo inaonyesha safari ya wakimbizi kutoka Sudan ambao wako tayari kukabiliana na...
Rais wa Kosovo, Hashim Thaci amejiuzulu wadhifa huo hii leo ili kuweza kukabiliana na kesi ya uhalifu wa kivita inayomkabili. Yeye na wengine 9 wanatuhumiwa kusababisha vifo vya watu takriban 100...
Serikali ya Ethiopia imetangaza hali ya hatari katika jimbo la Kaskazini la Tigaray baada ya Waziri Mkuu wa taifa hilo, Abiy Ahmed kulaumu Serikali ya majimbo inayoongozwa na upinzani kushambulia...
Takriban visa vipya 103,000 vya maambukizi ya COVID-19 vimeripotiwa nchini #Marekani ndani ya saa 24, huku hekaheka za Uchaguzi zikidaiwa kuchangia ongezeko hilo
Hii ni rekodi kubwa tangu...
Mshauri wa kidini wa Rais wa Marekani Donald Trump, Paula White-Cain anasema "malaika wameshukishwa" kutoka Afrika na Marekani Kusini kumsaidia Trump kuibuka na ushindi.
Katika ibada ya maombi...
Ni dhahiri mambo yanavyoenda Trump itakuwa ngumu sana kurudi Ikulu.
Washington DC watu wamejaa mtaani ,je haya maandamano yakiendelea hadi wakati wa uchaguzi atabaki vipi madarakani.
Yeye kazi...
Rais wa Malawi ameagiza bodi ya mitihani ya kitaifa nchini humo kuvunjiliwa mbali baada ya mitihani ya kitaifa ya mwaka huu kuvuja na kusambaa kwa mitandao ya kijamii kabla ya watahiniwa kuifanya...
Mkuu wa ujumbe wa waangalizi wa kimataifa kwenye uchaguzi wa Marekani 'Michael Georg Link' amesema kwamba madai ya Rais Donald Trump hayana msingi, yanayosema kwamba kumefanyika udanganyifu katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.