Furaha ya viongozi wa Dunia baada ya Trump baadhi ya wanaJf pia walilia!
Furaha ya viongozi wa dunia kufuatia kubwagwa Trump, nembo ya kufeli Washington kimataifa
Nov 09, 2020 05:54 UTC
Baada...
Wizara ya Afya nchini humo imetoa taratibu mpya ambazo zinadhibiti shughuli za Taasisi zisizo za Serikali (NGO's) ambazo zinafanya kazi katika sekta hiyo
Miongoni mwa kanuni 10 zinazopo ni...
Ofisi ya António Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa imekiri kwamba utawala wa Kizayuni wa Israel unayasaidia magenge ya kigaidi.
Uhakika usio na shaka ni kwamba, Israel ndiye muasisi wa...
Bunge la Peru limepiga kura ya kumuondoa madarakani Rais wa nchi hiyo, Martin Vizcarra (57) kufuatia tuhuma za ufisadi. Jumla ya Wabunge 105 kati ya 130 walipiga kura ya kumvua Uongozi...
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Wakimbizi (UNHCR) limesema wananchi 3,600 wamekimbia nchini humo kutokana na hofu ya kutokea machafuko baada ya Uchaguzi Mkuu
UNHCR imesema idadi...
Rais wa zamani wa Mali, Amadou Toumani Touré (72) aliyeongoza taifa hilo kuanzia mwaka 2002 hadi Machi 2012 alipopinduliwa na Jeshi amefariki dunia
Kwa mujibu wa taarifa, amefariki akiwa nchini...
Tofauti na Donald Trump Joe Biden anaamini kuwa Marekani inatakiwa kuhamasisha dunia kwenye mambo mbalimbali ikiwepo mambo ya mazingira na demokrasia.
Baada ya huu "uchaguzi" nategemea "rais"...
Ni juzi tu Rais Trump kapata nyomi la watu elfu 57 lakini hutakuja kusikia CNN wala MSMBC, n.K wakiripoti hivi vitu.
Kwa ukweli ni kwamba Wamarekani wenggi wameacha kufatilia main stream media...
Huku Jeshi likiendelea na mashambulizi katika Jimbo la Tigray, Waziri Mkuu, Abiy Ahmed amewafuta kazi Mkuu wa Jeshi, Mkuu wa Shirika la Ujasusi na Waziri wa Mambo ya Nje.
Watu wa Kabila hilo...
Kama kawaida yake, Trump huwa hajali! Hata wakati Marekani inahangaika kukimbizana na Corona, mwamba alikuwa bize na gofu! Na leo tena, Biden anatangazwa mshindi, yeye yupo bize na gofu. Nadhani...
Nimejaribu kumsikiliza Rais Museveni wa Uganda wakati wa kuapishwa kwa Rais Dr Magufuli ili kuelewa anasema nini hasa. Nakubaliana nae juu ya mambo manne aliyoyasema- liberation, prosperity...
Mabibi na mabwana huu ndiyo ukweli wenyewe:
Donald Trump mgombea aliye madarakani huko Marekani kama angekuwa hapa Afrika (hasa Afrika mashariki), tayari angesha tangazwa kuwa ni ushindi, tena...
Imebaki wiki tatu lakini naamini Biden keshashinda na Trump keshashindwa.
Nimeangalia factors tofauti
1. Pesa -- siku zote mgombea anaeweza changisha hela nyingi anashinda. Biden kamzidi Trump...
Malawi imefikia uamuzi wa kufungua ubalozi nchini Israeli katika Mji wa Yerusalemu na kuwa nchi ya kwanza ya Afrika kuwa na ubalozi mjini humo.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Malawi, Eisenower Mkaka...
Nukuu zangu:-
"(Homosexuals have a right to be a part of the family. They’re children of God and have a right to a family. Nobody should be thrown out, or be made miserable because of it.”
While...
Polisi katika mji mkuu wa jimbo la Georgia, Tbilisi, wamewafurumusha makundi ya watu waliokuwa wakiandamana kupinga matokeo ya wabunge katika uchaguzi wa juma lililopita.
Maelfu ya watu...
Rais mteule wa Marekani Joe Biden ameashiria kwamba ananuia kuiunda serikali yake kwa haraka akilenga kupambana na janga la virusi vya corona ambalo yumkini litakuwa juu kwenye orodha ya mambo...
Shirika moja la kimataifa limesema ushindi wa Donald Trump unachukuliwa kuwa miongoni mwa hatari 10 kuu zaidi zinazokabili dunia.
Shirika hilo la Economist Intelligence Unit linaonya kuwa iwapo...
Maambukizi mapya kwa siku nchini humo yameongezeka kutoka wastani wa 25 hadi 130 katika siku 14 zilizopita na kupelekea hofu ya wimbi la pili ya mlipuko huo
Rais Nana Akufo-Addo amesema Serikali...
Shirika la Amnesty International limetoa wito kwa Mamlaka kuacha kutumia Sheria nyingi zilizopitwa na wakati ili kukandamiza uhuru wa kujieleza kupitia mitandao
Takriban Wanablogu, Wasimamizi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.