Rais Alassane Ouattara na mpinzani wake Mkuu, Henri Konan Bedie wamesema wameamua kufanya mazungumzo ya kuleta aman nchini humo kufuatia wiki kadhaa za vurugu baada ya Uchaguzi Mkuu
Kwa mujibu wa...
China: Dawa mpya tuliyotengeza ina uwezo wa kuzima janga la corona 'bila kuhitaji chanjo'
Maabara moja nchini China ambayo imekuwa ikitengeza dawa ya kutibu maradhi ya Covid-19 yanayosababishwa...
Katika kuonyesha hataki kuondoka madarakani Rais Donald Trump amefanya mabadiliko makubwa Wizara ya Ulinzi - Pentagon kwa kuweka maofisa waandamizi wapya na kuondoa wale wasiokubaliana naye. Mpaka...
Wakuu,
Tuujadili ushindi wa Biden kuelekea makubaliano ya Nyuklia ya Iran.
Kama tunakumbuka Trump aliiondoa Marekani kwenye makubaliano ya Nyuklia ya Iran na kurudisha vikwanzo vikali dhidi ya...
Habari Wanajamvi
Serikali ya Ureno imewapatia wahamiaji wote waliokuwa wanaishi nchini humo bila vibali, vibali vya kuishi. Pia imeenda mbali na kuwapa wote ambao maombi yao yalikuwa processed...
Wana bodi,
Kwanza kabisa nina furaha kubwa kuona jinsi ambavyo watanzania wame endelea kuheshimu maamuzi ya watanzania wenzao katika zoezi zima la uchaguzi. Utulivu huu na amani tuliyo nayo vime...
Mtumishi wa muda mrefu wa wananchi wa Palestina bw Saeb Erakat amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 65.
Marehemu Erakat alikuwa mtu wa karibu wa kiongozi mwasisi wa PLO na ameendelea kuwa chini...
Umoja wa Mataifa umetaka mamlaka nchini Msumbiji kuchunguza ripoti kuwa wanamgambo wamewaua takribani watu 50 na kuwachinja wanawake na watoto katika mji wa Carbo del Gado Kaskazini mwa nchi hiyo...
Kwanza nianze kwa pongezi safi kabsa kwa mshindi wa 46 wa kiti cha urais wa Marekani Joe Biden wa Democratic party, si jambo la mchezo mchezo kuingia Ikulu kwa nchi yenye nguvu duniani kama...
Mwanasheria Mkuu wa Marekani, William Barr amewaamuru waendesha mashitaka wa Serikali kuanzisha uchunguzi kuhusu dosari za upigaji kura, kwa sababu Rais Donald Trump amedai kuwa alishindwa...
Belarus ni nchi iliyo mashariki mwa Ulaya, imepakana na Poland, Urusi, Ukraine na Lithuania. Ina jumla ya raia takriban 900,000 na mji wake mkuu ni Minsk.
Alexander Lukashenko ni Rais...
Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Chuo cha Johns Hopkins, visa 136,325 na vifo 1,420 vimerekodiwa, ikiwa ni siku ya 8 mfululizo kwa Taifa hilo kurekodi visa zaidi ya 100,000 kwa siku
Marekani...
Maafisa wa Sudan wanasema Raia wasiopungua 6,000 kutoka Ethiopia wamewasili nchini humo wakikimbia mapigano yanayoendelea katika Jimbo la Tigray.
Mamlaka za Sudan zimejiandaa kupokea wakimbizi...
Viongozi katika utawala wa rais Donald Trump umepuzilia mbali matokeo ya uchaguzi, huku Trump akiwazuia maafisa wa serikali kutoshirikiana na rais mteule Joe Biden.
Baadhi ya wanachama wa...
Wizara ya Afya imethibitisha kuibuka kwa Ugonjwa wa Surua katika majimbo matano. Mkurugenzi Mkuu wa Huduma za Kinga za Afya, John Rumunu amesema kuna visa na vifo lakini hawezi kutaja idadi...
Aliyekuwa Rais wa Bolivia Bw. Evo Morales amerudi nchini mwake Bolivia baada ya kulazimika kukimbia mwishoni mwa mwaka jana.
Kiongozi huyo mwenye roho ngumu ya upinzani alitokana na makabila ya...
Rais Donald Trump ametangaza kumfuta kazi Waziri wa Ulinzi, Mark Esper baada ya wawili hao kushindwa kuelewana. Christopher Miller aliyekuwa Mkuu wa Kituo cha Ugaidi atachukua nafasi yake
Esper...
Wananchi wa Azerbaijan wametoka mitaani kusherehekea ushindi dhidi ya uvamizi wa Armenia Nagorno-Karabakh na kutiwa saini kwa makubaliano.
Raia wa Azerbaijan walianza kufurika barabarani baada ya...
Kuanzia siku ya Jumapili, Uwanja wa ndege wa Bujumbura umefunguliwa kwa ajili ya ndege zinazofanya safari kimataifa baada ya kufungwa kwa miezi saba kutokana na janga la virusi vya corona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.