As far back as 1990. The US embassies have been connected with a documented record of greediness which has caused blood shade in many countries particularly in African states in the name of...
Wahamiaji wasiopungua 74 wamekufa katika ajali mbaya ya meli iliyotokea katika pwani ya Libya. Shirika la IOM limesema manusura 47 wameweza kuokolewa wakati shughuli ya uokozi zikiendelea...
Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama amesema Wanachama wa juu wa Republican wanadhoofisha Demokrasia kwa kukubali madai ya Rais Donald Trump kuwa Uchaguzi Mkuu ulikuwa na udanganyifu
Katika...
Hii ni comment kutoka kwa mwananchi aliyehojiwa na CNN kuhusu tabia "chafu" ya Trump kukataa ukweli kuwa ameshindwa uchaguzi. Reference ya matendo ya "ushenzi" ni third world. Kuvunja katiba...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Eti ndugu zangu watanzania;
Mtu mmoja (inasemekana ni mwanajeshi muasi) anawezaje kuwachukua mateka watu zaidi ya 40 kwa wakati mmoja bila...
Joe Biden amesema hatua ya Rais Donald Trump kukubali kushindwa katika uchaguzi wa urais wa wiki iliyopita ni "aibu".
Lakini rais huyo mteule wa Marekani- ambaye amekuwa akiwasiliana na viongozi...
Baada ya jeshi la Azerbajan kuurudisha mji wa Shusha ulio kilomita chache kutoka Steparnek mji mkuu wa Nagorno Karabakh serikali ya Armenia ilikubali kutiliana saini kusitisha mapigano na nchi ya...
Kwa mujibu wa Wizara ya Mawasiliano, Wanajeshi 14 wameuawa katika shambulio lililotokea Jimbo la Oudalan, karibu na mpaka wa Mali na Niger
Rais Roch Kabore amesitisha Kampeni zake kwa saa 48...
Visa vipya 33,470 vya COVID19 vimerekodiwa siku moja, ikiwa ni idadi kubwa zaidi tangu kuanza kwa mlipuko huo kwa mujibu wa takwimu za Serikali
Kufuatia ongezeko hilo, maambukizi yamefikia...
Habari za leo wana JamiiForums,
Natumai muwazima wa afya njema.
Leo nilikua naangalia hotuba ya Rais wa U. S aliyechaguliwa bwana Joe Biden.
Kwakweli ukimsikiliza kwa umakini Joe Baden unaweza...
Mgogoro wa Nagono Karabakh baina ya Armenia na Azerbajan safari hii umesababisha vita vikali vinavyopelekea Armenia kuelemewa na kuishiwa na nguvu mpaka kupelekea kuwachukua vijana wadogo...
Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Wakimbizi (UNHCR), lieelezea wasiwasi wake kuhusu mapigano yanayoendelea katika jimbo la Tigray nchini Ethiopia ambayo yamesababisha raia wengi kutoroka...
Takriban watu 50 wamekatwa vichwa na wapiganaji wa Kiislamu nchini Msumbiji, vyombo vya habari vya serikali vimeripoti.
Wapiganaji hao waliugeuza uwanja wa kuchezea kandanda kuwa 'kichinjio' ...
Polisi katika Mji Mkuu wa nchi hiyo, Luanda wametumia mabomu ya machozi kutawanya waandamanaji ambao wanapinga kuongezeka kwa gharama za maisha na ukosefu wa ajira
Watu kadhaa wamekamatwa huku...
Vurugu kati ya Vyombo vya Usalama na waandamanaji waliokasirishwa na uamuzi wa Bunge kumtoa madarakani Rais Martin Vizcarra zimeripotiwa Mji Mkuu wa nchi hiyo, Lima.
Polisi wamelazimika kutumia...
Muungano wa waalimu nchini Zimbabwe umekataa nyongeza ya mshahara ya asilimia 100.
Nyongeza hiyo ni sehemu ya juhudi za serikali kutaka walimu warudi kazini.
Walimu wanasema kwamba mshahara wa...
Posted on November 9, 2020 by State of the Nation
Right Click here and Select Save As to Download the Audio file
Guests: Lt. General Thomas McInerney, (3-Stars) U.S. Air Force (Retired), Author...
Serikali ya nchi hiyo imekana ripoti za takriban watu 50 kuchinjwa na Wanamgambo wa kundi la Kigaidi katika Jimbo la Cabo Delgado
Gavana wa eneo hilo lenye utajiri mkubwa wa gesi, Valige Tauabo...
10 Most Expensive Things Owned By Former US President Donald J. Trump
By CAIRO-MediaNews_SA | Opera News South Africa
Published 1 days ago - 2682 views
No matter the outcome of the 2020...
Wabunge wa Upinzani Hong Kong wamejiuzulu na kususia Bunge kwa kupinga msimamo wa Wabunge wa chama tawala katika kisiwa hicho kuonekana kukubaliana na sheria ya serikali ya Beijing ya Uzalendo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.