Muswada tata wa Kikatiba ulishindwa kupitishwa Bungeni jana Oktoba 29, 2020 kufuatia upinzani mkali kutoka kwa Asasi za Kiraia na Vyama vingine vya siasa
Wabunge waliopiga kura kuunga mkono...
Maafisa hao wa juu ambao hufanya kazi kwa karibu na Rais Recep Tayyip Erdogan na kukutana naye mara kwa mara wamesema wamekutwa na maambukizi ya Virusi vya Corona
Msemaji wa Rais, Ibrahim Kalin...
Janga uchaguzi wa Rais Cote d'Ivoire jana Oktoba 31: Vituo havijafunguliwa wafuasi wa chama tawala RDR cha Rais Alassane Ouattara walishapiga kura. Kilio kilichosikika "ont déjà voté" (wameshapiga...
Raia wa Algeria watapiga kura ya maoni leo kuhusiana na mapendekezo ya mabadiliko ya kikatiba ambayo upinzani unasema yatasaidia kuupa nguvu udikteta.
Kura hiyo inakuja karibu miezi kumi na tisa...
Raia wa Marekani aliyekuwa ametekwa nyara nchini Niger ameokolewa katika operesheni ya kijeshi iliyotekelezwa na Kkosi Maalum cha Jeshi la Marekani (US Special Force) karibu na mpaka wa Nigeria...
Chanzo cha maandamano nchini Nigeria ni kuisukuma serikali ifute kitengo cha usalama cha SARS.
Serikali ya Nigeria iliwasikiliza waandamanaji na ikatangaza kufuta hiyo agency.
Ila naona...
14 September 2020
Muscat , Oman
Sultan wa Zanzibar Jamshid Bin Abdullah hatimaye akanyaga ardhi ya Oman
Sultan wa mwisho wa Zanzibar Jamshid Bin Abdullah mwenye umri wa miaka 91 ameruhusiwa...
Kwa mujibu wa BBC hii imetokea Ufilipino. Askari polisi huyo ambaye sasa ni marehemu alikwenda kuzuia pambano haramu la kugombanisha majogoo, mmoja wa majogoo hao alikasirishwa na kitendo hicho na...
Shirika kubwa la Mawasiliano la Zimbabwe -Econet- limesema limeamrishwa na Serikali ya Zimbabwe kufunga Internet, "Until further Notice"
Mawasiliano ya Facebook, WhatsApp na Twitter yalikatishwa...
Wakati mamia ya wananchi wakiandamana kushinikiza ajiuzulu, Rais wa Belarus, Alexander Lukashenko amesema Mtu yoyote anayemshika mtoa huduma angalau aondoke bila mikono.
Wanafunzi, wafanyakazi wa...
Baada ya takwimu za hivi karibuni kuonyesha Ubelgiji ina kiwango cha juu zaidi cha maambukizi Ulaya, imetangaza kurejesha lockdown ambapo maduka yasiyo na huduma muhimu yatafungwa kuanzia kuanzia...
Tetemeko la Ardhi lililotokea mchana wa Ijumaa ya tarehe 30 Octoba 2020 katika ukanda wa Bahari ya Aegean limeharibu miundombinu katika miji ya pwani.
Watu katika Mji uliopo Magharibi mwa...
Mwakilishi Mkuu wa Muungano wa Umoja wa Mataifa (UN), Miguel Angel Moratinos, amehimiza kuheshimiana kwa dini zote na imani na kukuza utamaduni wa udugu na amani.
Moratinos, katika taarifa yake...
Kampuni hiyo kubwa ya mafuta nchini Marekani imesema itapunguza wafanyakazi kwa 15% kutokana na mlipuko wa Virusi vya Corona kuathiri uhitaji wa nishati hiyo
Mapema mwezi huu, Exxon ilisema...
Watu wapatao 140 wamepoteza maisha baada ya meli iliyokuwa na wahamiaji wapatao 200 kuzama katika pwani ya nchi hiyo
Katika taarifa yake, Ofisi ya Uhamiaji ya Kimataifa (IOM) imesema ajali hiyo...
Leo majira ya asubuhi watu watatu wameuwawa nje ya kanisa huko ufaransa..kati yao mwanamke mmoja ameuwawa kwa kukatwa kichwa. Muuaji amekamatwa akiwa hai..Mayor na polisi wanasema alisikika akilia...
Malawi’s Re-Run Election is Lesson for African Opposition
The overturning of the result in the fresh presidential contest sets a bold precedent for the continent, as a process built upon the...
Mchungaji Wavel Ramkalawan ameshinda kura katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika visiwa vya Shelisheli.
Hii ni mara ya sita kwa Ramkalawan kugombea urais katika Visiwa hivyo vilivyo katika Bahari ya...
Huko China na kwengine duniani limezuka gonjwa lisilotibika kutokana na "mdudu" aka "kiti moto" aka "mbuzi katoliki" aka nguruwe.
Nguruwe katika vitabu (vya imani zote kuu mbili za hapa kwetu)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.