Waandamani wanataka amabadiliko kamili,
Nigeria imehairisha mtihani wa taifa kwa wanafunzi wa mwaka wa mwisho huku ghasia zikiendelea kati ya waaandamani wanaopinga unyama unaotekelezwa na polisi...
Serikali ya Msumbiji imetangaza kuwa vikosi vya ulinzi nchini humo (FDS) vimedhibiti mji wa Macomia, katika jimbo la Cabo Delgado Kaskazini mwa Msumbiji na kuwaua viongozi wawili wa kundi la...
Mgogoro huu inasemekana ni wa muda wa karibu miongo minne.
Lakini ulikuja kuwa mkubwa sana baada ya nchi hizi mbili kupata uhuru wao kamili miaka ya 1990 na kuendelea.
Inasemakana Russia...
Wananchi 8 na polisi wawili wameuawa katika mji wa Conakry, #Guinea baada ya kutokea rabsha baada ya matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa kuwa Alpha Conde ameshinda Urais
Watu wengi wamejeruhiwa...
Shirika la Amnesty International limedai watu wasiopungua 12 wameuawa wakati Vikosi vya Serikali vilipowafyatulia risasi waandamanaji eneo la Lekki Mjini Lagos.
Shirika hilo linalotetea Haki za...
Waandamanaji mjini Lagos waliweka vizuwizi na kufunga barabara katika mji huo mkubwa wa kibiashara
Watu kadhaa walioandamana dhidi ya polisi wakatili wameripotiwa kupigwa risasi na kufa na huku...
Waziri wa Afya wa Ujerumani, Jens Spahn amethibitishwa kukutwa na #CoronaVirus na ana dalili kama za mafua
Wizara ya Afya imesema waziri huyo amejitenga lakini watumishi wengine wa wizara hiyo...
CIC Malema mwanasiasa mwenye misimamo mikali ameleta hali ya wasiwasi huku SA, hii ni baada ya kuwaambia wanachama na mashabiki wake kujiandaa kuuvamia mji unaokaliwa na Wakulima weupe uitwao...
Wapiganaji wenye silaha wamewaachilia huru wafungwa wasiopungua 900 kutoka jela mjini Beni, mashariki mwa Congo, katika shambulio la kupanga mapema Jumanne, ambalo meya wa mji huo amelilaumu kwa...
Argentina inakuwa nchi ya tano duniani kurekodi visa zaidi ya Milioni 1 baada ya maambukizi mapya 12,982 kurekodiwa ndani ya saa 24 zilizopita na kupelekea idadi kufikia 1.002,662
Kwa mujibu wa...
Kwakile kinachoonekana ni maagizo ya China kwa USA toka wizara ya mambo ya nje ya China
Wizara hiyo imesema kuwa.
"Tunataka marekani iache kuwasumbua wanafunzi wanaosoma marekani wakitoka China...
Samora Machel,the first presidenr of Mozambique after the country's independence,died on 19 october 1986,when a Soviet-crewed Tupolev 134A carrying his entourage bavk from a regional summit in...
Mamlaka za Lagos zimeagiza Shule kufungwa kufuatia maandamano yanayoendelea kupinga ukatili unaofanywa na Polisi
Kamishna wa Elimu katika Mji huo, Folasade Adefisayo amesema hakuna uhakika wa...
Noma sana!
Mr. Virtual signaling extraordinaire, Jeffrey Toobin, ambaye ni mwanasheria, mchambuzi wa masuala ya sheria CNN, na mwandishi wa gazeti la The New Yorker, wiki iliyopita akiwa kwenye...
Ukiacha mbali habari zilizopikwa na Cnn, Msnbc, abc,nbc, cbs, New york times,n.k Ama hizi Polls feki za kura zinazochakachuliwa.
Kiukweli Trump ana wafuasi aisee, Majuzi tu hapo kulikuwa Msafara...
Marekani inatekeleza hukumu ya kifo kwa mfungwa wa kike kwa mara ya kwanza katika kipindi cha karibu miaka 70, kulingana na Wizara ya Sheria.
Lisa Montgomery alimyonga mwanamke mjamzito huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.