International Forum

News and Stories from rest of the World
Hili liwe fundisho kwa viongozi wengine wa Kiafrika, kwamba watu wengi wanaweza kuwa wanakuchekea kwa vile uko madarakani tu, na hasa kwa vile unawajazia matumbo yao, lakini ukitoka ndio utaijua...
10 Reactions
28 Replies
3K Views
Yule bilionea wa Kimarekani aliyekuwa anatuhumiwa na makosa lukuki ya kufanya ngono na wasichana wadogo walio chini ya umri, kajiua akiwa lupango. R. Kelly akituhumiwa kwa makosa hayo hayo...
4 Reactions
33 Replies
4K Views
Mgombea wa Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Malawi (MCP) Dr. Lazarus Chakwera anaongoza kura kwa zaidi ya 60% dhidi ya Prof. Peter Mutharika anayetakiwa kuondoka Ikulu ya Malawi wakati wowote...
23 Reactions
177 Replies
11K Views
Habari za jioni wana JF, kama kichwa cha habari kinavyosomeka nimekuwa nikijiuliza sana kwamba pamoja na China kuwa ni taifa ambalo limenyanyasa sana waislamu ambao wengi wao wanatokea jimbo la...
12 Reactions
75 Replies
8K Views
Wananchi huko Urusi wameanza kupiga kura ya maoni ili kuruhusu Rais Putin kubakia madarakani kwa miaka 16 zaidi. Upigaji kura huyo utakamilika Julai mosi. Urusi inafanya kura ya maoni ya...
3 Reactions
85 Replies
6K Views
Maelezo ya picha Mwanga wa siasa ya Lazarus Chakwera ulifufuliwa baada ya mahakama kufuta matokeo ya uchaguzi wa urais wa mwaka jana Kiongozi wa upinzani nchini Malawi Lazarus Chakwera ameshinda...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
China imeweka agizo la kutotoka ndani kwa wananchi takriban 400,000 katika Kaunti ya Anxin iliyopo Hebei, karibu na Mji Mkuu wa Beijing Watumishi wa sekta muhimu pekee ndio wanaruhusiwa kutoka...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) amepinga kitendo cha kukamatwa kwa waziri wa sheria, akisema serikali ya mseto inaweza kuvunjika juu ya suala hilo na kumtaka rais...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndio maana mimi sio muumini wa hizi zinaitwa projections au utabiri kutoka kwa wataalamu au wachambuzi wa utabiri sijui analysts projects this, projects that. Mimi hua nasema hizi ni sawa na usoma...
6 Reactions
24 Replies
3K Views
Kawaida ya dunia baada ya kama miongo kadhaa lazima iingie kwenye reset mode, pale ambapo kunakua na maafa makubwa na maangamizi kila mahali, hii huwa haikwepeki, corona imeanza kwa kubip ila...
3 Reactions
148 Replies
12K Views
Baada ya Marekani kwa miaka mingi kuwa bingwa wa demokrasia na masuala ya haki za binadamu kwasasa hayo masuala yamepotea kabisa chini ya utawala wa Rais Donald Trump kutoka chama cha Republican...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Kampuni ya Unilever imeacha kutumia hela zake kutangaza bidhaa zake Faceboo na Instagram. Kampuni hiyo ambayo ilitumia takriban Dola bilioni 8.2 sawa na Tsh Trilioni 18. 9 kwa matangazo ili kukuza...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Mutharika kaaanguka. Haki imetamalaki Wananchi wameamua kumtoa kuhani madarakani. Sio mapolisi wala wana wa usalama walioingilia mchakato. Hatukusikia IGP wa huko wakiingilia mchakato na kuviita...
10 Reactions
63 Replies
4K Views
Wamalawi walipiga Kura May 2019 ambapo Rais aliyepo Madarakani Peter Mutharika alitangazwa mshindi. Ilipodhibitika pasi na shaka yoyote ile kuwa uchaguzi ule haukuwa HURU na HAKI, wananchi...
23 Reactions
171 Replies
11K Views
Wakati matokeo ya Uchaguzi wa Rais Nchini Malawi yakiwa hayajatangazwa na Tume ya Uchaguzi, Jeshi la Nchi hiyo limechukua hatamu ya Ulinzi wa Kiongozi wa Upinzani Chikwera. Hatua hiyo inafuatia...
15 Reactions
27 Replies
3K Views
Pierre Nkurunziza aliyekuwa rais wa Burundi amezikwa Gitega Denise NKurunziza yavuze ko umuhisi Nkurunziza yarangije neza kandi yapfuye mu mahoroCHANZO CHA PICHA, AFP Maelezo ya picha, Denise...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Ni dhahiri kabisa mzee huyu hatamweza Trump, yupo serikalini kwa zaidi ya miaka 50 lakini hana idea kabisa na current events, sio mara ya kwanza na ni wazi kabisa ana ugonjwa wa kumbukumbu...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Kwa kifupi sana napenda nitoe Elimu ndogo tu kwa baadhi ya wenye upeo mdogo wa mambo ya international politics, kuhusu matokeo ya uchaguzi nchini Malawi ni kwamba kile chama kilichowahi kuwa...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Watu watatu wamefariki, watatu wengine wana hali mbaya na mmoja awa kipofu baada ya kunywa sumu ya methanol. Madaktari wamesema walikunywa vitakasa mikono vyenye sumu hiyo Matukio hayo yaliwahi...
0 Reactions
0 Replies
816 Views
Back
Top Bottom