Ijapokuwa tume ya uchaguzi ya Malawi MEC bado haujatangaza matokeo ya uchaguzi wa urais uliorudiwa , ishara za mapema zinaonesha kwamba rais Peter Mutharika yuko nyuma ya mpinzani wake mkuu...
Wakati wa mechi kati ya Burnley na Manchester City, iliyochezwa Jumatatu, Juni 22 katika uwanja wa Etihad, kuna ujumbe uliosema “White Lives Matter” ulipitishwa uwanjani hapo kwa ndege
Ligi ya...
In this article I will be using mostly the first family of Rwanda, the Paul Kagame's as pictorial examples.
We are well conversant with the Dutch men and the Latvian women being the world's...
Kikundi kipya cha waasi kimetangaza kuhusika na mashambulio ya hivi karibuni nchini humo na kuweka wazi nia yao ya kumpindua Rais Paul Kagame.
Kundi hilo linalojiita National Liberation...
Hiyo ndiyo habari toka Malawi! "CCM" ya malawi maji ya shingo wanalalamika kuwa wanafanyiwa fujo na wafuasi wa MCP. Hii ni baada ya kura kuonyeha kuwa MCP-chama cha upinzani kinaongoza ingawa...
Makala: Nimeitafsiri kwa ufupi sana kutoka gazeti la THE GLOBE na THE MAIL
"Tatizo sio gharama" alizungumza mwanaume mmoja kwenye simu, "Tutafurahi kama mambo yatafanyika vizuri, watalipwa...
Habari!
Kutokana na kushamiri ama kuongezeka kwa maambukizi ya virusi vya corona nchini Brazil, Mahakama nchini humo imemuamuru Rais wa nchi hiyo Jair Bolsonaro kuvaa barakoa ya kinga la sivyo...
Rais Xi Jinping wa China leo amesema, ni lazima kudumisha nia ya kusimamia mfumo wa pande nyingi. Na katika janga hili la COVID-19, mshikamano na ushirikiano ni silaha yenye nguvu zaidi...
My Take:
Nothing is set to slow down the speed of economic growth of the "Factory of the world". Most of the big economies are of the world are ailing. But not to the SINO, the emerging world...
George Floyd
Mauaji ya Mmarekani mwenye asili ya Afrika GeorgeFloyd yamesababisha wimbi kubwa la maandamanondani nan je ya Marekani, watu wa rangi tofautiwakiungaika pamoja kupigania haki zao...
Mataifa ya magharibi na yale ya kiarabu yameahidi mchango wa dola bilioni 1.8 kuisaidia Sudan inayoandamwa na hali mbaya uchumi, tangu vuguvugu la demokrasia lilipoung´oa utawala wa muda mrefu wa...
According to "informative" they believed that blacks are the only human with 100% human DNA. They wrote "For years, Black people have been seen and treated as less humans and in some cases were...
Mwili wa aliyekuwa Rais wa Burundi hayati Pierre Nkurunziza unazikwa leo kwenye makaburi ya mji wa Gitega ,mji mkuu wa kisiasa ulioko katikati mwa Burundi
Hafla ya mazishi zinatarajiwa kuongozwa...
TEL AVIV: Israeli air strikes against targets in Syria may be one of the main reasons for the growing crisis between Russia and Turkey since they’re highlighting the Russian-made S-400 air defense...
Iran yafanyia majaribio makombora mapya ya cruise
Jeshi la Baharini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limefanyia majaribio kwa mafanikio makombora yake mapya ya cruise katika luteka ya kijeshi...
Takwimu rasmi zilizotolewa hivi karibuni zinaonesha kuwa watu milioni 90.41 nchini China wamefanyiwa vipimo vya nucleic acid vya virusi vya Corona, jambo ambalo limefuatiliwa na jamii ya...
Siku ya Jumanne ya terehe 23/06/2020 Wananchi nchini Malawi, walipiga kura katika uchaguzi wa marudio, baada ya yale ya awali yaliyompa ushindi Rais aliyeko madarakani, Peter Mutharika...
Rais Xi Jinping wa China leo ametoa mwito wa kuendelea kwa juhudi za kupambana na dawa za kulevya. Kwenye ujumbe aliotoa mapema kabla ya maadhimisho ya siku ya kupambana na dawa za kulevya (26...
Habari!
Ikiwa ni takribani wiki mbili zimepita baada ya tukio la kuuawa kwa Mmarekani mweusi George Perry Floyd Jr. ama George Floyd jijini Minneapolis, Minnesota nchini Marekani yakifuatiwa na...
Serikali ya Afrika Kusini 'Imesarenda' Kumiliki Shirika la Ndege. Sasa Kutoa Kiwango Kikubwa cha Hisa kwa Sekta Binafsi
Serikali ya Afrika Kusini imeamua kubaki na umiliki mdogo wa shirika la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.