International Forum

News and Stories from rest of the World
Hali ya mifumo ya afya katika nchi nyingi za Afrika limekuwa ni suala lenye msukosuko mkubwa. Miundombinu ya afya katika nchi nyingi za Afrika haitoshelezi mahitaji ya raia na kuepeleka vifo...
0 Reactions
2 Replies
758 Views
Marekani imetoa wito wa kuachiliwa 'huru mara moja' raia wawili wa Canada wanaozuiliwa nchini China baada ya kushutumiwa kufanya kazi za kijasusi nchini humo. Marekani inasema shutma za China...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
OBAMMA ALIKUWA NA SAY KUBWA SANA KUHUSU BARA LA AFRIKA NA MATOKEO YAKE ALILIANGAMIZA SANA BARA LA AFTIKA Obama: Gaddafi death is warning to iron-fist rulers Matt Spetalnick and Laura MacInnis...
8 Reactions
183 Replies
9K Views
Credit: Donald Trump’s Post-Rally Walk of Shame Is the Most Satisfying Meme We all know of the many, many empty seats at Donald Trump’s rally in Tulsa, Oklahoma at this point. The president was...
0 Reactions
0 Replies
608 Views
Afrika kusini imeanzisha majaribio ya kwanza ya chanjo ya virusi vya corona barani Afrika wiki hii, chuo kikuu kinachoongoza hatua hiyo kimesema leo, wakati nchi hiyo ikikabiliana na idadi ya juu...
0 Reactions
1 Replies
968 Views
Huyu mdada huwa kimya muda mwingi lakini wengi wanafahamu nguvu alizo nazo kwenye himaya, na hufanya mambo mengi nyuma ya pazia, ila ameanza kujitokeza na tayari katupia mkwara mzito dhidi ya...
6 Reactions
219 Replies
14K Views
Picha iliojitokeza siku ya Alhamisi ilionyesha silaha butu ambazo zinadaiwa kutengenezwa na vyuma vilivyounganishwa na misumari. Picha iliosambaa sana katika mitandao ya kijamii nchini India...
1 Reactions
39 Replies
5K Views
WASHINGTON, (BM) – The US military began to test new secret planes over the Mojave Desert, which, according to the America’s The Drive magazine, could be an ideal adversary for an equally...
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Korea Kaskazini imesema tayari imekamilisha uchapishaji wa vipeperushi Milioni 12 vinavyomkejeli Rais wa Korea Kusini Moon Jae-in, baada ya Korea Kusini kusambaza vipeperushi vinavyomkejeli Kim...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Marekani na Urusi zajadili mkataba kuhusu zana za nyuklia Wajumbe wa Marekani na Urusi wanajadiliana mjini Vienna kuhusu mkataba wa silaha za nyuklia, wakati ambapo mvutano ukiongezeka iwapo...
3 Reactions
5 Replies
986 Views
Saudi Arabia imepiga maarufuku raia kutoka mataifa mengine kufanya ibada ya Hija nchini humo mwaka huu ili kudhibiti virusi vya corona. Ni idadi ndogo tu ya watu wanaoishi kwa sasa katika ufalme...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Baada ya kesi mpya za Corona kuripotiwa tena mjini Beijing, Tianjin, mji uliopo umbali wa kilomita 100 nje ya Beijing pia ilishuhudia kesi moja mpya. Cha kushangaza ni kuwa majibu ya vipimo vya...
0 Reactions
0 Replies
801 Views
Rais wa Marekani Barack Obama amekiri kwa mara ya kwanza kwamba serikali yake ilifeli katika kutatua mzozo wa Libya. Amesema hilo huenda ndilo “kosa kubwa” zaidi alilolitenda wakati wa utawala...
2 Reactions
76 Replies
19K Views
Mamlaka za mashariki mwa Congo watu 19 wauawa. Donat Kibwana, kiongozi wa Kivu amesema watu tisa kati ya hao walitenkwa Ijumaa na wapiganaji wa ADF na miili yao ikakutwa Kaskazini mwa Kivu wakiwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ameamuru watu wasipimwe kama hawaumwi Kampeni ziendelee kama kawaida Hakuna cha barakoa wala umbali kwenye kampeni zake
0 Reactions
6 Replies
838 Views
Mshauri wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa Bi Jacquline Musiitwa amesema, maambukizi ya virusi vya Corona yameathiri vibaya uchumi na biashara za Afrika, huku thamani za sarafu za nchi nyingi za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo naomba tuangalie mataifa yanayohongoza kwa kuchukiana zaidi yahani kila taifa linajiona bora na babe zaidi ya mwenzake Nitahanza na listi yangu kisha wewe mdau utakuja na yako pia 1. South...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Mamlaka ya Zimbabwe imesema watu ambao hawawezi kuelezea utajiri wao ulitoka wapi mali zao ziko katika hatari ya kuchukuliwa hata ikiwa mahakama itawaondolea madai ya kuhusika na ufisadi...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Malawi inatarajiwa kurejea debeni Jumanne kwa duru ya pili ya uchaguzi katika kinyang'anyiro cha kumchagua rais miezi mitano baada ya Mahakama ya Kikatiba kutupilia mbali matokeo ya uchaguzi...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa takribani miaka 27 Nelson Mandela (Tata/Madiba) amekuwa gerezani Hadi mwaka 1990 alipoachiwa. Hadi kufikia mwaka 1990 nchi zote za kiafrika zilikuwa zimepata Uhuru kutoka kwa wakoloni...
14 Reactions
69 Replies
8K Views
Back
Top Bottom