Rais mpya wa Burundi, Evariste Ndayishimiye ametangaza janga la CoronaVirus kuwa adui mkubwa wa wananchi na kwamba, umeanza kuwa miongoni mwa hofu zao.
Amesema hayo baada ya kuapisha Serikali...
Kampuni kubwa zaidi ya utengenezaji ndege kwa sasa, Airbus imetangaza kufuta kazi 15,000 duniani kote, idadi ambayo ni ya juu zaidi katika historia ya kampuni hiyo
Airbus imesema itapunguza 10%...
Taarifa ya pamoja iliyotolewa na tovuti ya kidiplomaisa ya Ureno imesema, mawaziri wa mambo ya nje kutoka nchi 11 za Ulaya wamekubali masharti ya kufungua tena mipaka na kurejesha uhuru wa...
WASHINGTON ― The U.S. would be able to buy Turkey’s Russian-made S-400 air defense system under legislation proposed in the Senate last week. The proposal is one powerful lawmaker’s attempt to...
While new, modernized MiG-29 Fulcrum jet fighters that the Syrian Air Force has purportedly received from Russia may improve its antiquated and decaying arsenal, it’s unlikely to deter or stop...
These African Nations got their independence 60 Years ago from Europeans Colonials.
1: Benin
2: Burkina Faso
3: Cameroon
4: Central African Republic
5: Chad
6: Congo- Brazzaville
7: Congo -...
Kremlin nayo yapinga madai ya New York Times kuhusu mauaji ya wanajeshi wa Marekani huko Afghanistan
Jun 30, 2020 02:29 UTC
Dmitry Peskov
Dmitry Peskov
Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Russia, Kremlin...
Mpinzani wa Rais Donald Trump, Joe Biden amesema hatoendesha kampeni za Urais wakati huu ambapo nchi hiyo inakabiliana na janga la COVID19
Biden ambaye alikuwa Makamu wa Rais wa zamani wa...
Kwa mujibu wa Euronews orodha ya awali inaonesha raia wa nchi za Mozambique, Angola, Namibia, Ethiopia, Zambia, Rwanda, Uganda, Misri, Tunisia, Algeria na Morocco wataruhusiwa kuingia nchi za...
Aina mpya ya mafua ambayo inaweza kuwa janga kubwa la kiafya imegunduliwa na Wanasayansi nchini humo. Mafua hayo ni aina mpya ya virusi na kutokana na hilo, inawezekana binadamu wana kinga mwili...
Huawei ilikua inakuja vizuri sana kwa miaka 3 iliyopita. Ghafla bin vuu mwaka jana ikawekwa kwenye black list ya serikali ya Marekani ikaanza kupambana na vikwazo.
Sasa Huawei imeanza kupoteza...
Idadi ya wagonjwa wa corona inaendelea kuongezeka Madagascar licha ya nchi hiyo kudai kuwa imepata ''dawa'' ya mitishamba ya kukabiliana na kuponywa maradhi hayo.
Kufukia sasa nchi hiyo ina jumla...
Mtandao wa Reddit, umefuta accounts zinazo msapoti Trump na sera za chuki, ubaguzi wa rangi, chuki dhidi ya wanawake na wanaofanya mapenzi ya jinsia moja na wanaoeneza conspiracies mbalimbali...
Kwa mara nyingine tena Rwanda imetangaza rekodi kubwa ya watu walioambukizwa virusi vya Corona, baada ya watu 101 wakiwemo wafungwa 72 wa gereza la Ngoma Mashariki mwa Rwanda, kuthibitishwa...
stealth battle continues.
Here's What You Need To Remember: While the Russians—and the Chinese—have not yet cracked the problem, it is clear that stealth is becoming much less of an advantage...
Jeshi la Rwanda laua watu 4 waliobeba silaha kutoka Burundi
Jeshi la Rwanda limetangaza habari ya kuua watu wanne waliokuwa wamebeba silaha raia wa Burundi kusini mwa nchi hiyo.
Taarifa ya Jeshi...
Lazarus McCarthy Chakwera (born 5 April 1955) is a Malawian theologian and politician who became President of Malawi in June 2020. [2] He has been leader of the Malawi Congress Party since 2013...
Habari!
Vikosi vya usalama vya Iraq vimevamia kambi ya kundi lenye nguvu linaloungwa mkono na Iran la Kataib Hezbollah kusini mwa Baghdad na kuwakamata wanamgambo 14 sambamba na zana za kivita...
Hali bado inaweza kuwa mbaya zaidi wakati huu wa janga la Covid-19, Shirika la afya duniani (WHO) limetahadharisha, miezi sita ikiwa imepita tangu mlipuko wa ugonjwa huo kutokea.
Mkuu wa shirika...
Risasi zarindima Kentucky, US baada ya mwanamke mweusi kuuawa na polisi nyumbani
Risasi zarindima Kentucky, US baada ya mwanamke mweusi kuuawa na polisi nyumbani
Maaandamano ya kupinga ubaguzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.