Brazil imetangaza vifo 5083 huku ikiwa na maambukizi 73,235. Rais Jair Bolsonaro alipuuzia #CoronaVirus kwa kuwaambia wananchi wake kuwa kuna siku kila mtu atakufa ili kuwatoa hofu raia wake...
Vifaa hivyo vilitarajiwa kugundua antobody katika damu ya wagonjwa wa virusi vya corona
India imesitisha uagizaji wa karibu vifaa nusu milioni vya kupimia virusi vya corona kutoka China baada ya...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema halijapokea ushahidi wowote kutoka Serikali ya Marekani kuhusu chanzo cha mlipuko wa Virusi vya Corona, hivyo kwa mtazamo wao suala hilo litaendelea kuwa...
Kwa mara ya kwanza wameonekana maeneo ya Marekani,
Urefu wa nchi mbili,ana uwezo wa kumuua mwanadam kwa kumdunga mara kadhaa,na pia ni tishio kwa Nyuki wa asali..
Wanaua watu 50/Mwaka japan
====...
Waziri wa Usafirishaji, Mohamed Salad amesema ndege iliyokuwa imebabe vifaa vya misaada kwa ajili ya kukabaliana na janga la CoronaVirus imeanguka na watu sita waliokuwemo wamefariki dunia
Ndege...
Iran: Tuko tayari kuwanufaisha wengine uzoefu tuliopata wa kukabiliana na corona
Mkuu wa Komandi Kuu ya Majeshi ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kuyanufaisha mataifa...
Baada ya tetesi kwamba Kim wa Korea ameibuka na hajafa, Korea Kaskazini imeamua kuliamsha dude kwa marisasi, ila Korea Kusini nao walijibu salamu muda huo huo kwa kufyatua pia. Korea zote mbili...
May 3, 2020 10:45 AM
Many efforts have been taken by the world health organization in the discovery of the COVID-19 drugs, but few of the have worked. However, the African leaders have not been...
Waziri mkuu wa Urusi Mikhail Mishustin amesema amekutwa na #CoronaVirus amesema anapaswa kujitenga ili kuwaokoa wengine
Waziri huyo ameshauri naibu wake, Andrey Belousov kukaimu nafasi ya...
China's aim is to take over Africa, they don't even want to rent houses to Africans and still yet they want our jobs?
Zambia's new Chinese police officers removed after outcry - BBC News Chinese...
AFRICAN UNION SUPPORTS COVID ORGANICS MEDICINE FROM MADAGASCAR
Addis Ababa- The Bureau of the African Union Heads of States held a tele-conference meeting to discuss in detail the efficacy...
Bill Gates who is now the most popular figure in America has angered it's citizens. A large has trooped out to protest against Bill Gates proposed vaccine as there are calls for the arrest of...
Natalya Kuznetsova was born on the 1st of July in the year 1991, Natalya is a post-90s girl born and bred in Russia.
She has been given the title of the "Russian monster" in the fitness world for...
Kwa mara nyingine Marekani wadhihirisha nini umuhimu wa kuwa superpower na viongozi wa dunia. Dawa walioitangaza hivi majuzi sasa imeidhinishwa rasmi, itatumika dhidi ya Corona.
Japo sisi...
Trump atofautiana na majasusi wa Marekani kuhusu chanzo cha virusi vya corona
WASHINGTON, MAREKANI
RAIS wa Marekani, Donald Trump ametofautiana na Idara ya intelijensia ya nchi hiyo kuhusu...
Kwa mujibu wa Vyombo vya Habari nchini Korea Kusini, Kim Jong-un ameonekana hadharani kwa mara ya kwanza baada ya siku 20 akiwa anakata utepe kwenye uzinduzi wa kiwanda cha mbolea
Shirika la...
Centre For Disease Control and Prevention (CDC) wametoa sababu za kutofananisha mafua ya kawaida na #CoronaVirus ili kuweka sawa wanaopinga na kutaka shughuli za kiuchumi ziendelee kwa kuamini...
Amerika Kusini ina baadhi ya magereza yaliyofurika watu duniani. Yakiwa na wafungwa waliobanana ndani ya vyumba vidogo vya mahabusu -kimoja kikiwa na watu 12 agizo la kutosogeleana haliwezekani na...
Iran yashika nafasi ya pili katika kutibu Corona duniani
Takwimu rasmi zilizotolewa na mashirika ya kimataifa zinaonyesha kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeshika nafasi ya pili duniani katika...
In a highly significant development, Professor Luc Montagnier, the French scientist who shared the 2008 Nobel Prize in Medicine for discovery of the human immunodeficiency virus (HIV), has added...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.