Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Naitaji msaada wenu hivi kipindi cha kubalehe unakuta uume hauja kuwa vizuri na mtu kasha anza kupiga punyeto hvi kutokana na kufanya hivyo kunaweza sababisha uume usikue tena.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeanzisha utaratibu wa kuanza kunywa kahawa kabla ya kwenda mazoezini. Nimejikuta nikiwa mchangamfu kupita kiasi na mwili kutamani kuendelea na mazoezi zaidi na zaidi. 1. Je kwa utaratibu huu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi unawezaje kupunguza mafuta ama unene wa mikono kwa kina dada,kwa wale ambao hawana maumbo makubwa lakini mikono minene
0 Reactions
11 Replies
21K Views
Haya mawe yanayouzwa kwa mbwebwe nyingi ya kwamba yanao uwezo wa kuondoa sumu ya nyoka yananipa maswali kadhaa ikiwayo: - je ni kweli yanaondoa sumu ya nyoka?; - je yanaondoa aina zote za sumu...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wana JF heshima mbele Kuna tatizo linanikosesha usingizi kwani nina wasiwasi. Leo hii kuna ndugu yetu kakimbizwa muhimbili. Tatizo lake mimba imetungwa nje ya kizazi. Kwa maelezo ya ndugu...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Enjm
0 Reactions
24 Replies
23K Views
TAFITI za kisayansi zimebaini kuwa nguo za ndani hasa zinazobana kwa wanaume na zile za aina ya nailoni (nylon) zinaathiri uwezo wa mbegu za kiume, hivyo kushindwa kutunga mimba. Kwa habari zaidi...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari ndugu zanguni! naombeni msaada ju ya tatizo hili: skio haliumi(halina maumivu) bali linamngurumo wa sauti mfano wa mdudu nyenze mlio ambao hunikera skioni na kunipa hofu maana si hali ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani naombeni mnishauri mwenzenu, demu wangu kapima na ana -[negative]. hivi kiafya kuna madhara gani ambayo naweza kupata, hususani katika kazaa watoo. Inasemekana kwamba watoto wanafariki, je...
0 Reactions
2 Replies
981 Views
Habari naitwa francis mathias nina mchumba wangu anapenda sana kubemba mimba lakini nashindwa kupangialia tarehe yake ya hatari .Nanimefuatilia mzunguko wake wa hedhi kwa mda miezi mitatu kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa kawaida mwanamume anayeishi maeneo ya joto anapaswa kuwa makini sana, ili kuhifadhi vizuri manii yake anatakiwa kutumia mavazi yenye kupitisha hewa,” alisema Dk Massawe. TAFITI za kisayansi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Frederica Michael,mwanamke anayelalamikia kipimo cha DNA. KWA UFUPI ‘Nilimpenda mno mume wangu Mushi, Mungu anajua, lakini ameniacha kwa sababu ya majibu ya DNA ambayo nina hakika...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
mi .naomba nisaidiwe nini chanZo cha premature membrane rapture kwa wajawazito?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari madoctor wa familia ya Jf natumai hamjambo. Shemeji yenu anaomba msaada wenu wa kiudakitari kwa miaka minne iliyopita alijaliwa kupata mtoto,na alikuwa anatumia sindano kupanga uzazi kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Alhamisi jion wk hii, mshkaji wangu kaja geto. Kwa hali isiyo ya kawaida akawa anajikuna sana kenye ANUS PART , kwa kuibia tu dizain flan nisimuone. Lkn nikagundua hili ni tatizo Nikahoji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimekuwa najiuliza hivi pombe pamoja na kukatazwa na imani tofauti tofauti, Madaktari kuwazuia baadhi ya wagonjwa, na watu wengi kupewa ushauri waache pombe. Lakini cha ajabu pombe inazidi...
0 Reactions
62 Replies
27K Views
jamani nani anafahamu hospitali za india zinazotibu mambo ya infertility ambayo ni ya uhakika kwenye huduma ya ivf na gharama zake je aga khan kuna gyno mzuri, coz i real want to have a baby guys
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wadau, Naomba tusaidiane katika kujadili hili suala la watoto ambao wamefikisha miaka 10 au zaidi kuendelea kukojoa kitandani, wakiwa wamelala usiku. Je, tataizo ni nini? na matibabu yake ni yapi?
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Jumapili iliyopita nilijisikia kizunguzungu na kichwa kuwa kizito.Nikaenda hospitali wakanipima pressure wakaona 123/75.Wakapima damu na kuona sina maleria bali nina Typhoip.Nikapewa dawa za...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau na wataalam wa mambo ya afya, nauliza je kuna madhara yoyote ambayo mtoto anaweza kuyapata kwa wazazi wake kwa kufanya tendo la ndoa bila kinga?
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…