Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nimefurahi sana kusikia Tanzania kuzindua mpango wa kutokomeza VVU kwa watoto hio tarehe 1 Desemba huko Lindi. Ombi langu kila mtu ajiwekee lengo kuepusha angalau mtoto mmoja asiambukizwe VVU...
1 Reactions
1 Replies
918 Views
Salam kwa wote.Kuna jamaa yangu japo si dokta alikuwa anaongea kwauhakika kuwa mwanamke anaweza kusafishwa kizazi kwa kutolewa na kurudishwa tena. Dokta na wajuzi kuna kisa huyu jamaa yangu...
0 Reactions
8 Replies
12K Views
Kuwa na kifua chenye ukubwa tofauti (yani upande mmoja wa kifua ni mkubwa kuliko mwingine) Nini chanzo chake na je kuna tiba yake? Msaada tafadhali!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nawashwa sana kwenye mapaja,navitu flani kama vipele
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mara nyingi wanawake wakati wa ujauzito wanabadilika sana kihisia. Utakuta kwa muda mfupi kafurahi halafu umefanya kitu kidogo umemkasirisha. Wakati mwingine wanaweza wakawa wanahasira au kuwa...
5 Reactions
3 Replies
13K Views
Nawaasa sana wana JF wenzangu kuwa makini sana na hizi dawa za kichina; wiki kama 3 zilizopita, alikuja jamaa mmoja kigamboni katika ofisi ya serikali akijiita Dr Rafael kama mmoja wa wa madaktari...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
Katika taarifa ya habari itv, mdau mmoja wa mifugo kasema kuna lishe ambayo ngombe huongezeka kilo 2 unusu kwa siku. Hawa ni ng'ombe wa nyama. Haya si madhara kwa mtumiaji jamani? Kwa miezi 6...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Canadian researchers at the University of Manitoba have found a solution to the humble condom’s fatal flaw “nanoparticles” which is resistant to HIV/Aids infection. Dr. Xiaojian Yao...
0 Reactions
0 Replies
948 Views
wakuu inakuaje mtu anawashwa sana na kubabuka hadi ngozi kutoka kwenye viungio vya mapaja na sehem yake ya vagina mara baada ya kumaliza menstruation.ni kind of infection or pads zinakua...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Let's say it's 6.15pm and you're going home (alone of course), ...after an unusually hard day on the job. You're really tired, upset and frustrated. Suddenly you start experiencing severe pain in...
1 Reactions
1 Replies
996 Views
Ni muda kidogo umepita tangu niliposoma post ya Natalia(kama sikosei)akiomba ushauri kuhusu kupunguza uzito,watu wengi walichangia mengi,mimi pia yamenisaidia sana na nasema asante kwa mawazo...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Grapefruit may turn more drugs deadly, scientists find Canadian scientists say the number of common prescription drugs that can interact badly with the tart citrus is climbing, with the potential...
1 Reactions
0 Replies
763 Views
nina mwaka wa tano huu nakabiliwa na tatizo la kutopata choo,kwanza nilikuwa napata choo kigumu sana wakati wakujisaidia,baadae imefikia bila ya dawa za kufungua choo hakuna kitu,Nimeambiwa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wadau, Nina mwezi wa nne mfululizo naumwa amoeba na nimetumia kila aina ya madawa lakini wapi haitoki. Mara kadhaa nikienda maabara naambiwa nina amoeba na minyoo ya ascaris. Nimetumia sana...
0 Reactions
21 Replies
17K Views
1. Hakikisha unapoongea na simu unatumia sikio la kushoto 2.Usinywe dawa na maji baridi 3. Usile heavy meals baada ya saa kumi na moja jioni 4. Wakati simu yako imeisha charge na kubaki bar...
14 Reactions
25 Replies
3K Views
Hii Tovuti Virtual Surgery & Patient Education – SurgerySquad.com ina mambo mbalimbali kuhusu upasuaji na matibabu yake.Utajifunza kuanzia upasuaji wa tezi hadi upasuaji wakati wakujifungua...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Herbal preparations made of plants including ginger, sweet potatoand cowhage have been shown to be effective in treating male and femaleinfertility by several clinical trials. SEVERAL studies...
0 Reactions
1 Replies
10K Views
Eti mwanamke akimaliza leo siku zake na kesho ukafanya naye mapenzi anaweza kupata mimba na pia ni muda gani dalili za mimba huanza kujitokeza ikiwa mwanamke atashika mimba
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimeangalia katika TBC wasichana wanalazimishwa kuinua gogo zito,hatimae likawashinda na hatimae kumuangukia mmoja na kupoteza fahamu na kupotezea kipindi hewani na kuweka matangazo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Je kuna madhara yoyote kwa mtoto wa kike kukaa muda mrefu bila kufanya mapenzi??
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom