Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Naomba msaada wa tiba na kinga juu ya tatizo hili,huwa tezi zinaniuma na kiuno maeneo ya nyuma na karibu na tezi. Umri wangu ni miaka 24, jinsia ni ME...huwa si'sex mara kwa mara lakini nipo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nini sababu ya kuuma kwa tumbo wakati wa ujauzito na nn tiba yake?
0 Reactions
4 Replies
8K Views
jamani naomba msaada wa kutatuliwa hili tatizo langu'mm wakati wa kujaribu kufany mapenz lakin baadae nikaghair kufanya mbon kweny koro naumia naomba msaada.
0 Reactions
2 Replies
829 Views
Zimekuwa zikitumika njia nyingi sana nzito za kupunguza unene, uzito ambapo watu wengi huona ni shida sana. Furahia hii njia nzuri kwa afya yako. MAGILIM Inatokana na majina ya Magic-Slim, jina...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
1 ) The Woman Who has 200 Orgasms every day UK's Sarah Carmen, 24, is a 200-a-day orgasm girl who gets good, good, GOOD vibrations from almost anything. She suffers from Permanent Sexual...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Amani kwenu wana jamii Forums. Nimeona vijana wamejichora mwilini(tatoo.)Nauliza je,zinazochorwa kwa Mashine au sindano katika mwili Zinaweza kufutika tena na kutumia dawa au kitu gani.
0 Reactions
0 Replies
794 Views
kweli siku ya leo ni ya muhimu sana na hakika sote twatakiwa kujitathmin na hasa kuwakumbuka wenzetu waliokufa kwa maradhi haya. me swali langu ni kuwa je kuhusu hivi vipimo vyetu je ni kweli...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu nilikua nahitaji kujua bei ya kupiga x-ray na utrasound.......natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
9K Views
28/11/012 WATOTO saba wamenusurika kuuawa kwenye hospitali ya wilaya ya Chato mkoani Geita baada ya mhudumu wa afya Maliagoreth Kyaruzi kuwanyofolea maji yenye dawa (drip) wagonjwa waliolazwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
habar wana jf. Mi binti mwenye miaka 21 ila nina uzito wa kilo 92 nimejaribu njia kadhaa wa kadhaa ili kupunguza huu mwili,ila matokeo yake nimeishia kupata ulcers. Kuna kanishauri nitumie...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Wana jamii naomba kupata ushauri vidole vya migguni na mikononi vinauma, pia vinakuwa kama vinalegea hivi ni ugonjwa gani naomba kupata ushauri kabla sijaenda hospitali kwa anayejua tafadhari
0 Reactions
1 Replies
1K Views
najua mmeangaika sana kupata hii dawa,nawaletea dawa itakayorudisha heshima yako nyumbani hii inatibu tatizo moja kwa moja ni dawa ya miti shamba dozi yake full ni sh. elfu 20 unapona kabisa.dawa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
World Aids Day December 1 Background World AIDS Day is celebrated around the world on December 1st each year. It has become one of the most recognized international health days and a key...
0 Reactions
0 Replies
768 Views
We all feel stressed from time to time; it's part of being human. And we certainly feel frustrated. But as common as these feelings are, there are simple things we can do to ease them, even...
0 Reactions
0 Replies
841 Views
wakuu, nishang'oma meno mawili hapo kabla na hvi leo mengine mawili tena yameanza kuuma naombeni kama kuna mtu anafahamu mwenye dawa ya kutibu meno bila kung'oa anisaidie mawasiliano yake
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habarini za asubuhi. Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikipungua uzito na kukonda ila sio sana kwani mimi binafsi sioni kama nimepungua sana . Nguo nilizokuwa navaa mwaja juzi na mwaka jana bado...
0 Reactions
6 Replies
11K Views
The estimated annual investment needed in 2015 to fully fund the Aids response is between US$22 billion and USD$24 billion.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
The Swiss government has been aware of the dangers of eating white bread for decades and in order to get i ts populace to stop eating it, Switzerland has placed a tax on the purchase of white...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba nielekezwe yalipo maduka yanayouza dawa za kichina kwa dar es salaam.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Ni wazi kuwa hili tatizo ni kubwa kuliko tunavyolichukulia, hii inasababisha thread za hili Kuwa nyingi. Si hapa Jf tu, tafuta kwenye Blog mbalimbali utagundua ukubwa wa matatizo haya. Binafsi...
3 Reactions
28 Replies
12K Views
Back
Top Bottom