Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari zenu wana jf. Samahani ndugu zangu naomba kuuliza kwamba hivi mwanaume na mwanamke wakiwa wana blood group moja wanaweza kupata mtoto? yaani kwa mfano mwanaume ana group O positive,na...
1 Reactions
19 Replies
10K Views
Nimeipata hii article toka kwa about website nikaona si vibaya nikaiweka hapa, As you already know, women are encouraged to take folic acid supplements while trying to get pregnant, primarily to...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Tafsiri za maneno “rampant caries” ni nyingi katika fani ya meno lakini la msingi ni kuoza kwa meno kunako enea kwa kasi na kuharibu vichwa (crowns) vya meno mengi au yote yaliyoota. Hii ni hali...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
WanaJF.Nimekuwa nikijiuliza muda mrefu kuhusu ugonjwa wa ukimwi na tiba yake kwamba mpaka sasa bado hauna tiba bila kupata majibu ya kitaalamu kwamba kwanini ugonjwa huu hauna tiba na sasa ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
napatwa na maumivu baada ya kukojoa, nmekwenda hospitali mbalimbali nmepima mkojo na damu zaid ya mara tano syphilis naambiwa cna sehemu zote hzo, mkojo naambiwa pus cells 5-10 hpf ambazo naweza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba unisaidie kunipa ufaamu zaidi juu ya ugonjwa wa afya ya akili ambao usababisha na Sonona, kiini cha sonona, sababisho la ugonjwa , athari zake na tiba kwa ujumla
0 Reactions
4 Replies
11K Views
Wakuu habari zenu Zaidi ya mwanamke kutuoa mimba njia nyingine ni ipi inayoweza sababisha mimba kutoaka!!?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu salaam sana,najiuliza sana hili swali kila mara inamaana hawa wanasayansi wameshidwa kuvumbua kinga ya kuzuia malaria kwamba mtoto akizaliwa anapigwa tu hiyo na hata mbu wamuuje hawezi umwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kampala/LUWEERO One more person succumbed to the Ebola virus yesterday, bringing the death toll in the latest outbreak of the dreaded haemorrhagic fever in the...
0 Reactions
0 Replies
735 Views
Habari wanajamii mi nataka nifahamu kitu kinachosababisha malaria kuwa sugu na tiba yake ni nini.Vilevile kama kuna mtu anafahamu madawa ya mitishamba ambayo yanatibu kweli malaria sugu na si...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
  • Closed
hey memberz hv wat happen if woman aktoa mimba tena yenye miez mi5 then after 2 months akapata nyngne then akataka kuitoa at age of 4 months, wat will happen 2 her........???
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wadau, sina hakika kama swali hili limeshaulizwa humu au vipi. Naomba msaada wenu. Nina miaka zaidi ya 50 na nina myomas kwenye kizazi yananisumbua sana na yanasababisha nisifike menopause...
0 Reactions
15 Replies
25K Views
heshima kwenu wanabodi.nimeambiwa na rafiki yangu kuwa simu aina ya blackberry inasababisha matatizo ya ngozi kwa mtumiaji hasa kuwashwa na kutokwa na vipele.Anasema amesikia kutoka kwa Odhiambo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
hv mtu akitaka kupunguza ukubwa wa maziwa afanyaje bila kudisturb umbile lake la chini.
0 Reactions
44 Replies
7K Views
Kuna hivi vidonge vinaitwa PREGNANT CARE kwa ajili ya kina mama wajawazito, je kuna yeyote mwenye taarifa zake hasa kama vinaleta madhara kwa mtumiaji, ama vinasaidia kweli ama ni biashara tu...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Wana JF naomba nisaidieni nataka kuacha pombe ila nashndwa. halafu mbona nikinywa pombe usiku niki amka mwili wangu unakua unapungua je nimadhara gani naweza kupata baadae?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
habari wana jf, naomba mnifahamishe kupaka tango usoni inasaidia nini mbali na kutoa makovu?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Leo nimesikia kupitia kipindi cha BBC asubuhi kuwa huko Kenya kumeazishwa club za kucheka ambapo wapo hukusanyika na kucheka kwa masaa kadhaa. Mwenye hiyo club alihojiwa na kudai kuwa kucheka ni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Karibuni kwa matibabu ya kinywa na meno na ushauri -nipo njombe mjini mtaa wa pamba nyepesi nyuma ya stendi kuu-kliniki inaitwa kiyoya dental clinic-karibuni
2 Reactions
29 Replies
5K Views
Habari zenu Wataalam naombe msaada plizzz: Najikuna sana sehemu za siri nashindwa kujizuia hata nikiwa mbele za watu mpaka aibu Some tymz inabidi nijiibe pembeni kwenda kujikuna nahisi ni...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom