Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

mimi ni kijana ambaye nina miaka 39! tatizo langu ni kwamba joint za vidole vya miguuni na mikononi pamoja na vidole vyenyewe vinaniuma sana kama vile nimekimbia sana na kufanya mazoezi na ninakua...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
naomba ushauri wenu mi ni mnywaji mzuri sana wa chai na kahawa (haswa chai) sasahuwa nikinywa hivyo vinywaji huwa nakojoa sana,sasa hilo laweza kuwa tatizo??na je kuna tatizo lolote laweza nipata...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kuna mdada mmoja mkenya aliumwa 2 weeks saa hizi nyumba hajalipa gari umeme na maji an simu .na kazi Hana Leo kuna kikao cha kumchangia.maisha gani hayo siheri Arudi Kenya tu .unaumwa week 2 tu...
0 Reactions
132 Replies
13K Views
Habari waungwana...nauliza 1,hospitali gani wanafanya hiyo surgery?. 2.inagharimu kiasi gani? 3.efficiency yake ukilinganisha na kuvaa miwani ikoje? mjuzi yeyote naomba afafanue hapa au PM...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwenzenu nafuga mbwa wawili nyumbani kwangu ambao nawapenda sana na ninawahudumia kwa chakula na mahitaji mengine kama malazi na matibabu. Leo nimekuwa na kazi ya kuwaogesha kwa dawa mimi...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Naomba kujua ni maambukizi gani yaweza kuwapata wapenzi wanaopenda kupeana denda.
0 Reactions
8 Replies
10K Views
Hii leo katika jamii tofauti utengenezaji, uzalishaji pamoja na matumizi ya pombe, yamekuwa yakienea kwa kasi licha ya kinywaji hicho kuharamishwa na ushahidi wa tafiti mbalimbali unaoonyesha...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ni dawa ya asili ambayo ina karaha kidogo yaani yataka moyo, huwezi kuamini ndani ya masaa machache unakuwa umeshapata nafuu. Inafanywa hivi, Chemsha maji yawe ya moto kiasi ambacho mtu anaweza...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Nimenotice kitu kipya ktk mwili wangu kuwa kila niamkapo asubuhi huwa nimebadilika rangi ya mwili kuwa nyeusi kama sehem iliyovilia dam na viganja navyo huwa vyeus kama nimegusa masinzi ila after...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
wakuu naomba tujuzwe faida na hasara za hii kitu
0 Reactions
6 Replies
3K Views
helow wadau kuna kaubish hapa kidogo hv dawa ya eros ya kuongeza nguvu za kiume ukishainjwa unatakiwa ukae muda gan unjwe pombe? na ina madhara ?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina mke wangu ni mjamzito wa miezi mi 4 anasumbuliwa na tatizo la kuwashwa na kutokwa na harufu kali sehemu za siri(ukeni) je nini tatizo? Alienda hospitali wakamchoma sindano ila tatizo bado...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wakuu heshima kwenu, mimi ninatatizo japokuwa sina uhakika kama ni tatizoimani nitapata majibu mazuri, lakini kwa kuwa ninaamini huku kuna wataalam wengi wa afya nina mimi ni kama mwezi wa nne...
0 Reactions
6 Replies
32K Views
Tatizo la Unene Uliopitiliza (Obesity)Tatizo hili la unene uliopitiliza kuliko inavyohitajika kiafya huwa linaletwa na kuongezeka kwa kiwango cha mafuta mwilini. Njia rahisi na inayokubalika ya...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Namtafuta Dr Karim, nasikia ni daktari mzuri sana kwa tohara za watoto, nimeelekezwa yuko upanga lakini aliyenielekeza hajui ni upanga sehemu gani, kama kuna mtu anajua sehemu clinic au hospitali...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Jamani mwanamke kuwa na titi moja kubwa na jingine dogo husabishwa na nini na madhara yake nini
0 Reactions
7 Replies
5K Views
habari wana jamvi.? Jamani mwenzenu nina matatzo yafuatayo mwilini mwangu:- 1.majipu madogo mapajani.. 2.mafua ya mara kwa mara.. 3.homa za mara kwa mara.. 4.maumivu ya koo mara mara...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Jaman wakuu, naombeni mnisaidie ntafanyaj kutoa huduma ya kwanza kwa mtoto aliye paliwa? Jana mtoto mmoja alipaliwa hapa nyumbani and i was helpless iliniogopesha sana
0 Reactions
3 Replies
10K Views
Nina mpenzi wangu anakaa miezi miwili no bleeding mara baada ya mwezi mmoja,siku zingine anakaa hata 6 months napia wakati mwingine hutokwa na damu nyingi sana mpaka kufikia kuanguka na...
1 Reactions
10 Replies
6K Views
wadau nimempigia simu my nikka leo kumjulia hali....akawa anaraha kabisa...akanieleza kuwa usiku uliokwisha alipata kilevi katika baa moja baada ya kilevi kukolea na mishebeduo ya bar maid...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom