Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Ninaye mdogo wangu ambaye anakaribia kumchumbia rafiki yake wa kike.Moja ya vitu ambavyo bwana mdogo alivifanya,ilikuwa ni kumuuliza msichana wake kama anayo magonjwa yoyote ya hatari.Msichana...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Everyone knows that Viagra ® is a powerful drug for men, used to enhance sexual function and performance, but very few people know the secret that it can also be made at home by using foods which...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
habari wajumbe! nimesikia kuna kifaa cha kuangalia siku za hatari kwa msichana, kujua kama yai linakaribia kushuka au la, naomba ufafanuzi kinaitwaje? kinafanyaje kazi, na vinapatikana wapi?. thanks
0 Reactions
12 Replies
12K Views
27/28 octoba nilikutana kimwili na Girl frnd wangu na kwa yeye siku zake huangukia tarehe 1 au 2 kila mwezi, nimeambiwa eti mpaka sasa hajaziona siku zake it means she is pregnant according to...
0 Reactions
3 Replies
929 Views
Mwanamke kuwashwa sehemu za siri kwa nje je ni ugonjwa? Na hizi pads tunazotumia zinaweza kuwa zinachangia? Maana mimi binafsi huwa natumia always lakini zinaniwasha sana sijui wasichana wenzangu...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
wataalamu kuna rafiki yangu ana umri wa miaka 22 , uso wake ni wa mafuta anasumbuliwa na majipu usoni huwa yanatokea mara kwa mara hivi nini tiba yake.naombeni kujua amepima HIV hana ivi tatizo...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wana Jamvi tafadhali nisaidieni mwenzenu nikipata kabao kamoja hoi sitaki tena next raundi,nipeni mchongo wa dawa madhubuti angalau nipige tatu za kuanzia naogopa kuwa mbofela mie.
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Habari za leo wadau wa jukwaa la JF Doctor, mwenzenu nilikua na muda mrefu sana sijafanya ngono kama miaka sita hivi, sasa nimepiga show ya kufa mtu na dada fulani hapa majuzi. tangu baada ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wadau! Wikiendi iliyopita nlikuwa nimechili mahali fulani (actually ni bar), nkiwa nakunywa kilaji nkisubiri supu yangu ya mkia. Pembeni ya meza nliyokuwepo, kulikuwa na wadau...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Pamoja na kuwa watu tunafahamu kuwa mama mjamzito anatakiwa kula vizuri kwa ajili ya kulea mtoto aliye tumboni na kuweza kuzaa mtoto mwenye afya kuna jambo lingine napenda kuongezea. Mzazi yeyote...
0 Reactions
7 Replies
19K Views
Salaam wakuu.. Mtoto wangu ana week 3 sasa,week ya pili sasa analia huku akirusha miguu na mikono kwa uchungu as if tumbo linamkata.Wazoefu wanasema eti akimaliza mwezi ataacha kujinyonga kwani...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wana FJ napenda kujua kuna athari gani ambazo zizaweza kumpata mtu mwenye tatizo la uvimbe katika tumbo la uzazi. Napata shida jinsi ya kumpa msaada mtu wangu wa karibu, je dawa yake au suluhisho...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Je kuna madhara ya kuwa na rangi flani flani tofauti katika macho? Spectrum of eye color
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Habari zenu wana jamvi. Niko na mke wangu karibuni mwaka sasa tangu tuoane na kufunga ndoa lakini bado hatujabahatika kupata mtoto. Kuna wakati mke wangu huhisi dalili zote za ujauzito...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajamvi heshima kwenu, naombeni kuuliza kuwa kwa mwanamke mwenye bikira anaweza kujisafishaje kama kuna wana jf hapa wameshauri unaweza ukafanya douching ili kuisafisha vizurai k yako? Na je...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
protin inapokuwa nyingi mwilini inakuwa na madhara gan?? Ili ipungue unatakiwa kufanya nin?
0 Reactions
0 Replies
787 Views
Habari za jioni wana jamii forum, nina mpenzi wangu ambaye tumekubaliana kutofanya mapenzi hadi tutakapofunga ndoa , kutokana na nature tumejikuta tunajiingiza majaribuni na kuishia kukis, romance...
0 Reactions
22 Replies
17K Views
Habari zenu Wataalam Natumai mmeamka salama salimin. Mpenzi wangu anaumwa sana na kichwa kimeanza jana bt sasa hv asubuhi kimezidi, Anasema anasikia ni kizito na kama kizunguzungu Akifumbua...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu zangu,na tatizo mwenzenu nikafanya mapenzi na mr c skii rahaa ya tendo kabisa na wala cjawahi fikia kileleni,ila nikifanya mwenyewe kwa kujichua nafika kileleni,na c wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifuatilia mambo mbalimbali yanayohusu afya zetu lakini mojawapo ya jambo linalonitia hofu ni kuibuka kwa watu wengi wanaodai wao ni mabingwa wa kutibu magonjwa mbalimbali na ambao...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom