Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

By Faustin Odeke-New Vision Tororo women are discouraging their husbands from undergoing circumcision, health authorities have disclosed. Willy Mungoma, the district health educator, said most...
0 Reactions
0 Replies
858 Views
By Faustin Odeke-New Vision Tororo women are discouraging their husbands from undergoing circumcision, health authorities have disclosed. Willy Mungoma, the district health educator, said most...
0 Reactions
0 Replies
674 Views
Kutokana na mashua tatu zilizopo kushindwa kumaliza/kupunguza maambukizi mapya ya VVU/UKIMWI uko umuhimu wa kuongeza mashua nyingine itayofikia lengo. Mashua tatu zilishoshindwa kutoa suluhisho...
0 Reactions
1 Replies
942 Views
Huu umekuwa ndio ulevi mpya, asilimia kubwa ya watu wa kawaida wakiwemo boda boda siku hizi wanatumia ulevi huu wa kuchanganya soda aina ya coca cola au pepsi na viroba vya konyagi au valuer...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wanajamii Forums, Habari! Napenda kujuzwa , wapi Hapa Dar Es Salaam Wanatoa Huduma ya Kuweka Meno Ya Bandi Ya Kudumu kwa gharama Nafuu? Wenye Kujua au KUfahamu Chochote, Tafadhari Tujuzane . Asante
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Wadau naomba mwenye kujua hosp ninayoweza kupata doctor mzuri wa tumbo coz tumbo langu lipo hovyo tu hata sielewi tatizo ni nn!plz mwenye kujua!
0 Reactions
2 Replies
4K Views
BARAZA la Taifa la Watu Wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (NACOPHA), limeitaka Serikali kuwaeleza wananchi madhara watakayoyapata baada ya kutumia dawa bandia za kupunguza makali ya Virusi vya Ukimwi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau nijuzen filter znapatikana wap kwa dar na ni bei gani?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Hello doctors! nina mwanangu wa umri wa miaka 2,amekuwa akisumbuliwa na kikohozi kwa muda mrefu sasa,ametumia antibiotics za kutosha,amekunywa dawa za kikohozi nyingi lkn tatizo liko pale...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wanaJF, Naomba kuuliza km ni kweli kuwa red wine inasaidia kwenye tatizo la nguvu za kiume?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
wapendwa naomba mnisaidie mwanangu amebabuka ngozi upande mmoja kuanzia kwenye shavu kuelekea mdomo ulipo yani ana rangi mbili wengine wanasema mtu akiwa hivyo ana upungufu wa kitu fulani au ana...
0 Reactions
4 Replies
961 Views
naomba nielezwe prostate concer ni nini? inasababishwa na nini? tiba yake ni ipi? unawezaje kuizuia isikupate?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Jaman nashindwa kulala yan anakoroma kama jenereta on to of dat mdomo uko waz afu analala na mgongo nlienda kuomba ushauri kwa mmoja akaniambia wake yeye anakwaruza meno kama vile mbwa mwenye...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Habari wanajamii mimi ni kijana umri miaka 27. Nina tatizo kubwa la kuwahi kumaliza(kuwahi kufika kilele) hii inanipa tabu sana mana mpenzi wangu nakuwa simlizishi kwakweli ananivumilia sana kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wenye Matatizo wale hili tunda kwa wingi litasaidi kuokoa ndoa zao,mahusiano yao vizuri.Kwani Tunda hilo linafaida sana ndani ya mwili wa binadamu. "The citrulline-arginine relationship...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wakuu naomba msaada kwa hapa dar wap ntapata majani mabichi ya mbaazi,ikibidi hata kwa kununua kwa bei ya kawaida?ni kwaajili ya dawa ctapenda kutaja zaid but natanguliza shukran
0 Reactions
6 Replies
4K Views
eti kuna madhara yoyote kwa kina sisi tunaopenda kuongalia video za ngono
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Wajawazito wanywaji pombe kuzaa watoto taahira Sunday, 23 September 2012 11:02 Claud Mshana na Elizabeth Edward MATOKEO ya utafiti mpya umeonyesha kuwa matumizi ya pombe kwa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
MAMLAKA ya Chakula na Dawa ya Marekani (FDA), imeidhinisha dawa ya Truvada kuwa tiba ya kuzuia kuenea kwa Virusi Vya Ukimwi (VVU).Dawa hiyo ambayo awali ilikuwa katika kundi la zile zinazotumiwa...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Jaman mwenzi wangu anaumwa,Yeye akikaribia siku zake huumwa tumbo mbaya,na hata anapokuwa kwa siku tumbo humuuma sana,kibaya zaidi yeye huenda siku na anapo maliza anaweza kaa siku 3 ikashuka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…