Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wakubwa heshima zenu. Kwa kawaida mimba ikifikisha week 37 mtoto anakua amekamilika kila kitu na mama anatarajiwa kujifungua anytime. Hata hivyo mama anaweza kukaa hadi week ya 42 bila kusikia...
1 Reactions
8 Replies
18K Views
Heshima mbele wakuu. Ninaomba kwa wale wataalamu, nina mwanangu ana miaka mitatu, siku za hivi karibuni ameanza kukohoa sana haswa anapolala na akila wkt mwingine anatapika. Hospitali tumempeleka...
0 Reactions
10 Replies
10K Views
Kuna usemi kwamba, mama mjamzito anapofanya mapenzi bila kinga na kuruhusu mbegu za kiume kuingia, husababisha mtoto kuzaliwa na elements za manii hasa maeneo ya kichwa(kama mba)! Kama ni kweli...
0 Reactions
28 Replies
19K Views
Thursday, 20 September 2012 20:26 ZAIDI YA WATU 400,000 WADAIWA KUPEWA DAWA BANDIA NCHINI, MAMLAKA YA MADAWA YAAGIZA ZIONDOLEWE HOSPTALINI Na Mwandishi Wetu [/FONT] MAELFU ya watu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mtoto katapika zaid ya mara 5 kila anachokula baada ya mda kinatoka. Hana joto na anacheza vzr 2. Ni nin sa7bu na dawa yake?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
jamani kuna0tatizo linanisumbua nikinywa maziwa fresh najambajamba ovyo mpaka imekua kero kutwa nzima usiku kucha mpaka naona aibu embu nijuzeni anaejua uhusiano wa kujamba na maziwa ukoje au...
1 Reactions
6 Replies
6K Views
Wanajamii naomba mnipemsaada ngozi yangu imetoka mapele nataka kuonana na mtaalamu wangozi atakayenipa sababu zatatizo langu ikiwezekana kama kuna vipimo anipime kabisailinitambue kinachonisibu....
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tumezoea kusikia kuwa Malaria ndio ugonjwa unaongoza kwa kusababisha vifo kwa watoto, na jitihada za kuudhibiti ugonjwa huo zinafanyika kwa kiwango kikubwa. Lakini leo naomba tujadili kwa kina...
0 Reactions
0 Replies
10K Views
Habari! Kwa heshima na tahadhima nipo mbele yenu ukiwa/mkiwa kama mdau/ wadau wangu wakubwa ufanikishae mambo yangu mengi kwa namna moja hama nyingine, nina kazi naomba niwashilikishe mnisaidie...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani nashindwa jizuia kabisa kwa watoto wa kike wa shule... sketi wanazovaa ni fupi na zina panda juu sehemu ya nyuma na kuacha mapaja yao wazi.... Hunivutia sana kimapenzi na kweli nashindwa...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Msaada jamani, nimeamka asbh na koo linauma na ninamadonda; nipate dawa gani?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakubwa nimepata kuskia tu kwa wadau kuwa powder hii si nzuri ila sijapata maelezo msaada plz?
0 Reactions
0 Replies
945 Views
kuna taharifa zinasema wanawake 60 kwa mwaka wa kitanzania wanaenda kenya kupandikiziwa mbegu za kiume ili apate mtoto,je tanzania hatuwezi hiyo kazi?
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Napiga mswaki kila siku kwa kutumia colgate. Upande wa nje wa meno yangu ipo safi na yanang'aa sana. Tatizo lipo upande wa ndani wa kila jino kwenye kinywa ambako kuna madoa meusi. Hata nipige...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
msaada jaman mziwa kutoka wakati mtu si mjamzito husababishwa na nin?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimekuwa na maumivu ndani ya sikio kwa siku ya pili sasa...hamna kipele wala uvimbe, ni maumivu tu ambayo nayaskia haswa niki-apply pressure kidogo, nisipoligusa sisikii maumivu yeyote! what could...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wa jf naomb msaada wenu kwa anaejua au mwenye idea yoyote nina tatizo la kuumwa kichwa sio chote ni mishipa ya pembeni karibia na masikio inakaza na kuvuta sana inatokea sana nikiwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Bisphenol A is found in dozens of household items from sunglasses to food packaging Scientists believe it interferes with the way the body processes hormones A chemical found in baby...
0 Reactions
0 Replies
961 Views
Jamani wenye uelewa wa kutosha naombeni majibu, mimi ni mama wa watoto wawili, nina miezi kama sita tangu nifunge kizazi, sasa nataka kuanza kudu aka kuishi maisha ya kindoa kwani nina mume, sasa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu nawasalimia na naomba msaada. Umri miaka 50.Nina watoto 5 na mke,naishi DSM.Niliachishwa kazi mwaka 1 uliopita na nikawa nabangaiza mpaka siku kama 14 zilizopita nilipopata kazi upya ya...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Back
Top Bottom