Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari zenu wana JF, mimi ninatatizo ambalo limeanza hivi karibuni sijaenda kwa daktari au la ila tatizo lenyewe ni kwamba korodani zangu zinakuwa zinauma sana je ni sababu ya nini na nifanyeje...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hiki kipele kimeota kwenye ngozi ya korodani, ni keupe na ni ngumu kwa kukiminya au kukishika, sasa kila nikijaribu kukikamua kinatoa usaha kwa mbali sana na pia damu inatoka si nyingi sana, na...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Samahan wana jf naomba kuuliza je ile veet dawa ya kuondoa vinyweleo ina madhara kwa mtumiaji?
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Naamini hakuna ila cha kushangaza ni pale wakati wa joto kali, mzazi analala bila nguo ila mwanae gubi gubi (kavishwa nguo nzito na blanket juu) Inakuwaje hapo?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Samahan wa jf naomba kuuliza je ile veet dawa ya kuondoa vinyweleo ina madhara kwa m2miaji?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hellow doctors please naomba msaada wenu.mara tu ninapoanza menstruation period huwa nakuwa na hasira za ajabu ajabu sana,tukipishana kauli kidogo tu na mtu yeyote ntamuwakia hatari.hali hii kwa...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Wednesday, 12 September 2012 19:50 Florence Majani WAKATI wanasayansi wakiwa wanakaribia kukamilisha utafiti wa kuwezesha kupata tiba ya Ukimwi, ugonjwa mpya ambao unafanana kwa karibu kabisa...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Story: Let's say it's 6.15pm and you're going home (alone of course), after an unusually hard day on the job. You're really tired, upset and frustrated. Suddenly you startexperiencing severe pain...
2 Reactions
0 Replies
793 Views
Dear Doctors, ni matumaini yangu mumeshinda salama. Mie sina neno namshukuru Mungu. Naombeni kufundishwa namna ya ku encourage vaginal childbirth and avoiding C-Section, episiotomies and...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kunandugu yangu anasumbuliwa na tatizo la kutokwa na MANII pindi aendapo aja kubwa tatizo litakuwa nini? Bandugu!!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Story: Green Tea has several amazing health benefits that include: Fights cancer Lowers Cholesterol Pevents cavities Protects against heart disease Speeds metabolism Prevents diabetes Antiviral...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wana JF habarini za jioni Mimi nina miaka 31 sasa,hapo awali nilikuwa napiga mzigo kama kawaida ila kuna kipindi fulani nyuma (kama mwaka hivi umepita) nikatokewa na hali ya upungufu wa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Do you have a laptop? Beware!!! Extreme heat from laptops can cause Toasted Skin Syndrome that may finally lead to Skin Cancer. Stop using laptop over the legs. Hoax or Fact: Fact. Analysis: It...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Maana wamekuwa wakinichanganya kutokana na category na sifa zao kibaoloji kama ifuatavyo ( i) kunawengine wana matiti na uume tuu, hawana uke. (ii) kuna wengine wana uume na uke na matiti kwa...
0 Reactions
2 Replies
10K Views
Kwa yeyote anayejua naomba anifahamishe ni njia gani sahihi ya kupima kisukari. -Kupima pale unapopatwa na dalili au kabla ya dalili? Na ukipima kabla ya dalili unaweza kuonekana? -Njia nzuri ni...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
.........
7 Reactions
13 Replies
1K Views
WAKATI wanasayansi wakiwa wanakaribia kukamilisha utafiti wa kuwezesha kupata tiba ya Ukimwi, ugonjwa mpya ambao unafanana kwa karibu kabisa na huo, umeibuka. Adult-Onsets Immunal Deficiency...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom