Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Hii kwa wenzetu una kesi ya kujibu na hutapata pakutokea
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Niliambiwa mafua hayana dawa nimejaribu vumilia ila sasa ni wiki ya tatu nimeamua kumeza piriton doz ya 1mara2 kuna njia nyingine naweza fanya kwa sasa hali ya hewa pia ni barid nayo nadhani...
0 Reactions
10 Replies
10K Views
Naam! bila shaka itagusa wengi hii, Edmark Café Ginseng Coffee Made from the natural blend of the finest Arabica coffee beans from Brazil and Columbia and Korean Ginseng extract. The active...
0 Reactions
0 Replies
932 Views
Utafiti uliofanywa na chuo kikuu cha State University cha Jijini New York nchini Marekani umesema ya kwamba manii ni nzuri kwa wanawake kwani huwaondolea msongo wa mawazo.Pia watafiti hao wamesema...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
kuna dawa ya kusafishia maji kama ilivyo water guard,inaitwa shabu,nimeona mtu anatumia kwenye jicho,lilikuwa limetengeneza ukungu,kwa mujibu wake inamsaidia,vp wataalamu,kweli hii ni dawa ya jicho?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Methamphetamine, like many other illicit drugs can harm your teeth fairly rapidly. Back in September, I wrote an article entitledSeven Ways Crystal Methamphetamine Ruins Your Teeth. That article...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Naomba kama kuna yeyote anaejua dawa ya kuzuia jino kutobolewa na wadudu kwani sasa jino limeanza kutoboka na nipigapo mswaki lazima damu itoke..nitumie dawa gani??
0 Reactions
6 Replies
7K Views
nahitaji kujua gharama za CT Scan kwa hosp za hapa mjini. Nilipata minor accident mwanzoni mwa week hii nahitaji kipimo haraka. Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
0 Reactions
1 Replies
897 Views
Ndugu zangu wana jf naombeni msaada. Eti ni umri gani unafaa kumtahiri mtoto wa kiume? Kuna mtu kasema kumtahiri akiwa mdogo sana yaani below 1year ndiyo nzuri na kwamba kumtahiri baada ya hapo...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Habari zenu ndugu zangu Jamvini: Tumbo linaniuma sana sielewi tatizo nn haswa ikifikapo mida ya jioni, Nisaidieni plizzz nitumie Tiba ama dawa gani. Natanguliza Shukran za dhati.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hii nimeikuta mtandaoni soma kwenye link hapo chini: http://www.quicknek.com/jeunayafahamumadharayakutumiadeodorants?
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Habari za jioni wanajavi? Jamani kwa upande wangu naomba msaada wa kujua,ushauri,tiba nk kuhusu swala la mbegu za kiumeCsperms) naomba kujua namalizaje matatizo yafuatayo:- 1- kama mbegu ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za jioni,nimekua nikisikia mara nyingi kuhusu kumuharibu mtoto anayenyonya(kubemenda).Naomba msaada wa elimu kuhusu hili suala,kwa watu wanaofahamu,inatokea vipi,na athari zake kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Heart Attacks and drinking warm water Dear All...
1 Reactions
13 Replies
8K Views
Naomba mnisaidie madhara ya kutumia maharage ya soya kwa watu wazima na watoto wadogo na namna ya kuondoa sumu kama ipo kwa kua nasikia maharage hayo yana sumu.....
0 Reactions
4 Replies
11K Views
Hvi unaezaje kuondoa weusi juu ya mapaja kutokana na msuguano wakati wa kutembea ama mchubuko....advice..
0 Reactions
29 Replies
12K Views
Heshima mbele, Mini niasumbuliwa na jicho moja la upande wa kushoto linawasha sana hadi nahisi mishipa inauma. Hii imekuwa kwa mda kama siku nne. Kuna mda nakuwa nipo kawaida tu lakini nikilikusa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hello wana JF! My wife wangu ameamuwa kumuachisha mtoto kunyonya baada ya kukataa kula chakula huku aking'ang'ania nyonyo tu. Ana mwaka na miezi mitatu. Tatizo maziwa ya Mama yake yamevimba na...
2 Reactions
13 Replies
23K Views
Dear All, Download the attached file and read for your benefits. Regards, Bernard
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Daer All, Download the attached file and read carefull for your benefits Rgds, Bernard
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom